Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ni huzuni, majonzi si ya kuondokewa na mtu wangu wa karibu la hasha, ni masaibu niliyokutana nayo leo alfajiri. Mama mdogo ana wiki 4 tangu aje kunisalimia, ni mtu wa makamo miaka 38 ila...
29 Reactions
128 Replies
17K Views
Mapenzi ni kilele cha burudani duniani hasa ukiwa na umpendae na ukitegemea makubwa zaidi kwenye burudani ya sita kwa sita Wenzetu huwa wanakabiliwa na matatizo kadha wa kadha yanayopelekea...
16 Reactions
138 Replies
13K Views
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza. Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira. Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel...
28 Reactions
397 Replies
9K Views
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji. Kesho...
12 Reactions
111 Replies
5K Views
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa. Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa...
42 Reactions
238 Replies
9K Views
Kulingana na kazi ninayofanya ya utatuzi wa migogoro ya kijamii nimepokea kesi nyingi za wanawake za watu kuzaa na wanaume wengine wakati waume zao wapo hai Nimegundua wanawake wa watu...
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Baada ya kupotea humu jamvini kwa miezi kama mitatu leo nakuja na mada ya visasi kwenye mahusiano na athari nilizokumbana nazo. Kuna mwanaume nilikuwa nampenda sana mpaka basi, nikawa na hisia...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu, Mtu umechoka, unaingia jukwaa la MMU ili angalau upate auheni na kujifariji baada ya uchovu wa siku, lahaulaa!!! Unakuta story yenye tittle nzuri kabisa kumbe ni chaiii.....daah inakera...
3 Reactions
6 Replies
235 Views
Za sahizi wakuu. Wakuu nipo njia panda simuelewi huyu mpenzi wangu maana alitaka zawadi nimempa ananuna Au nimezingua wakuu
8 Reactions
20 Replies
557 Views
Wakuu habari za saizi, Wakazi wa Dar niwape hongera au poleni na mvua? To day Dar iko powa sana hali ya hewa inaruhusu. Kutokana na hali ya hewa kuwa nzuri tuambie jambo zuri alilowahi...
4 Reactions
156 Replies
10K Views
Ilikuwa siku ya ijumaa mida ya saa tano nikaingia kiwanja nikapate local beers mbili tatu akili ikawe sawa.Ghafla akaja mdada na jamaa yake wakakaa meza ile niliyotulia mimi,wakaanza vinywaji...
51 Reactions
104 Replies
12K Views
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda...
20 Reactions
92 Replies
7K Views
Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3...
26 Reactions
213 Replies
5K Views
Nafuatitilia kipindi Cha Wasafi Media, kinachorudhwa LIVE muda huu, ambacho kimepewa jina la HAUJUI, nikishuhudia mtangazaji wa Wasafi Media, Oscar Oscar, akimuuliza mtangazaji mwenzake anayeitwa...
13 Reactions
54 Replies
2K Views
Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu😅😅. Tumieni Kinga wakuu!!!!
3 Reactions
29 Replies
830 Views
Mitandao ya kijamii na mawasiliano ya kidijitali vimebadilisha jinsi watu wanavyohusiana, na hii imeleta changamoto mpya kuhusu uaminifu, muda wa pamoja, na jinsi ya kudumisha ukaribu. Katika...
1 Reactions
3 Replies
342 Views
My people how's weekend? Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari. Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya...
47 Reactions
460 Replies
14K Views
Tanzania mke anaonekana ndio mfuaji. Ila huku kufua ni jambo la kimashine zaidi. Na hata kama hamna mashine ya kufulia nyumbani viko vitu vya kufulia kwa gharama nafuu na hakuna maseke. Mfano...
15 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!" Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini...
46 Reactions
103 Replies
5K Views
Wakuu nimeamua kusamehe kwa sababu sijui atakaenizika nimewasamehe wabaya wangu lakini nisingependa ukaribu nao, tukikutana tusalimiane tu kwa bashasha lakini sitaki ukaribu nao.
5 Reactions
8 Replies
257 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…