Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Heshima kwenu brothers and sisters MKATA KIU siku za karibuni nimekuwa mdogo, ujanja wote umeniisha sijui kwa nini, I see muda wa mabadiliko ndo umefika na kujitambua Kiukweli mi ni fan wa...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
++ Bado najiuliza ni kwa nini watu wanasafiri mbali sana na kupoteza rasilimali nyingi ikiwemo fedha,muda,na mengineyo kutafuta maajabu ya dunia,,huku wakiacha ajabu la mwanamke? ++ Sababu hasa...
5 Reactions
75 Replies
9K Views
Mwanzoni tokea nimekuwa na mke wangu nlikuwa namtamani kila mda ila tokea last week hata akinigusa sihisi chochote je hili lasababishwa na nn?wakuu mana anajiskia vibaya as if mie nimepata...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 9 lakini sasa ana mimba ya jamaa mwingine stori kamili nimeipata toka kwa rafiki yake nimembana amekubali na kuniomba msamaha nimeshindwa la...
0 Reactions
97 Replies
7K Views
Machapisho ya Moabi ndio habari za mwanzo kabisa kutanabaisha yakuwa Yusufu ndie binadamu wa kwanza KUBAKWA na mke wa mfalme wa Yudea, na adhabu ilitukia kwake kwakwenda jela kifungo kirefu...
0 Reactions
55 Replies
17K Views
Wakuu ni matumaini yangu mko poa. Mimi ni mvulana miaka 20 niko chuo. Nimepata ajali ya kuungua na moto kwenye mguu wa kushoto nilipokuwa na umri wa miaka mitano na kusababisha mguu wangu...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Ndugu zangu, kwa mda wa wiki moja hivi nimekuwa jukwaani hapa kama mgeni baada ya kuzawadiwa ban kutokana na mchango wangu huko jukwaa la siasa, jukwaa lile kuna watu wanakera, wana-behave kama...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
The core to this subject is contemplative neuroscience (which asserts that a person can increase/extend his/her capabilities and capacities towards love, feelings, emotions, meditation and...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hebu niPm number yako nikucheki maana hata mimi nipo lonely! But only decent women please!
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Vijana wengi tumekuwa tukilalamika kwamba mabinti wa siku hizi wana mizinga ya reja reja tena mikubwa. Ila hili jambo ukiliangalizia katika "big screen" ni jambo ambalo linakufanya utafute hela...
3 Reactions
67 Replies
9K Views
FOOTBALL vs SEX. 1. Going to your bf/gf's without being invited = OFFSIDE 2. Dating a girl today and having sex on the same day = FREE-KICK 3. Condom = GOALKEEPER 4. Condom breaks =...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello everyone, am here because am curious and maybe i want to learn and understand something. To you all who are in a love relationship, i wish to know something; how many of you are...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Kwa wale mnaofanya mambo ya faragha mbele za watoto, haya ndo mavuno yake Little Girl Confronts Mom and Dad about Them having Sex! - YouTube When kids see too much... - YouTube Na wale mnaowapa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutoka kushoto Paloma, ladyfurahia na wa mwisho ni charminglady sijui wanateta nini, nisije nikasutwa..... Hebu nikuulize wewe mwanamke. Je umewahi kumficha mumeo au mpenzi wako kitu chochote...
10 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu wa MMU heshima kwenu! mimi hili jambo huwa linanikera saana, maana wapo wasichana wengi wazuri, warembo wenye kila sifa, lakini utashangaa kijana anang'ang'ana na mke wa mtu, kwa nini...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
1-Wengine wanaogopa fedheha kwa kuwa wanaolewa /anaolewa akiwa si bikra 2- Ni uoga wa kuanza kulala bila nguo ya ndani akiwa kwenye ndoa na mumewe 3-Sababu ziko nyingi lakini asilimia kubwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Unakuta msichana mzuri anavaa kinguo kama yupo chumbani na mpenzi mpaka wakati mwingine anatembea anaona aibu, kwani nani anataka kuona hivyo vipaja vyenu vibaya, acheni kuiga kila kitu kutoka kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Salamu kwa wanajf, Ni swali ambalo mara nyingi nimekuwa nikijiuliza mara nyingi pasipo kupata jibu la moja kwa moja juu ya hoja ambazo najiuliza mwenyewe, hivyo basi ningependa kuona ama kupata...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani mwenzenu nasumbuliwa sana na hii tabia; Kila ninapokuwa na jamaa zangu tukizungumzia masuala ya mahusiano huwa tunazungumza mengi sana kuhusu wanawake lakin wakishaanza tu kuzungumza kuwa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari, Jamani naona haka kama kamekuwa ka ugonjwa. Nilianza kama utani miaka michache nyuma kumnunulia kama zawadi kwakuwa naona different different design & colors zinaleta muonekano tofauti...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom