Imagine kuwa umekwenda mitaa flan kutembea,suddenly unakutana na your lover(ww ni mvulana)ukamsalimia,kama kawaida ukambusu kwenye lips,wakati unambusu kumbe dadako wewe alikuwa anapita,dadako...
Habari wanajamii, hope mko bien wote. Jaman me nnatatizo linanikwaza sana. Hapa ofisin natumika na mkaka mmoja . Sina mahusiano nae zaidi ya kikaz na wala hajawahi kunitongoza. Ila ananisifia sana...
Jamani,
kamshahara hakanitoshi, nashindwa kumpigisha pamaba za uhakika mama watoto, nashindwa kuipeleka familia vacation, nashindwa kufanya maendeleo.
Mke wangu anauliza hela zinaenda wapi sina...
Wakuu heshima kwenu.
Katika harakati zangu za ujasiriamali nimekuja na business idea ambayo inahusiana moja kwa moja na hili jukwaa.
Business idea yenyewe imechochewa (inspired) na matatizo...
Wana jf, hivi juzi tu ndio nilitoka visiwa vya Ukerewe. Kuna kazi maalum ilinipeleka nyumba kwa nyumba(japo baathi tu). Cha kushangaza sana ni kuwakuta wanawake na wanaume wanaoga bila ya aibu...
Habari wakuu wote, nimejaribu kuwa karibu sana na wadada lengo ni kuwasoma tabia na kujua nani anaweza kuwa mke mwema baadaye lakini naona sipati mke sahihi kwani ninapojenga urafiki haipiti wiki...
Habari yenu wana MMU
Kama kawaida mimi napenda kusisitiza kwa moyo wote kila raia anatakiwa aweze kuzijua na kuziongoza hisia zake kwa usahihi na umakini wote.
Napenda kujikita zaidi kwa...
Author: Anonymous
Ni siku nyingi kidogo, mwaka 1979, lakini ni tukio ambalo liliniuma sana. Ilikuwa vigumu sana kulisahau na lilinifanya nijiulize, inakuwaje Mungu anakuwa mkatili kiasi kile...
Habari wana jukwaa.kwa mara ya kwanza naomba mnisaidie.je kuna tofaut kati ya KUPENDA na KUJALI? Mtu anaweza kukuambia nakupenda halaf haonyesh kukujali?mf. Yuko radhi akukwaze kuliko amkwaze mtu...
Habari wanajamvi wenzangu
Natumaini mko fiti ktk weekend hii, wengine mmepumzika kutokana na wingi wa shughuli za wiki iliyopita, na wengine mko pande tofauti mkisalimia ndugu na jamaa na...
Hivi inakuwaje, mume na mke mmejiunga kwenye mtandao wa kijamii kama Facebook then baada ya muda flani mume anampiga marufuku mke wake kutoingia Facebook tena, kisa wanaume wana like na kucomment...
Sikuwa hewani....nilikuwa bize na mgeni wangu!
Kwa wote mliokuwa mnafutilia issue ya mgeni wangu kutoka km 1000 kuja dar ijumaa jioni ! Ni hivi kama walivyoshauri wengi nilimpokea mimi na mke...
Nilikuwa napenda sana mahusiano ya mbali lakini sikuhizi siyataki baada ya mwenzangu kutoonyesha kuni..miss au kuwa na hamu na mimi wakati hatujakutana siku nyingi...Halaf simu yake hata akienda...
Hiyo sura unayoiona hapo juu ni ya mwanamke, ambaye amejiremba na kupendeza. Lakini kujiremba kwake hakujabadilisha sura yake halisi, kwani hata bila kujiremba angeweza kuonekana kama...
Napata maswali mengi kichwani mwangu! Mpenzi wako akikwambia nimekumis huwa anamaana gani? Maanake most male partners wanadhania kugegedana 2! Nisaidie wana jf!
Katika mahusiano vigezo vya walio wengi katika mahusiano kwa wapenda na wapendwa ni sura, mavazi, mivao, miondoko, maumbile, nywele, rangi na mengine mengi sana pamoja na hali ya uchumi.
Kuna...
Habari zenu ndugu zangu.
Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.