wadau nipo kwny dala dala natoka tandika naelekea kariako 2po kwny foleni ya taa hapa chang'ombe shell lakini huwezi amini kuna jamaa yupo na demu wake cti ya nyuma wanashikana na hatari zaidi...
Jamani, hili ni jaribu langu huu mwaka, nampenda sana huyu binti/mama haijalishi awe ameolewa au hajaolewa ila kiukweli huwa silali hata nikiona movie yake. Siku hizi nikiona tu kwenye movie jina...
Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Wakati wapo wanawake ambao hawapati salamu barabarani, Nikki Lee, 25 amevunja rekodi baada ya kutimiza idadi ya wanaume 5,000 aliofanya nao ngono.
Nikki...
++
Naanza nawe Mtambuzi,
Asemaye mengi kwa wazi,
Mchache wa maoni kwa nyingine uzi,
Bingwa wa kutoa laiki kwa zako uzi,
Nakupa U-VC MMU.
++
gfsonwin u mwalimu hakika,
Walee Mentor na...
AFTERNOON MMU
Napenda kusema jamani watanzania tujikubali tu!!!!!
kuna kitu cha nishangaza kwann tunawapa majina ya kidhungu watoto wetu wakati majina asili yapo na maana zake? kawnn tucwe kama...
Wanaume wengi wanapobaini kuwa wapenzi wao wanawasaliti, hutunisha misuli kuonesha umwamba kwa kuwatwanga makonde wapenzi wao au kuwafanyia mbaya wale waliowanasa. Lakini uchunguzi wa wana mapenzi...
naombeni muwe wakweli mnavutiwa na mwanamke yupi
mwenye upara ,au nywele fupi...au mwenye nywele ndefu...aliesuka rasta au weavings, au mwenye dread? au alievaa wigi? be honest....kina baba
Maji ni Maji LAKINI yakitiwa viungo na nyama huitwa MCHUZI, yakitiwa sukari na matunda huitwa JUISI, yakitiwa majani huitwa CHAI, na pia yakichanganywa na Udongo na uchafu huitwa TOPE ...
Guys Ushauri ni muhimu na ninauhitaji sana!! Story ipo hivi...Nina rafiki yangu Alikua nna mke wake na watoto watatu wakiume mmoja na wakike wawili watoto ni wakubwa kiasi binti mkubwa ana miaka...
Swali langu ni kwamba, utapenda kuwa mtu mwenye mafanikio (Tajiri) (kumbuka utajiri utakupa uhuru mkubwa wa kufanya kila kitu utakalo) lakini mwisho wa siku utaishia kuwa na mke/mume ambaye you...
Wanabodi habari za weekend??
Nakubali ndio MAPENZI ni 'phenomenon' ya ajabu...Mapenzi bana wanasema yanakujaga tu kama mvua...Na wengine wanasema ukipenda waweza kuwa kipofu..nyekundu ukaiona...
Sikutaki tena diana,huna shukrani, nilijitahidi kukupa kila kitu ili uridhike,wewe ukahadaika na dunia,ni mwanaume wa aina gani usiyemjua diana??,nimevumilia uchafu wako nimechoka,kama hii ndio...
Enough is enough...
Dem mzuri kishenzi, anafanya kazi CRDB...jamaa yake ndio kanipokea ofisini mwaka huu January wkt naanza kazi, he is more than a brother to me, hadi kanishirikisha kwamba ana...
Hello sweeties, I am here again. How is your life out there? To me, so far so good.
We are in our 6th year of matrimonial life. I'm thinking of doing something I don't know yet to surprise my...
Taarifa za kitaalamu zinadai wanaumme tunapochukua dogodogo na kuachana na wale wa saizi yetu tunawasababishia kukataa tamaa ya kuzaa na hivyo kujikita kilaini kwenye MENOPAUSE.
Yabidi tuwe na...
1. Mi huwa si mtu wa kujisifia sifia saana nkiwa na gal,najhd kumfny mazur yang ayaone mwnyw na km kunisifia anisifie mwnyw.
2.Huwa najtahd sn kumantain nice&impressive personal appearance...
Watu wangu wa nguvu!! Naomba leo niulize hawa watoto wa Rais wa Marikani ( Barrack Obama) wanasoma saa ngapi maana kila siku wao wapo kwenye ziara na baba yao na je, watapataje ma-boy friend kama...
Nii hvi juzi tuu imetokea,kuna Dada anaishi karibu na ofis yangu.Hyu dada alipenda kunipiga mizinga,akiniomba kias cha pesa nampa,mambo vyepe,misosi,dinner kama kawa lkn mii ckua na mmaind...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.