Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Miaka miwili au mitatu iliyopita kipindi covid ina trend sana, nlikua kwenye mahusiano kadhaa, Kama mnavyojua mambo ya ujana. Sasa kwa kipindi kile kama mtakua mmeweka kumbukumbu zenu sawa...
19 Reactions
61 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika mwanamke mzuri wa sura na umbile ni ndoto ya kila mwanaume,tena akiwa smart kichwani na elimu kwa mbali ndiyo kabisa. 1. Unajiamini kumtambulisha popote na kwa yeyote huku...
0 Reactions
2 Replies
387 Views
Haijalishi uko kikazi ama unaenda kusalimia familia, ndugu ,jamaa au marafikii.Nakujuza tu ukienda Lodge guest zozote kabla ya kulala sali. Ndugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla...
19 Reactions
62 Replies
3K Views
22 Reactions
59 Replies
2K Views
Iko hivi mimi niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tu ako na 21 saivi. Sasa kilichonileta ni kwamba huyu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakati na tunafanya yetu vizuri sana...
11 Reactions
61 Replies
2K Views
Kwema wakuu Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu 2 Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8 Na pia kwao ni maisha...
5 Reactions
45 Replies
1K Views
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka. Choo mlangoni wameweka gunia au khanga Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga. Ukimleta...
32 Reactions
196 Replies
8K Views
UKIZAA NA MUME WA MTU, JUKUMU LA KULEA MTOTO NI LAKO MWENYEWE! Anaandika, Robert Heriel Unajizima Data sio! Ati ooh! Alinidanganya Hana MKE, ooh! Sikujua kama kaoa. Wanaume ni Umbwa Koko! Kama...
20 Reactions
160 Replies
9K Views
Mama mkwe mwanao amekolea kwa kiwango ambacho sikutarajia. Hata mimi nimemwelewa sana tu japo nimeweka akiba ya baadae kabla sijafanya maamuzi ya kumpiga pingu za maisha. Lakini sasa kunichunguza...
3 Reactions
7 Replies
497 Views
Nilikulia kwa bibi mzaa baba, na mama yangu sikuwahi kumuona hadi namaliza darasa la saba.Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kujiunga na shule moja ya sekondari iliyopo mkoani mbeya wilaya ya mbozi...
2 Reactions
51 Replies
80K Views
(Nimeikopi huko wanakoomba ushauri ili tujifunze kitu) Nilimdharau sana mume wangu na kumdhalilisha mbele za watu kumbe alikuwa anateseka kwa ajili yetu! Jana nimelia sana, nimelia kiasi kwamba...
23 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma... Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Ukutaka kuoa oa mwanamke mzuri anaekuvutia, tabia zinabadilika ila ukishaoa sura personal ndo basi tena. Ukiona mwanamke mzuri anaevutia a.k.a pisi kali 1. Hutatumia gharama kumpendezesha...
1 Reactions
14 Replies
728 Views
Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani. Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza...
17 Reactions
28 Replies
730 Views
MASKINI ATABAKI KUWA MASKINI TU KAMA ATAENDELEA KUWA NA MARAFIKI MASKINI 😔 Hii sio makala nzuri kwa maskini ambao wameridhika na hali hiyo hivyo kama umeridhika na umaskini basi acha kabisa...
8 Reactions
50 Replies
1K Views
Kuna watu hasa wanaume wamekuwa wakihangaika sana kutaka kujua au kuvifahamu hivi viumbe "wanawake". Sasa hizi Ni baadhi ya tips kuvihusu hivyo viumbe japo Ni kwa uchache tu NB: TUISHI NAVYO KWA...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukinunua kitu used jiandae kuingia gharama za kufanya matengenezo ambayo hujayasababisha wewe.
1 Reactions
4 Replies
429 Views
Sehenu ya 1. Kwa jina naitwa Lucia Bakande, ni binti wa baba msukuma na mama mnyarwanda, mtu anaponichimba kutaka kujua kabila huwa nashindwa nitaje ni kabila gani maana sijui kuongea kisukuma...
13 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu. Katika moja na mbili acha waendelee kutudangia huku wakijifanya hawajui wanacho kitaka ili kuhalalisha umalaya wao. Wanawake wote mkae mkijua mtadanga sana , mtahangaika sana...
3 Reactions
9 Replies
586 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…