Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
napenda kufahamu ni zawadi zipi wapendazo wapenzi wakike maana kuna mpenzi wangu nataka nimpatie zawadi
0 Reactions
150 Replies
39K Views
.
1 Reactions
50 Replies
4K Views
nimezaa naye mtoto na kiukwel ananipenda sana an sana ila anavitabia ambavyo siridhiki navyo na habadiliki hivyo nmepanga tuachane ila cjui nitumie mbinu zipi??
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Si ajabu sana ila ukweli kuwa wapo wakaka,mabrothermen wanaomiliki boksa moja tu. HII IMEKAAJE WADAU. wadada niaje?Kwa hili mna mtazamo gani?Say a word.
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Happy birthday to You Many Many Happy Returns of the Day A lots of prayers and wished for you For you coming Life and your future may you get Success and Comfort in your life...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Ninamiaka sita katika ndoa na mywife wangu,maisha yamekuwa yakienda kawaida tu.miaka miwili iliyopita nilipata ajari katika shughuli zangu nikaumia mgongo ,nilipata vipimo hospitali wakaniambia...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
1.wanawake wanaelea familia zao wakati wanaume wapowakimbia,wanavumilia mateso mengi sana wanapokimbiwa lakini katu wao hawawakimbii watoto. 2.wanawake wanaposalitiwa wanaumia sana lakini...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Matumainiyangu mu wazima wa afya samahani kama nitakua nimewakwaza wakina dada ila huu ndio ukweli ambao nimekutananao so lazima tuuzungumze na turekebishane pia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
WANAWAKE MPOO..? MKITAKA KUDUMU NA WAPENZI WENU BASI SIRI HII HAPA... TAMBUA THAMANI YAKO Ili uweze kuwa bora ni lazima uanzie kwako, ujitambue kama mwanamke na thamani yako kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wadada wa MMU? Kwanza kabisa niwape hongera kwa kuolewa, ukitaka kujua thamani ya mumeo angalia wadada walio single kwenye age ya kuolewa, wanavyotamani na kumuomba Mungu usiku na mchana...
13 Reactions
112 Replies
8K Views
Nimejiuliza sana kwanini miji mingi Tanzania ukikuta nyumba mmiliki ni mama basi imelithiwa kutoka kwa marehemu mumewe,sijabahatika kukuta nyumba imelithiwa na Baba,inamaana wanawake awajengi ili...
3 Reactions
75 Replies
6K Views
Kuna sk niliomba ushaur juu ya mwenendo wa mke wa rafki yang kwangu kwan alitaka nimzalishe ukweli alitia majaribun lakn baada ya kupata ushaur wenu wakuu na mm nikamshauri sasa amejirekebisha na...
0 Reactions
1 Replies
837 Views
With the power of God bestowed on me,I pray that you marry the last person you had sex with this recently. Do I get an "Amen" or "God forbid" from you?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwaka 1995, jamaa mmoja mwenyeji wa Tarime mkoani Mara aliye kuwa akiishi na wanawake wapatao saba katika himaya yake iliyopo katika eneo la Bugarika jijini Mwanza, alifanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau,binafsi nimebahatika kusherehekea maumbile na mabinti kutoka pande tofauti za tanzania,nilichogundua ni kua mabinti wengi wanye asili ya ukanda wa pwani ni mafundi sana wakati wa kupiga...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Naomba wadau tujadili haya mambo mawili juu ya madada/mama zetu wa kada ya unesi. 1. Ni kwa nini familia nyingi sana ambazo mama ni nesi walishatengana na waume zao? (kutokana na uchunguzi mdogo...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Hapa mujini kuna dansi alimaarufu KANGA MOKO. hapa dansi hii ina ma-stage show wenye WOWOWOO YA KUTOSHA,wanavalia kanga moja tu,vuta picha kanga ilivyo nyepesi alafu ndo imefungwa kustiri WOWOWO...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEE! CC Mtambuzi, amu , gfsonwin, Madame B, Paloma, Boflo, marejesho, Asprin, Kaunga, Zion Daughter ET AL!!!!!!!!!! Husika na kichwa cha habari hapo juu, Jamani mbona kimyaaaaaaaa...
15 Reactions
135 Replies
7K Views
Nimefanya uchunguzi ktk ndoa nyingi ambazo zilifungwa kwa hiari ya wanandoa wenyewe, achana na zile za bahati mbaya ambazo hutokea kama kulazimishwa baada ya binti kupewa mimba na kijana kususiwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom