NIMEAMUA KUWEKA BAADHI YA HASARA ZINAZOWEZA KUSABABISHWA NA MUME ASIYE MPOLE AMA MKE ASIYE MPOLE KATIKA NDOA NA FAMILIA
.kifupi ni wale wakorofi.
1.kuwepo kwa ugomvi mwingi usioisha ndani ya...
kuna misemo ya wanandoa mingi sana''tumesha pata watoto wetu wawili basi tunafunga hatuzai tena''msemo kama huu ningeshauri uwe wenu wawili tu msijaribu kumuambia mtu mwingine nje kwani madhara...
Jamani wanajamvi,habari wote,poleni na majukumu ya kazi
Samahani kama ntakuwa nimemkwaza mtu,
Kwa yeyote anaejua MC Mzuri,yaani best MC IN DAR,Kwa Vigezo vyote maadam jamii...
Najua kuna vichwa humu ambao mnaweza kulifanunua suala hili hivi inakuwaje unakutana na mtu mwanamke au mwanaume ambaye hamjaonana hata cku moja wala hamjuani alaf anakuangalia sana lakini...
Ilikuwa siku ya mchezo wa mieleka jamaa akimshabikia undertaker mke john cena wakawekeana hela kwakweli cena aliposhinda mke kakurupukia kuchukua laki2 jamaa kwa hasira alimpiga tiktaka mpaka mke...
1. Kuendekeza kulakula tuu wakati wote ni kutafunatafuna.
2. Kupaka lipstic nyingi hadi inakera unakuta lips zimekuwa kama zimepakwa damu.
3. Kuendekeza kitambi/tumbo kubwa
4. Kula kucha in the...
AINA ZA HUSBAND
1. Bachelor Husband - Huyu hajali
familia yeye na marafiki na
kushinda nje ya nyumba yake
2. Acidic Husband - Huyu ni mkali
kwa kila jambo hata jambo liwe
dogo vipi ni kuwaka...
Ni kwanini wake za watu ni wepesi xana kushawishiwa kimapenzi? Pia hutoka xana nje ya ndoa hii inatia hasira xana je wadogo zetu kwa njia hz wataoa na kuolewa? Mh! Inatisha lakini ni lazima kuna...
Im so depressed i need someone serious who i can talk to of any gender.NB:Im not in need of a relationship but a friend or someone who can listen and not judge!:disapointed:
najua mtakuwa na mawazo tofauti juu hili hebu nipeni ushauri kwa mfano ww umekutana na rafiki wa kike katika mtandao kwa mfano facebook nk mkazoeana kiasi kwamba katika urafiki wenu hata siku moja...
Wakuu je mnafahamu kuwa rafiki yako ndio mtu wa kwanza kumshawishi mke/mume/bf/gf wako kucheat?
Mahusiano mengi yamefikia tamati kwa kusababishwa na rafiki uliyenaye?
Kabla sijamwaga hapa...
najua mtakuwa na mtazamo tofauti juu ya hii wana jf nipeni mtazamo wenu juu ya hili mfano wewe umepata rafiki katika mtandao kwa mfana facebook nk kiasi kwamba hamuwezi kukosana hata siku moja...
Baada ya majukumu ya wiki nzima katika sehemu zetu za kuwajibika na bila kusau kulitendea haki jukwaa la MMU katika kujenga jamii safi yenye kufuata mpango wa Mwenyezi Mungu, kumbe basi tunayo...
Mimi nna mpenzi wangu(lady) ambaye hajawahi kuwa kwenye uhusiano kabisa na hatujawahi ku do
nilichogundua kwake ni kwamba ana msisimko sana na mara zote huwa anakwepa kuongelea ishu za kimapenzi...
Wanna kill yourself? Imagine this.
You come home from school one day. Youve had yet another horrible day. Youre just ready to give up.
So you go to your room, close the door, and take out that...
Habari mwana JF. Hebu fikiria Inatolewa OFA ya kisheria ya serikali na kidini kuwa Watu wakajiandikishe majina yao Bomani au Makanisani/ Misikitini kwa wale wanaotaka kuacha wake zao au waume zao...
nilikuwa na mpenz wangu tulipenda sana.mwanzo aliniambia alikuwa na mpenz wake.waliachana coz ya tabia za ule dada.hata mama ake mzaz hakumkubali.marafiki zake pia hawakupenda.kuna cku uyo dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.