Umeshawahi kufanya abortion? (Kwa wanawake)
Umeshawahi kusuport/ kukataa mwenzi wako kufanya abortion? (Kwa wanaume)
Nini sababu za kufanya abortion?
Nini mtazamo wako juu ya abortion? Unadhani...
Hii ni mambo ambayo iliwahi kunitokea mimi lakini pia ndugu yangu wa karibu na marafiki zangu kama wawili, mambo yenyewe ni hivi KUNA UHUSIANO WOWOTE WA HEDHI NA MABADILIKO YA HOMONI KWA...
Habari zenyu banaaa ni hvii huyu jamaa ninayeshea naye bed sometimez kachange gafla,anapotezea calls na sms zangu,home kwangu hafiki tena n.k anadai yuko bize ila nahisi kama ameopoa goma...
1. Kugusika kirahisi: Mtu asiyejiamini huwa anagusika kirahisi sana, jambo dogo linaweza kumnyima furaha kwa kiwango kikubwa. Jambo dogo linaweza kumuudhi kupindukia. Kuna watu ambao kwa utani...
Jana nilikuwa sehemu moja maeneo ya Segerea na mume wangu. Katika kupata kinywaji wakaja baadhi ya marafiki zake, ila kuna huyo mmoja mwisho wa siku alitia aibu sana. Muda wote wenzie wanachangia...
Pink is back. for those who, like me discovered her with "there you go", each new album was a new punch of adrenaline. remember hits like "comin up" and "I'm still a rock star" featuring her ex...
Hizi ni sheria, ni kama katiba ila haihitaji mchakoto mrefu na malumbano kama ya CDM na CCM na kwenye katiba mpya ya Tanzania. Hii haijaandikwa popote japo mwanaume unatakiwa kufahamu. Ni sheria...
Wakuu, Najua dunia ina mambo mengi magumu, mengine yanakatisha tamaa hadi watu wengine wanatamani kunywa sumu, kujiua, kufa ghafla au kufanya lolote ilimradi tu wapotee kwenye uso wa dunia! Mfano...
ndugu wana jf.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nimejitokeza kwenu mnishaur mimi nimewahi kuwa mchumba binafsi nilimpenda na nikadhamilia kumuoa sasa tulidum kwa mda wa miezi minne cha ajabu...
INAUMA SANA CHEKI HII ,Unamnunulia demu CM mwanaume mwenzako anamnunulia VOCHA !
Huo ni Mgawanyo wa Majukumu. Unamrushia demu love SMS yeye ana foward kwa Mwanaume mwenzako !
Huo ni Mwingiliano...
Matamanio ya wanaume kwa wanawake
1-Je umbo la mwanamke?
2-Je makalio ya mwanamke?
3-Je unene wa mwanamke?
4-Je umbo namba 8 la mwanamke?
5-Je matiti ya mwanamke?
6-Je lips za mwanamke?
7-Je...
Habari wana jamvi,kwa kweli kuna jambo mimi linanikera kwa kweli,kuna baadhi ya misamiati wanapenda sana kuitumia wapendanao nayo ni "UTANIKUMBUKA"na huu "KUMBUKA BABY TUMETOKA MBALI"sasa...
Habari zenu humu ndani...Na pia samahanini kwasababu hii stori ni ndefu kidogo
One week ago wkt natoka safari na gari yangu ndogo majira ya sa kumi na mbili jioni, kwa mbele nikaona Mark X nyeusi...
hello jf members
Kwa mtazamo wangu ni kwamba wanaoishi bila kufunga ndoa wanafuraha na amani kwani kila mtu anajitahidi kutokumuudhi mwenzake ili wasiachane
kuliko wale waliopo kwenye ndoa...
''It hurts to love someone and not be loved in return. But what is more painful is to love someone and never find the courage to let that person know how u feel, and then regret it''
''maybe...
Mwenye sura hiyo ni mwanamke. Ninaamini umeshawahi kukutana na sura kama hiyo mahali na kama bado, huenda utakuja kukutana nayo. Kama ni hivyo, hebu soma kidogo kuhusu haiba za mtu mwenye sura...
Wanajf naomba ufafanuzi,kuna ulazima/umhimu wa mwanaume kumzidi miaka mwanamke' km ni yes miaka mingapi,mi mchumba wangu namzidi mwaka m1, nimuoe? Au atazeheka mapema kulko mie? Karibuni
Hii imemtokea binamu yangu, akiwa University alikuwa na boyfriend, mapenzi ya ujana na ahadi za kuona, ikatokea binamu alipata ujauzito, akiamini yuko kwenye strong relationship, akamumbia jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.