Wewe mdada unakuta umeshajua kesho au jioni kuna safari ya pahala fulani tena anafahamu masiku au weeks kabla lakini inafika time ya kuondoka anakuja kumalizia kupaka make ups kwenye gari. Halafu...
Vitendo vya Ibrahim Mohamed Anti Suzy havikuwapendeza watu wengi hasa wanaume. Alipingwa mitaani, barabarani na maisha yake yakawa ya kujificha mithili ya panya.
"Niliwahi kupanga nyumba karibu...
Hii nimeitoa sehem flani...
Jamaa
Katika pilika zake za hapa na pale akiwa stend kuna
dada kadondosha simu
akaiona akamuita daah dada
alivyomsonya dah mtu mzima
akaaibika akaikota ile simu...
Ina maana sisi wanaume wenye kipato cha chini ndio wa kunyanyasika siyo. Nimemtokea mdada mrembo mwenye maisha yake ya uhakika. Nimemkomalia sound za kufa mtu.
Leo nimeonana naye alichofanya ni...
Kilio cha mapenzi;hivi ni akina nani unafikiri wanaongoza kuvuruga wengine...wanawake wanawavuruga wanaume, au wanaume ndio wanaowavuruga wanawake zaidi?
CUF yaingangania Chadema kuhusu ushogaJUMAPILI, JUNI 02, 2013 07:51 NA MWANDISHI WETU
LICHA ya vyama vikubwa viwili vya upinzani, CUF na Chadema kuombana radhi kutokana na mvutano ulioibuka...
^^^
Kila mmoja wetu amesikia tabia hii ambayo inakua kwa kasi sana katika dunia Lakini pia tatizo ambalo linafanywa siri katika jamii nyingi.Pamoja na sababu nyingi zinazotolewa kukuza tatizo...
Habari hii nimeikuta kwenye mtandao wa global publishers, waandishi wa habari za udaku...maswali yangu kwa wanajamvi ni : 1. Ni kweli viumbe wa namna hii wapo hapa kwetu...
Habari gani wana JF, hivi juzi kati nilijiunga ktk blog flani(Badoo) ambayo ipo kwa ajili ya kuwakutanisha watu na marafiki mbalimbali au wapenzi.... sasa juzi kuna msichana aliejitambulisha kwa...
Wa 60 na 80 hatuwezi make,
Na kabla sijahema washakugema sana mafataki,
Shikamoo unakaza.. umri ka maza,
Na mi sio faza ni vipi nitakuliwaza?!
Unataka kunikuza ah wapiiii!!!!!!
~~ukickia paa ujue...
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini...
Haya ndiyo maneno ya baadhi ya madada (wanawake) wa siku hizi, hasa wa mjini.
Fedha kwa sasa imekuwa ndiyo kila kitu kwa vijana wengi hasa wa kike!
Hawezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja na...
Neno WAPENZI katika mahusiano linakuwa na maana nyingi kutokana na mazingira na aina ya PENZI linalokuwepo katika wapenzi. Penzi linajengwa kwa UAMINIFU kati ya wapenzi.
Historia imebainisha...
habari za leo,
mim ni kijana wa miaka 28, nina galfrnd wangu ambae huwa tunakutana mara moja au mara mbili kwa mwezi kulingana na ratiba inavyoruhusu, sabab hatuishi karibu sana na kila mtu...
Kila mtu akiwa anavunja amri ya sita huwa ana aina yake ya mguno
Wapo wanaoimba, wapo wanaotaja majina ya wazazi wao, wanaoomgea kilugha,u, wapo wanaopiga kelele, wapo wanao wanaolia kichini...
Wana JF, habari za siku nyingi...
Napenda niseme ukweli wa moyo wangu. Leo nimebahatika kuonana na kuongea na Lisa! Nilivyomuona tu, moyo wangu ukaridhika kwamba macho yamelenga penye mvuto...
Salaam!
Unahisi maisha bila mwanamke ama bila mwanamme yamekamilika? Jibu sahihi: Hayajakamilika! Kivipi? Kwa sababu maisha ni binadamu kuzaliana, hivyo lazima mwanamme na mwanamke wawe na...
1. Kuwa ndani ya ndoa.
2. Kuishi kwenye nyumba yako mwenyewe.
3. Kuwa na watoto (wawili+)
4. Kama ni muajiriwa kuwa kwenye supervisory au senior position.
5. Maliza michakato ya msingi ya formal...
Baadhi ya sifa za mke mwena ni hizi hapa;
i. Hufumbua kinywachake kwa hekima, Na sheria ya wema katika ulimi wake. Wanawake wengi hawajuikuutumia ulimi vizuri Ukali, maneno ya mikato, matusi...
Je kosa ni la mwanaume ambaye hajamkfikisha kileleni na hajui kama kamfikisha au la?au kosa ni la mwanamke ambaye hajafikishwa na hasemi ili next time afikishwe kileleni,ana pretend ameenjoy na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.