Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jaman kweli kuna umri unafika ni lazima ulale na mwenzio hapa nakiona kitanda futi kumi akat ni futa 5 tu.ucku mwema wandugu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
ES umzuri wa sura,rangi yako ilikuwa tiba ya macho yangu,umbile lako hakuna wa kufananisha nae.Nilikupenda nawe ulinipenda tena sana,ni makosa yangu ndiyo yaliyopelekea leo hii umeamua kuniacha na...
4 Reactions
70 Replies
9K Views
Nilichokitafuta nimekipata,hii imenitokea jana; Mimi niliolewa miaka mitatu iliyopita,tuliishi kwa furaha na upendo mimi na mume wangu.Mwaka jana nilianza kuhisi mahusiano ya mume wangu na...
7 Reactions
128 Replies
10K Views
Habari zenu wadau? Mie ni mgeni naomba mnipokee kwa kushirikiana kwenye hii mada. Katika maisha yako ni nani unamuamini zaidi? Mazazi/rafiki ama Mpenzi? Au kuna yeyote ambaye hayupo kwenye kundi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
. He won't commit to a future with you. A man who is in a very unhappy or unsatisfying marriage can feel swept awayby how wonderful you make him feel. He may even blurt out, "I've neverfelt this...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
MARA nyingi vijana hupata taabu sana katika suala la kuchagua mchumba. Vijana wa kiume ndio hasa hupata wakati mgumu zaidi kwani jamii imewapa wajibu wa kuanzisha mazungumzo yahusianayo na...
8 Reactions
15 Replies
11K Views
A. 0 % B. 25 % C. 50 % D. 75 % E. 100 % Comments#
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Niaje wana jamii? nimekuwa muda mrefu sana nikipita na kusoma comments za wadau mbalimbali bila kuchangia chochote,hongereni sana kwa mawazo yenu na ushauri mnaowapatia members wengine...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Huwezi kuongelewa mapenzi bila kutaja suala la pesa. Wapo watu ambao wanaamini kuwa na pesa nyingi, nyingi kabisa za kutosha husaidia penzi kuwa imara na linaloridhisha. Hata hivyo tumeona penzi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni tabia ambayo imekuwa common sana katika relationships nyingi nowdays. Kumjaribu kwa meseji au kuchange voice au kumpa rafiki yako wa karibu amjaribu mpenzio/mkeo au mumeo,ajifanye...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
salaam wanajamvi, Leo nimeamua kuandika kuelezea umma namna udini na ukabila ulivyojengeka nchini, hususani katika mapenzi. Mimi ni mhandisi mhitimu wa chuo kikuu nina miaka 28. Mara ya kwanza...
0 Reactions
140 Replies
13K Views
Najua hapa si mahala pake ila ndo penye wengi wapendwa nahitaji msaada wenu. Nilireport mtu kunitishia maisha kituo kimoja cha polisi hapa dar,nikapewa RB.baada ya siku mbili nikapigiwa simu na...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
unapogundua mpenzi wako hakuamini kila unachomuambia kwake ni hadithi na mpenzi huyo labda tuseme ni muaminifu kwa aina moja au nyingine lakini wewe tuseme kwa tamaa zako umemcheat na kwa vile...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
:: Anaonekana mwenye furaha sana unapotaja jina la mtoto wake. Lakini kuna wakati anatoa chozi,,anainama,,na anafikiri sana na uso wake unapoteza uangavu wake wa asili. :: Anasema hakutegemea...
5 Reactions
75 Replies
5K Views
Hivi na wewe hii ilishakutokeaga? Eti uko na mwenzi wake mahali, ghafla simu inapigwa, akishaona jina au namba (kwavile anaijua) anakwambia wewe eti ndo uongee naye, tena anakwambia 'mrushie...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mapenzi ya siku hizi tofauti na zamani Ya sasa yanahirinzi,au kitanzi shingoni Mapenzi ni kama wizi,ulahai wa moyoni Wapendwao si wajuzi,hawajui kuthamini Wengi wao ni bazazi,mapenzi ya mdomoni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo kwa muda; nilijikuta nimmiss Konnie wa miaka kadhaa. Ilikuwa hivi . . . Katika pilika pilika za leo, nikakutana na mtu tulipotezana more than 17 tulipomaliza High School. Na tulikuwa...
19 Reactions
147 Replies
8K Views
Woman mauled to death by lion as she made love to her boyfriend in the African bush Boyfriend jumped up and fled in terror after the big cat pounced Same animal is believed to have killed a...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mapenzi ya siku hizi tofauti na zamani Ya sasa yanahirinzi,au kitanzi shingoni Mapenzi ni kama wizi,ulahai wa moyoni Wapendwao si wajuzi,hawajui kuthamini Wengi wao ni bazazi,mapenzi ya mdomoni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasalim, Ninadhani hii topic ilishakuja mara kadhaa lakini nashare nanyi hii kitu inayonifanya nikose raha sana nyumbani. Tuna wiki sasa amekuja msichana mdogo wa kazi kwa ajili ya kusaidia...
5 Reactions
81 Replies
6K Views
Back
Top Bottom