Ndugu wadau utakuta mtu una girl friend wako...,na haujawahi hata cku moja kum-dissapoint ktk mahitaji yake esp financially.,sasa inatokea cku hauko vizur na anahitaj letsay elfu30..,na ww...
sijui wamaakili gani yaani kidume unapiga hesabu ya kutafuta hela yeye ( demu) anapiga hesabu za kula hiyo hela yako na si kutafuta kama issue ni kungonolewa mbona raha tunahisi wote acheni...
Marhabaaaa......!!!!
Hamjambo wote?
Yamemtokea puani kijana mwenzenu kwa kutaka sifa za kijiiiinga. Hii ni tabia ambayo imeendekezwa sana na vijana hasa wanaume kupita mtaani...
Jamani ni kweli anae mtenda mke au mchumba wa mtu nae hutendwa...? nimekuwa katika tafiti ndogo ndogo za wanandoa na walio katika mahusiano. kitu cha kwanza nlichogundua katika wanandoa wengi hasa...
Hamjambo members wa - JF? sijui mnaendeleaje na harakati za kwenda RITA kubadilisha yale majina ya kufoji tuliyoweka kwenye hati zetu za kumiliki mashamba magari na assets zetu nginyine wakiwemo...
#Majanga
Mwaka wa majanga huu kwangu!!!
Leo nimeamini kufanya ngono kwa jitihada kunafaida nyingi ila kubwa zaidi presha inakwishaaaa, uzito wote kwishney unakuwa mwepesiiiiiiii.
Leo majogoo...
kwa uzoefu kidogo nilionao wasichana wengi sana hupata maumivu makali na hata kulia pindi wanapoingiliwa na mwanaume kwa mara ya kwanza.wengine hata hutokwa na damu sehemu za siri wakati zoezi...
Heshima kwenu wadau?.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Zama hizi vijana wengi wanachelewa kuoa ama hawataki kuoa kwa kisingizio kuwa "bado wanajipanga".
Ikimaanisha kuwa maisha...
Mm ni mwanamke niliyeolewa ,kutokana na majukumu yangu kama mwanamke natamani mungu angenibadilisha na kupewa majukumu ya mwanaume. Kwa mfano sipendi kujifungua, na sipendi kuwa chini ya mwanaume.
Nakumbuka mwaka 2011 nilianza mahusiano na kijana mmoja hapa dsm.
tukaanza kutembea kimwili kwani nilimuamini na nilimpenda alinitambulisha kwa wazazi ,marafiki zake na ndugu zake wote.
tukiwa...
Kama wewe ni Mwanaume halafu ni mfupi kama kashata na bahati mbaya udongo uliishia katikati mapema wakati sura yako inatengenezwa,na hela ya kuhonga huna....Naelewa mateso unayoyapata mtaani...
Heshima kwenu wana jamvi. Nina rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona si vibaya nikiwashirikisha juu ya jambo hili. Wapo watoto watatu katika familia yao ye ni msichana, pia wana kaa na mtoto...
Habarini za asubuhi ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa dhati maana niko njia panda sijui lipi la kufanya,mimi naishi Arusha nina mke na watoto wawili sasa hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita...
You have to success the following
1)To plant your ideas in someone else's head.
2) To put someone else's money in your own pocket. The one who succeeds in the First is called a TEACHER and the...
Kuna jamaa alisikia simu ya mke wake inaita akaamua kupokea. Kisha akauliza we nani mwenzangu? Upande wa pili (sauti ya mwanaume) ukajibu, we mpe mwenye simu niongee naye. Jamaa akasema "mimi ndio...
Mwanamke ni kama Gazeti,aina ya gazeti ndio inayoamua nani akununue..Kama wewe una hadhi ya The Guardian una uhakika wasomaji wako ni watu wa aina flani kutokana na habari zilizomo humo...
Zamani,Mwanaume ili uwe na soko hapa mjini ilikuwa lazima upige chuma,uwe na mwili wa mazoezi,soap soap pamba kali,moka mchongoko kama mchaga wa mbarali,basi una uhakika unan'goa mzigo...
kumekuwa na dhana potofu na ya kipumbavu ndani ya mahusiana baina ya wachumba yaani kufanya tendo before marriage mi binafci na hata watu wenyekuona mbali hatukubaliani nalo hata kidogo. Ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.