Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
MADAKTARI WALIMU MAHANDISI MABAHARIA WAVUVI WANAFUNZI WANAWAKE WANAUME WANAMIZIKI WAIGIZAJI WACHEZAJI WAHUNZI MABAR MAID WAFANYABIASHARA wasusi nk taja moja tu
0 Reactions
24 Replies
5K Views
jamani nina mpenzi wangu ninampenda sana sasa nikamuahid kumpa 50000 at the end of the month sasa kwa bahati mbaya mpaka sasa mishahara bado yaani imefikia mpaka naona aibu kwani nahici kama...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali...
5 Reactions
83 Replies
6K Views
1) Being gay is not natural. Real People always reject unnatural things. 2) Gay marriage will encourage people to be gay. 3) Legalizing gay marriage will open the door to all kinds of crazy...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Jana nilimzaba kibao mpenzi wangu baada ya kuniita Fool, Muoga na Etc. Akanirudishia kibao na akaona aitoshi akakimbilia chaji ya laptop yangu akanipiga nayo usoni. Kama ingekuwa ni wewe njia...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wadau naomba kufahamishwa kama ni kweli kahawa ina mchango wowote kwa mwanaume katika tendo la ndoa. Wasalam......
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Je thamani ya mwanamke ni pesa hasa anapotafuta mpenzi? Nataraji mawazo mengi kutoka kwenu zaidi akina dada...maana mnackitisha sana.....!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Japokuwa watu wengi uwadharau na kuwaweka daraja la chini sana dada zetu wa nyumbani,kwa kuwaona wachafu,washamba na watu wasio na thamani, kwangu mimi ni tofauti sana,kwani tangu nianze...
1 Reactions
73 Replies
13K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23,niko peke yangu, na mwanafunzi ninayejielewa, namtafuta mrembo wa kuwa na mimi kama wapenzi. Mdada huyu atakeyeridhika na mimi awe na elimu ya kuanzia kidato cha 4...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
....Mungu alivyokuumba ndivyo ulivyo huna sababu ya kujilaumu.. kwa kuwa hukujiumba wewe.. kama ni mfupi ndio fungu lako huwezi kuwa mrefu... hali kadhalika kama ni mrefu huwezi kujifanya mfupi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nipo hapa Moro kwa kazi ya siku 5 kuanzia leo. Natafuta Kampani ya Binti wa Chuo kwa ajili ya kubadilishana mawazo baada ya saa za kazi. Upweke umenizunguka hapa, hivyo kampani itanisaidia kuona...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wasalaam ndugu, Umemuaga Mkeo unakwenda safarini Morogoro, mkeo akasikitika sana na hata machozi yakaanza kumtoka ukapata kazi ya kumfuta. Ukiwa njiani unapata simu kutoka kwa ‘’Boss’’ wako...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
1. Wanawake wawili marafiki wakutane halafu wakae mahali bila kuongea umbea,labda wawe mabubu 2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza 3.Mke wa ndoa asikuombe hela...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Habari wana MMU,mimi ni msichana mwenye kazi yangu ya kuniingizia kipato kidogo, na elimu ya kawaida.Kikubwa ambacho kinaniuma sana mpaka naandika huku nalia,Nina BF wangu ambaye aliamishwa kikazi...
6 Reactions
128 Replies
9K Views
Habari wànajamvi,å Leo hii nina uzi na ninahitaji kujua juu ya hili ambalo nataka kuuliza kwahyo mwenye maoni,uzoefu hata knowledge(ujuzi) juu ya hili nitakuomba to share Hivi ni kwanini wanawake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dah uwa naumia sana nikifikiria kuhusu kifo,ivi kuna siku nitakufa na kuiacha dunia,ndugu,jamaa na marafiki??,nitaziacha raha zote na shida za duniani??,kweli nitakufa??,nitakufaje??,wapi?? Na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siyo siri huyu mwanamke nampenda sana,kila nionapo picha yake huwa napagawa sana,mwenye contacs zake naomba au mwenye uwezo wa kuniunganisha naye afanye hivyo haraka,naumia mno
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Wanajukwaa, Nimekuwa nikisoma mada mbalimbali huku MMU imebidi niwaombe tuweke koma tuwaze kidogo; hivi ni kweli TZ imefikia huko? Kila siku vituko vya mapenzi: leo boss ananitaka, kesho mwenye...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mambo haya 3 fanya kwa kufikiria sana: 1: MAPENZI 2: MAONGEZI 3: MAAMUZI mambo haya 3 usiyaone mepesi: 1: MADENI 2: MAJUKUMU 3: MARADHI mambo haya 3 ni muhimu kuyapata duniani: 1: KAZI...
0 Reactions
3 Replies
944 Views
Nimeona Threads nyingi sana na kusikia wanaume wakiwazungumza wanawake waishio Dar, Arusha & Moshi. So many generalization and accusations. 1.Pesa Wanaume wanakuwa wakiendelea kulalamika kwamba...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom