Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Noamba niweke kisa kinachonitesa kila siku. Ilikuwa mwaka 1976, nikiwa nimemaliza chuo cha uuguzi na kupangiwa kazi hospitali ya Mbeya. Baada ya kufika Mbeya na kuanza makazi rasmi niliita...
29 Reactions
251 Replies
17K Views
Mwanangu kamaliza form six, hakupata chuo mwaka huu, hivyo namfanyia mipango aende masomoni India akasomee degree ya graphic designing. Nimegundua kuwa ana mapenzi ya dhati kwa binti yetu wa kazi...
0 Reactions
85 Replies
10K Views
Wana jamvi habarini za jioni poleni na mihangaiko ya kutwa nzima,. Nilifanya wide research (case...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
#majanga Makanisa yameisha? Mchungaji mmoja hapa mjini/kanisani kwetu yamemkuta, amekuwa anapenda sana kusafiri yaani sana. Safari zake mara nyingi ni za mikoani, mara Mwanza mara Moshi mara...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Men are very weak, though they try to deny it, mwanamke akijua kujishusha na kumnyeyekea mwanaume basi anaweza kumuendesha jinsi atakavyo, jamani wadada mjue kubembeleza na kumuhudumia mtu wako...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni jirani yangu kamfukuza mkewe baada ya kumpa kichapo kitakatifu. Yeye na mkewe wana mtoto mmoja na mkewe ana ujauzito wa miezi kama sita hivi. Sasa, Juzi wife kaingia chumba...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
hbr waungwana wa jukwaa la malovedavi jamani hivi ni kwanini wanawake huwa hawajitokezi hadhalani kutafuta wachumba kama wanaume haipiti siku bila kuona kauzi mtu anatafuta mchumba wa kuoa nini...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
mimi ni kijana nimemaliza chuo 2011,nimeamua kutoka nyumban na kwenda kupanga mitaa ya ubungo,na kwa sasa nina kazi nzuri tu nilishawahi kuwa na mpenzi lakini tuliachana,hapo nilipoamia nikakutana...
2 Reactions
78 Replies
7K Views
Kuna boyfriend wangu ambaye 2mekuwa wote ktk mahusiano kwa muda wa miaka minne toka tunasoma secondary lakini ameamua kuwa na mahusiano na mpangaji mwenzangu..,ambaye anasoma chuo kikuu hapa mjini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katika mada yangu ya leo ntajikita katika kudadavua tabia ya mabinti fulani hivi... Demu unampenda kwa dhati na pia upo nae close tangu kitambo katika normal relationships. one unatupia mistari ya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani kwanza natanguliza asante, naomba munifungue kidogo, nina mdugu yangu kajenga nyumba nje kidogo ya dar, sasa kaniomba nimsaidie pesa atie umeme, mumewe hoi hae. Naomba wana jamii forum...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu kijana aliuokota moyo wangu ukiwa kwenye mazingira magumu sana bila yeye kujua, kwa upande wake yeye alijua ni bahati yake au ujanja wake kama unavyojua vidume wa mjini, naweza sema aliukota...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari zenu!! Kama mtakumbuka nili post miezi minne iliopita kwamba mke wangu hazai kutokana na sindano za majira alizochoma.Niliangaika sana katika Hospitali mbalimbali kama Kariuki,mhimbili na...
3 Reactions
66 Replies
6K Views
Jamani kuna vituko sana nina mwanamke ambaye ndio nataka kumuoa lakini anapanga mahali kuwa 1.hela ya uchumba nitoe tsh100000 na hela ya vinywaji tsh 80000 2.mahali ni tsh 1000000 Hivi jamani...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
hela za bure jamaani fungua link hiii http://visitprofit.com/?ref=87773
0 Reactions
0 Replies
962 Views
jamani nina mpenzi wangu ninampenda sana sasa nikamuahid kumpa 50000 at the end of the month sasa kwa bahati mbaya mpaka sasa mishahara bado yaani imefikia mpaka naona aibu kwani nahici kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jamvi mm nna mke wangu ila huwa yuko bize sana na cm upande wa taxt mda mwingine nahisi kuwa kuna mtu ambaye labda ni mtu wake maana nikitaka kuchukuwa cm yake huwa anaedit kwanza ndo...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Piga no. 0688135465 ujipatie mume mwenye umri wa miaka 25 na kuendelea
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mm nina miaka 25 natafuta mpenzi wa kuke. Mm ni mweuc, mfupi kiasi na mwembamba kiasi. Nipo Kagera kwa sasa. Nilifanikiwa kusoma kiasi sasa nawait ajira. Aliye tayari aweke namba yake atapigiwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hivi jamani mmewahi ona hii? eti m2 ana mpenzi wake ambae wanajuana kila kona lakini cha kushangaza eti mwanaume akiuziwa au akiwa hajapendezwa na ki2anashindwa kufunguka na kubaki na kinyongo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom