Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.Mfumo wa uzazi unaharibika watafiti...
9 Reactions
101 Replies
27K Views
Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana...
14 Reactions
263 Replies
23K Views
Asikudanganye mtu. Magari yana maana kubwa sana kwa wenzetu na mimi nmeona athari zake pia katika jamii yetu. Pata muda jaribu kutafakari wenye kuendesha magari aina hii. 1. Subaru 2. Alteza 3...
10 Reactions
60 Replies
8K Views
1. Amechora tattoos. Red flag. 2. Ametoboa pua red flag. 3. Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag. 4. Anakunywa pombe red flag. 5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag. 6. Haendi msikitni Wala...
25 Reactions
158 Replies
4K Views
Kupenda ni maamuzi ya kihisia/ moyo, huku kunaweza sababishwa na kitu chochote hasa physique ya mtu au tabia Kuamua kupenda ni conscious decision, maamuzi ya akili, haya ni matokeo ya situational...
12 Reactions
83 Replies
3K Views
Habari wanajf Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio...
14 Reactions
64 Replies
5K Views
Its all about love.....!❣️ Iko hivii.... Kuna mahala nilienda kwenye shughuli ya kiofisi, baada ya ziara kuisha tukatembezwa kwenye karakana kuona uzalishaji... Muda ukawa umeisha tukiwa...
7 Reactions
71 Replies
12K Views
Basi nimeshiba zangu hapa ndizi nyama, nina GB za kutosha, uhakika wa kula mpaka keshokutwa ninao., Basi hii ikanifanya hisia Zangu kwenda mbali zaidi. Nipo nawaza na kuwazua kwanini tuwapo...
17 Reactions
111 Replies
2K Views
Wakuu naomba ufafanuzi hii imekaaje. Inasemekana kuna wanawake wana baraka na wengine wana nuksi ukitembea nao wanakuachia nuksi zao. Je, ikiwa mtu kachepuka na mdada mwenye nuksi akirudi...
9 Reactions
18 Replies
954 Views
Kwa vijana hasa vidume wenzangu.... Niliingia Tanga mwaka jana mwanzoni, ugeni ni upofu nikakurupuka nikamtongoza binti flan wa mtaa wa pili ni muajiriwa wa serikali. Huyu binti ni mweupe...
18 Reactions
84 Replies
4K Views
Kwanza ijulikane wazi kuwa namba unayoiona wewe ni 9, mwenzio akikaa upande mwingine anaiona 6. Kama mtu akiingia humu na kichwa chepesi, ataanza kuwachukia wanawake wote kwa visa vya humu ndani...
5 Reactions
13 Replies
372 Views
Msije kusema sikuwaambia, Niliwahi kuwa msaidizi wa dereva wa lori moja hivi linalobeba nafaka kutoka Dodoma na Morogoro kuelekea Dsm, huyu dereva na wenzie walikuwa na kautaratibu ka kufika eneo...
45 Reactions
131 Replies
16K Views
Humu jf wanaume nao ni wapweke kuna makundi mengi ya wanaume wapweke. 1. Wanandoa Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke...
17 Reactions
74 Replies
2K Views
Kina Dada zangu na Mama zangu Acheni kushughulika na Mitandao ya Kijamii aka Facebook,TikTok, istagram, Youtube na mengine. Wakati Mume wako anakuwepo nyumbani.Muhudumie Waume zenu kwa kila kitu...
1 Reactions
7 Replies
469 Views
Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani. Mi ninaweza kaa na simu mpaka...
15 Reactions
65 Replies
2K Views
(Story ya Asamoah Gyan) Intro 👇👇 ✍️Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kunambia Wanawake wana jicho la kuforecast mafanikio ya mtu kabla hata mtu mwenyewe hajayaona , Yaani mwanamke anaweza kukuweka...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Eee bwana eeh, stori za mtaa ni noma sana! Basi ebwana, ulikua utotoni kwetu mtoto wa kike mrembo alikua mmoja tu, Leah yule kapisi keupe, si unajua tena sisi wanaume tulivyokuwa tunamuwania. Sasa...
2 Reactions
5 Replies
383 Views
Wapendwa naleta uzi huu mbele yenu kwa sababu mimi ni miongoni mwa wanaume wachache kama siyo wengi, waliyowahi kupata fursa ya kukata utepe! Binafsi nimewahi pata bahati ya kukata utepe/kubikiri...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Nakusanua mwanaume mwenzangu Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na...
23 Reactions
105 Replies
3K Views
Back
Top Bottom