Hbr wana JF kufuatia baadhi ya ushauri ambao mlinipa mtoto Maria ashaanza kuja kwenye lane
Nimechat nae FB nikamueleza yale ya moyoni tayari lakini bado haja tick (hajakubali) kkatika maongezi...
natoa angalizi tu kutokana na uzoefu wangu.wanaume mkifika chuo kuweni makini na mabinti wanaotaka muishi wote kwa nyumba sababu wanakuwa kimaslahi zaidi uweze kumuhudumia kuanzia malazi.chakula...
Okey..'mpango mzima n hv wana mm nina mdashost wangu mmoja yupo..'college moja hv pand za Mosh,kilimanjro..'nimekuwa naye kwa mda mrefu xaxa mara nying yeye kunitafuta labda mpaka awe nashda...
Jamani mi kuna swali huwa najiuliza inakuwaje mwanaume amedumu na mpenzi wake zaidi ya mwaka then
anamvisha pete na kila mtu anaona kwa maana hiyo hakuna atakaye msogelea mwanamke huyo ikiwa...
Wakuu heshima kwenu,
Kumekuwa na mjadala mzito hapa sehemu ya kupatia kipato kati ya makundi haya mawili ya wanaume, ambao wako kwenye ndoa na wasio kwenye ndoa( hii inahusu zaidi familia za...
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje?
Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilifikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani. Nikiuliza tatizo nini...
Najua humu ndani kuna watu wa aina nyingi sana.wapo wanaoweza kunisaidia tatizo langu.na wapo wanaptweza kudharau na kunikebeh
Umri wangu ni miaka 29 sasa.kila nikipata mwanamke nikikaa naye sana...
Mimi ni msichana wa miaka 23, katika maisha yangu ya mapenzi nimejikuta natongozwa sana na waume za watu au mwanaume ambe yupo kwenye mahusiano , jambo hili limedumu sasa kwa miaka 3 yani hadi ma...
Kijiji hicho kipo pembezoni mwa Bwawa hili la Mtera
Hivi karibuni nilisafiri kwenda mkoani Arusha ambapo nilipata mapokezi mazuri kutoka kwa wadau wa Arusha Wing na baadaye nilielekea Mkoani...
KINACHOMFANYA MWANAUME AKOROME NA KULALA BAADA YA TENDO NI MAUMBILE NA SIYO HIARI YAKE
Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu mzima kama kuna mahali...
Wana MMU,
Mwenzenu tamaa zimenizidia siku hizi.pamoja na kwamba nina girlfriend wangu,lakini kwa muda kama wa miezi miwili sasa tamaa zimeongezeka mno.Asipite mdada tamaa zinawaka hadi abdala...
30 Ways to make your woman happier.
It doesnt matter whether shes your girlfriend, girl youre after, or your wife.. Here are a few tips to make a girl (in general) happier.
1.Be true to...
JE? Kufanya BusuMate na Kumshukia unaweza pata HIV?
watu wengi wamekuwa wakifanya "romance" kupandisha mihemko ya kufanya mapenzi kwa
kunyonyana ndimi,baada ya hapo wakiwa kwenye sita kwa...
Wana MMU salamu kwenu. Niko kwenye ndoa miaka miwili tuu sasa lakini naona ndoa inataka kuwa ya majonzi kwangu.
Kabla na baada ya kuoana na mume wangu maisha yalikuwa poa sana na tendo la ndoa...
Inasemekana binadamu tunapofanya tendo la ndoa tunaiga style za wanyama
1. Kwenda Chumvini - tunawaiga Mbuzi, Ng'ombe na Farasi
2. Kichuma Mboga - Tunawaiga Mbwa
3. Kifo cha Mende - Nyani na Paka...
Mdogo wangu wa mwisho yupo UDSM anachukua shahada ya kwanza, anaishi chuoni. Mimi na yeye tumepishana kama miaka 20 lakini yuko free kuongea na mimi na kuniomba ushauri. Familia inaishi DSM na...
hv mabint hampendi kutumia kinga ni kawaida sana ukiwa na mwanamke wa leo ukimlainisha tu unaingiza ndonga na wala haulizi na hata kama akitumia basi ni siku ya kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.