Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
The World Health Organisation, WHO, has said 77 percent of women in Nigeria use skin-lightening products, the world’s highest percentage. The figure compares with 59 percent in Togo, and 27...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Tumejuana na mdada huku mtandaoni, tukapeana namba tukawa tunawasiliana na kutaniana sana kwa kipindi cha miezi mitatu bila kuonana, sasa tukapanga kuonana huku kila mmoja akiwa na furaha na...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu wanaMMU dakika chache zijazo nitatakiwa kufanyiwa operesheni ya kuondoa kidole tumbo (appendix). Japo ni upasuaji mdogo, haya mambo ya general anaesthesia yanatisha kidogo. Naomba sala zenu...
23 Reactions
69 Replies
4K Views
Salam mbele kwa wakubwa na wadogo Tafakuri yangu leo ni kwenye hiki kitabia kilicho common sana kwa wanaume wa zis days Kuna baadhi ya vijimameno wanavyotumiaga wakiwa wanaaproach vinakera sana...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Nimeisoma hii kwamba kunautafiti umefanyika umegundua kwamba wanaume ndio wanasononeka sana wanapokosa watoto, very interesting story from bbc, unaweza kuisikiliza zaidi hapa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kuuliza ni vitu gani vinamfanya mwanamke avutiwe na mwanaume?
0 Reactions
65 Replies
5K Views
kwa wapenzi wa kuzamia chumvi halahala kuna kitu inaitwa HPV inaleta cancer ya kooni, na kusambaza cancer ya cervical, anal na genital warts.........muulize star wa Basic instinct Michael Douglas...
10 Reactions
67 Replies
6K Views
Hawa ni raia watano wa Yemen wamepatikana na hatia ya kuzini na wanawake wa Saudia Arabia hukumu yake ndo hiyo majina yao ni Khaled, Adel, Qasim Saraa, Saif Ali Al Sahari na Khaled Showie Al...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Mimi ni binti wa miaka ishirini na saba, nina mpenzi lkn mpenzi wangu huyu aliwahi kubahatika kupata mtoto na msichana mwingine alitengana na mtoto kama mwaka mmoja, mama wa mtoto alimchukua mtoto...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
kuna msichana mmoja she is my best friend, ila nimeanza kumpenda kutokana na tabia pamoja na uzuri wake ,tumefahamiana ni zaidi ya mwaka ,ila kumueleza hisia zangu kwake nimeshindwa kabisa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
wanamme huwa tunaamua kuwa na mke zaidi ya mmoja kwa sababu hizi kwanza ni pale unapokuta mwanamke hajijali anaish utafikiri mzee akiwa home hii inajenga mazingira ya kero na mtu kuamua kuongeza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
^^ Linapokuja suala la kufunga uzazi,wanaume wengi hawataki Je,tatizo ni nini? Nimesema hivyo baada ya kupata habari ya mwanamke ambaye ameaga dunia jana Kutokana na kosa la kibinadamu la...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Ni jamaa ninaeishi nae nyumba ya kupanga. Anamke tena mzuri tu na mtoto wa kama miaka mitatu hivi. Kwa ujumla ni mpenzi wa movi za x. Nazani sababu kaoa huwa ananunua na kuziangalia na...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari wana jf. Hakika nina kisa kilichonitokea hadi sasa sijui lakufanya.. Nimeanza mapenzi na msichana tangu mwaka 2008 nikamsubiri hadi kamaliza shule . Alipomaliza kidato cha nne bahati...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 20, nimeathirika na ninaishi kwa matumani. Bahati mbaya nilizaliwa na hiyo hali kwani mama na baba yangu ndiyo walikuwa wameshadhirika nilipozaliwa. Kwa...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
wadau nini kinasababisha hii?
0 Reactions
89 Replies
22K Views
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
0 Reactions
215 Replies
12K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Its Sunday and a Sacred day, so people i know im gonna press your buttons but please remember its sunday and stay positive despite how...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi...
3 Reactions
56 Replies
5K Views
Mtakufa bure kwa kutembea na wajukuu zenu. Leo nilikuwa nasimamia kidogo biashara ya familia (Nyumba ya wageni) Punde kibabu kikaingia na kabinti mjuzi wa mambo. Walipo fika wakawasha Tv wakawa...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom