Siku zote naona tu kuna dawa za kuongeza nguvu za kiume ila sijawahi ona dawa za kuongeza nguvu za kike.
Mwenye kujua zinakopatikana hizi dawa plse atupatie taarifa hapa jamvini nina uhakika...
Ukijiamini, mambo yako yanakuwa safi.....
Wanasema kila jambo lina hasara na faida zake. Kutojiamini faida yake kubwa ni kujificha mahali ambapo kila mtu anakuona na kuamini kwamba, umejificha...
yaan guys sio siri dunia imekwisha leo kwa mtaa wetu uku, kuna jamaa kambaka mzee wa miaka 80 sasa mi sielewi, huyu jamaa tatizo lake ni nini tamaa,ugwadu, uchizi wa mapenzi au ni nini hasa?
Hi,
Huwa nawashangaa sana wanaume wanaowapa wanawake mimba halafu wanamkana hadi na mtoto.Na hapa ndiyo najiuliza siyo wote wenye jinsia ya kiume ni wanaume.Kama hukumpenda mdada kwa dhati bali...
Wanajamvi habarini za mida? Ninajua tumekuwa tukijadili sana usaliti kwenye ndoa, kizungumputi kilichopo, na mengine mengi. Pamoja na hayo yote, ni kweli kabisa kuwa ndoa nzuri na perfect ziko...
Wakuu kuna hii tabia ambayo sijui kama ni utandawazi au tunakiuka mila na desturi za Kitanzania.
naomaba mnisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kujua jinsia ya mtoto ukiwa mjamzito?
Ni mambo ya ajabu na kusikitisha sana eti inatokea msichana\mwanamke unataka mwanaume mwenye sifa mfano mrefu mweusi asiwe mnene sana ,BASI wanatokea watu wanaPm nawe unachagua wa kwenda kuonana...
Habari zenyu bhana......... Hope mko pouwa!
Kuna hii issue ya wajawazito kuvaa nguo fupi maarufu kama vimini, unakuta mama mjamzito kavaa kigauni au kiskirt kifuuupiiiii saaaaana kinachofikia...
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na...
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya Wanawake wanaonekana ni wavivu wa mapenzi katika ndoa.Viashiria vyake ni wanaume kuwa na nyumba ndogo kutokana na kutotosheka kimapenzi katika ndoa.Waliotoa...
katika maisha yangu niliapa mjeshi kuanzia magereza, taja mwenyewe hadi Jeiwi, kamwe hawataingia kwenye maisha yangu au mwanangu, LAKINI kwa uvumilivu wa mr. Prez Jah Kaya anavyotawala...
Hivi kwanini serikali isiruhusu ndoa za jinsia moja maana hawa watu wapo tutake tusitake wamejaa katika jamii yetu na wapo mitaani wanajificha na kufanya ufuska nyakati za usiku, sababu tu...
Hi!
Je hii ni kwa sababu ya kutopata malezi mema kutoka kwa wazazi?Au viongozi wa dini hawafanyi majukumu yao ipasavyo?Au ni kutokana na kusahau mila na desturi zetu!
Au sayansi na technolojia...
Habari za mishughuliko wadau?
Watu wa mitaani wanasema kuwa kufanya mapenzi bila kinga kwa bao la kwanza halina madhara yeyote kama mmojawapo kaadhirika na HIV/AIDS, Lakini sharti moja ni kuwa...
We kama hunipendi kuna kundi la wananipenda we kama hunijali jua kuna anaenijali na kunithamini we kama unanichukia wapo wanaoongea na mimi na kucheka nao. Niseme upendavyo na nichukie utakavyo...
Mimi ni kijana wa miaka 27. Ni daktari kitaaluma. Nimesoma seminari ktk kipindi chote cha maisha yangu ya elimu ya msingi na sekondari. Niliingia kozi ya udaktar nikiwa na miaka 20. Hapo ndpo...
Kuna siku mtu alileta mada ya unalalaje? akaweka picha nyingi watu waseme anavaa nini wanapolala.
Kila mtu alikuwa na lake la kusema, ila niligundua watu wengi hasa walio ndoani walisema wanalala...
Kumbuka kuwa:
uwongo umesababisha watu kuingia katika uhusiano kimakosa.
Umesababisha watu kulea watoto wasiokuwa wakwao.
Umesababisha watu kuhukumiwa makosa yasiyokuwa yao.
Umesababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.