Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
swali: Hivi ni kwa nini watu wengi wakisikia wapepenzi wao wana UKIMWI au VVU wanawakimbia/kuwaacha?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu mzima kama kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao, pale wenzi wao wanapogeukia upande wa pili na...
29 Reactions
213 Replies
29K Views
Naomba msaada wenu; tumegundua mdogo wangu kabisa anatumia madawa ya kulevya. Shule ameacha kumbe toka januari mwaka huu hajakanyaga shule huku sisi tukijuwa yuko shule bording na ada...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Wana jf mara nyingi nimekuwa nikiwaskia watu wengi demu huyu si mtamu,je ni kweli wanatofautiana?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna mchungaji katoka wilaya moja ya Tabora kahamia hapa kwetu ameacha mke kwao sasa amewatokea wadadaaa ila mdada mmoja kamtangaza kanisani eti anataka kufunga nae ndoa akidai mkewe...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
#Majanga Jamaa angu mtu wa ruti kila kukicha anafanya kampuni zenye feza kwa wingi, kaenda Dar sinza hiyo kachukua bonge la hotel, homonies za jamaa zikapanda usiku jamaa akataka kiburudisho. Ee...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nakumbuka ilikuwa miaka ya 2006-2007 nlipokuwa naishi na dada angu huko Arusha pindi nipo fomu 5 Arusha sec.. Maisha yetu pamoja na shemeji yangu yalikuwa ni amani na upendo kiasi , lakini...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari zenu marafiki zangu Awali ya yote nimeonelea niseme jambo hili ambalo limenishangaza na tena kuniogopesha na zaidi ya yote limenifanya nianze kuwawaogopa wale ambao maisha yao siku zote...
14 Reactions
50 Replies
4K Views
Namtafuta Alex Bruno Mwalugali, tulipoteana mwishon mwa mwaka 2005 tukiwa matema beach sec school iliopo kyela Mbeya yeye alihamia mwanza. yeyote anaemfaham au anafaham alipo plz nahtaji contact...
0 Reactions
0 Replies
780 Views
natafuta mke wa kitanga miaka yangu ni 29 tuwasiliane kwa na email dicksonchaz@yahoo.com
0 Reactions
1 Replies
4K Views
HOW TO MAKE A MAN HAPPY 1. Feed him 2. Sleep with him 3. Leave him with peace 4. Don't check his phone (Msgs) 5. Don't bother him with his movements So whats so hard about that ? HOW...
0 Reactions
2 Replies
959 Views
wakuu ninaishi nyumba ya kupanga na ajabu vituko vya maisha vimekuwa haiishi kunitokea nyumba ninayoishi nimekuwa nikimfuma mara kwa mara mama mwenye nyumba akinichungulia bafuni nikiwa naoga...
1 Reactions
67 Replies
6K Views
Kuna hawa wanawake wanaopenda kuhudumiwa na utakuta mwanaume anajitahidi kumtimizia kila anachotaka na hata kumfanyia mambo mazuri mengine mazuri kama kumpa zawadi n.k bila hata kuomba(suprise)...
0 Reactions
88 Replies
12K Views
Jamani wanaJF nakuja kwenu na bonge la tatizo. Kwa kuwa hapa ni kigoda cha fikara naamini nitapata ushauri mzuri. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32. Nina mtoto 1 ambaye nilimpata...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
MATHALAN, mpenzi wako anakuwa na urafiki na watu mpaka anafikiriwa anatembea nao. Hii ni tabia mbaya na haikubaliki, ingawa wapo wazuri wa kutetea. Watasema, sisi ni washkaji ila fahamu mapenzi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana mmu? neno WIFE/HSBND MATERIAL ndiyo chanzo kikubwa cha ndoa kuvurugika. Watu wengi huamini maisha bila ndoa hayajakamilika na hayana furaha, hivyo wakimpata mpenzi ambaye anauwezo wa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Natumaini hamjambo mabibi na mabwana wa jukwaa hili, namshukuru Mungu hata nami ni mzima wa afya tele. Jambo lililonikereketa sana hadi kuamua kuleta uzi huu, ni kuhusu tabia za baadhi ya...
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Habari wakuu mm ni mzima wa afya ila naandika uzi huu nikiwa na akili nyingine sio ile impendezayo mungu na kama ntakosea basi naomba mnisamehe , nadhani nilishawahi kuleta tatizo langu humu...
0 Reactions
100 Replies
9K Views
hela za bure jamaani fungua link hiii http://visitprofit.com/?ref=87773
0 Reactions
4 Replies
1K Views
... Dada yangu anauzunika sana! "Nisaidieni mwenzenu jamani, nina watoto wawili, miaka 6 na miaka 4, wote wanasoma. siku hizi mume wangu amebadilika sana, kiasi kwamba hata ada za watoto wake...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Back
Top Bottom