Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna kakijana kana miaka 18 kinamtaka mke wa baba yake mimi najua nakaeleza hii ni laana akanielewi. Nimekatishia baba na huyo mama yake mdogo wana ukimwi kameenda kuwaambia wote. Sent from my...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
I am convinced that my husband having affairs with three different women. I got this information from friends and relatives. I cannot prove my fears as he plays the perfect husband at home, but...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
tumeishi zaidi ya miaka minane,tumejaaliwa watoto 3,leo hii amenibadilikia,hanifurahii tena,kila siku afadhali ya jana,msaada please
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilipofika hapa mjini nilikua sina ndugu,dah nikakutana na jamaa mmoja ambae tulielewana sana nilikaa kwake mda wa miezi 8 mpaka na me nipokua mwenyeji nikapata chumba changu za kupanga na...
1 Reactions
84 Replies
6K Views
A store that sells husbands has just opened in New York City, where a woman may go to choose a husband. Among the instructions at the entrance is a description of how the store operates. You...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nashukuru waungwana nimepata king'ast ambae kwa baadae atakuwa mama chanja wangu!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kama ilivyo ada katika jamii mkwe ni mtu anae heshimika sana kwa vile ndie mzaa chema. Mkazi wa kijiji cha Genkuru wilayani Tarime Marwa George ameuwa kwa kuchomwa na mkuki na baba mkwe wake John...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
1). Always lie and constantly say they'll never do it again. 2). Rarely talk to you unless they want something.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana JF kuna rafiki yangu kaowa wiki mbili zilizopita ila tatizo linalomsumbua na kumkwaza ni kua mke wake anapata maumivu makali sana wakati wa tendo na kibaya zaidi ni kua hafurahii tendo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bahari kitu kibaya,haiwezi aminika Bahari si km kwaya,unacheza ukicheka Bahari haina haya,kwa kile inachitaka Hii ni bahari gani? Kuna wanyama wakali,baharini watajika Wengine twala kwa wali,pale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa..kwa mara ya kwanza naomba mniambie je kuna tofaut kati ya KUPENDA na KUJALI au yanafanana.je unaweza mpenda mtu halaf ukawa huonyesh kumjali???msintukane naitaji kujua
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ki ukweli mimi nimetokea kumpenda dada ,,pja kutoka kwenye mtandao wa fb, na sio siri tunapendana sana kila siku tunaongea na cm kwasababu yko chuo na anatarajia kumaliza mwaka huu kaniambia kuwa...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
imekuwa kama biashara ya waganga wa kienyeji,biashara ya wachungaji na mapepo au mashehe na majini lol....almost inamuaminisha mtu pengine ambaye ni mzima kuwa ana kitu fulani au kuna forces...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jamani naombeni ushauri tumetembelewa na mdogo wake shemeji yangu dada mzuri kinoma kila wakati ananiraumu kwanini simleti geto kwangu niliko panga ili akapaona na ananitega kinoma jamani vipi ni...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
WIFE W:wonderful I :Item F:For E: Entertainment HUSBAND H:Handsome U:Useful S:Smart B:But A:At N:Night D:Danger
1 Reactions
7 Replies
2K Views
nakumbuka mwaka huo huyo binti alinipigia simu kuwa anaparty ya engagement kwao......nilimjibu nipo nyumbani likizo and wished her all th ebest,,,nilishare picha after likzo... huyu binti ana...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Jiran yetu leo amtimua mwanae wa kike kisa kutukanwa na bwana wa mtoto. Tusi ambalalo lilomfanya afukuze mtoto uyo ni.(siri kdogo)ili ni neno la mwisho kwa uyo jamaa--> Usimwogope uyo mwanajeshi,)...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
hello wanajf hope mpo well wakati mwingine tunawaonea wasichana walo soma eti wanawadharau waume zao pale wanapoolewa na wanaume ambao hawajasoma,kwa upande mwingine nao wanaume wanamatatizo ya...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
2 Reactions
621 Replies
43K Views
Back
Top Bottom