Jirani yangu amemtisha mkewe kumuacha kisa mke kamkataza kuwa karibu na mwanaume ambae anashukiwa ni shoga
hapa mnapata picha gani? Apartment yao iko close na yangu, niliyasikia hayo mm mwenyewe
Alianza kunitongoza kama masihalah nikamjibu nina wangu akasema tuwe marafiki tu basi ila akawa anakumbushia siku mojamoja kuhusu ombi lake,ananiletea zawadi,anashow care kwangu,anadai hapati...
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi...
Nakumbuka mwaka 2004 huko nchini Afrika Kusini kulizuka mjadala mkali sana kuhusiana na nguo za nusu uchi, hasa kwa wasichana wa shule. Mjadala huo ambao ulihusisha maoni ya wananchi wakiwemo wale...
wana Jf...eb nisaidien
Kuna dada nlmit nae chuo nikamwaproch akanambia for nw hawez kuingia kwny uhusiano cz anaogopa isitoshe yeye ni bikra na alshawai nivulia mpk nguo alnivulia for...
Amekuwa ni rafiki wa mdogo wangu wa kike, ni rika moja na dogo langu, sasa nashangaa juzi kati hapo kanirushia ki2 cha msg eti ananipenda kupita kiasi, nimeshindwa kum judge asee, she is cute ila...
Ndugu wana jamii nahitaji msaada wenu,nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 2,nampenda sana na ni mrembo sana.Hivi karibuni nimegundua ametoa ujauzito ambao alinipa taarifa kuwa anao...
Habari wana JF, nimejiunga na hii Forums siku si nyingi, ila nimependa sana comment zenu , na ushauri mnaotoa kwa watu mbali mbali pale wanapoomba msaada wa mawazo, nami nikavutiwa nikaona bora...
10000 times stronger killer of CANCER than Chemo".. do share it.. can save many lives, fill up hopes and build confidence in the patients...
The Sour Sop or the fruit from the graviola tree is...
Wana JF! Habari za asubuhi. Nina rafiki yangu amekuja kwangu na tatizo dogo niliona bora nije huku kupata ushauri toka kwa wataalamu maana sijawahi deal na hili swala.
Rafiki na mume wake...
Wana JF,
Katika thread hii https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/412151-kinachodumisha-mapenzi-hiki-hapa-2.html, Mchangiaji mmoja kwa jina la Mzabzab amesema kitu ambacho...
Dear fellow women;
You can do almost anything you put your mind to
You can swim the deepest ocean and climb the highest peak
Be a doctor or fly a plane
You can face adversity and still walk...
This goes to all sugar mamy's lovers ....mnalelewa kisha mnajifanya wajanja cheki mwenzenu!! Jamaa alikuwa ni lazima agawe dozi kutwa mara mbili siku saba za juma , mwaka mzima!!
Husband...
Watu wazima kabisa wengine wanatosha kuitwa babu wanawatongoza mabinti wa shule tena wakiwa na sare zao na sisi tunaona lakini tunauchuna tu, hivi kweli hatuwezi kuzuia?
Mfano pale Kariakoo n.k...
Wakuu,
Kuna msichana yupo njia panda. Ana umri wa miaka 23. Ana mpenzi wake ambaye wana undugu pia. Dada yake huyu msichana kaolewa na anko wa huyo mpenzi wake. Wanapendana kwa dhati na hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.