^^
Mwanamke anapoteleza kibinadamu,akagundulika na anapobainika kuwa uongo,ujanja wake umefahamika,basi atatangatanga,ataumia kutoa machozi n.k. Kama ilivyo tu kwa upande wa mwanaume...
Mara nyingi nimekuwa nikiliwaza hili. Kati ya sisi wanaume huwa tuna plan kuoa mwanamke bikira na kuanza kumfundisha mapenzi yanavyo fanywa.
Lakini ipo tofauti kidogo kwa upande wa wadada, sijawai...
Wadau ni nini maana halisi ya neno/maneno haya na yalianzia wapi?Na kwa nini yanasikika wakati mfungo wa dini mojawapo unaanzaaaa?
Kwa nini jamiii iwe na mtizamo wa namna hiii
WHITE WOMEN:
First date:
You get to kiss her goodnight.
Second date:
You get to grope all over and make out a bit.
Third date:
You get to have sex but only in the missionary position
IRISH...
Kwenye Saluni nyingi za wanawake, mazungumzo mengi yanahusu maisha ya watu na hasa kuhusu mapenzi na kipato, kashfa na saikolojia zisizo rasmi kuhusu ndoa na uhusiano. Kuna mazungumzao ya...
Sijui kama ndiyo jambo limezua jambo au nini. Tuliporudi toka ile ziara ya Ulaya, mheshimiwa akawa yuko kimya kwa muda. Walipokuja Dodoma akawa ananitafuta na mimi nikawa namkwepa sana. Hata hivyo...
Wajameni humu sote ni watu wazima. uwe umeolewa au msela au mtaraka au mjane au mgane...
hebu tujitahidi jamani midomo yetu kuisafisha.
inakera upo kunako mbingu mpya, baby baby nyiingiii lakini...
MWANAFUNZI wa Chuo cha Ufundi (VETA), mkoani Dodoma, Taliki Juma (22), amefariki dunia baada ya kujilipua kwa mafuta ya petroli. Mbali na mwanafunzi huyo kufariki, watu wengine wanane waliokuwa...
Wakuu,tafadhalini sana naombeni msaada mana hali ni tete,sitaki kwenda mbali sana ila naombeni msaada kwa anayejua iyo dawa na nimeshasikia ya kwamba hizo za madukani sio za kudumu,mana penye...
Wadau mi ni mfuatiliaji mzuri wa nyota zinazotolewa magazetini na mara nyingi zimekuwa ni sahihi almost 80%.Leo nitoe ushuhuda ebwana nyota yangu mwishoni ilikuwa inasema utapatana na mpenzi wako...
Dear Wapendwa
Natumaini wote mu wazima wa afya. Nisameheni kwa utitiri wa Threads wajameni mwezenu mie mwanafunzi nina kiu ya elimu hii ya kuboresha mapenzi!.
Najua kuwa wengi wetu tunapoanza...
Habari wana jamvi,
Tangu siku nyingi nimekuwa namzimia huyu binti jaman ,mrefu mrembo,tabasamu zuri ,natural color hajui hata mkorogo wala mchina,mwerewa,mtoto wa Raisi wa dunia Barrack Hussein...
MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na viboko 12 baada ya kukutwa na makosa mawili...
KKN, najua wewe umeoa, na nyie wengine mlio-oa, huwa mnahandle hii ishu vipi? This is one thing I hate about relationships, women always have something to nag about. Hii article imenichekesha...
nashangazwa sana na hali hii inayotokea. niko na rafik zangu 7 na wote awajuan lakin cha kushangaza wananisumbua sana nioe dada zao.nashindwa kuelewa wana lengo la dhati au wanafata maisha bora...
Mi nilidhan ntapata mke humu,kwa kuwa nipo serious hvyo niliwasiliana na mdada mmoja alieweka bandiko hapa kuwa anatafuta mchumba,nikaweka mtego kujua uaminifu na lengo lake hasa ni nin?,hvyo...
Vitu 10 Ambavyo Wanawake Wamewazidi
Wanaume...! Je ni kweli?
1. Wana Nguo Nyingi Kuliko Wanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi Wa Watoto
Wao.
... 3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda Hupenda...
Wangaruka.....
Mwanaume raha yake akuhudumie bwana. Sio kwamba kwa ubaya ila basi kunogesha penzi. Haina maana kabisa kama mwanaume wako ana uwezo wa kufanya jambo fulani ila halifanyi kwako kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.