Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Enyi wadada na wamama wa kileo,tufunge tumwombe Mungu atusaidie tuje kuwa mama wakwe wema wenye upendo wa kweli sio wa kinafiki.Naandika tu lakini nilishamwachia Mungu afanye anavyopenda yeye ila...
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu wakuu.ebana,kitambo flani nilikua na gal wangu ambae naweza kusema ndo nlikua nampgia mahesabu kama mambo yangeenda fresh ndo angekuja kuwa my life...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Mom Cut 20 Years in a Week Using This 1 Weird Trick The second picture is taken exactly 14 days after the first. Notice the strong difference after applying theTru Visage & Pur Essance After...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Tokea utandawazi uchukue hatamu hasa kwa nchi yetu tendo la kungonoka limekuwa ka fashion katika kila idara hatakufikia ya kutoheshimiana katika marika yetu si mzee si mtoto kila mtu ana hemuka...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi hii concept ya uvumilivu huwa ina maana gani katika ndoa au mahusiano? Imagine mwanume ameshaku cheat na wanawake kama nane hivi na unawajua na ni wa uhakika sio wa kuhisi (still bado upo...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Enyi mlio na akili nyingi, jamii yetu imejiwekea "utaratibu" uliojengeka kutokana na mazoea tu kuwa katika wawili wapendanao, kama watafikia kukubaliana wafunge ndoa, hasa ndoa za kidini, na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalam. Mimi ni mdada naishi Arusha na nnasoma chuo,ada najilipia na nina mtoto mdogo. Nna msichana wangu wa kazi anaetokea Busaka iko Chato Geita. Huyu binti aliishia form 2 baada ya kukosa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wazo la leo... KUWA NA BABA MASIKINI NI MPANGO WA MUNGU, ILA KUA NA BABA MKWE MASIKINI NI UZEMBE WAKO MWENYEWE. Tafakari
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Rafiki wa kike wa kwenda naye lunch kila siku na awe na sifa zifuatazo; umri 25+ -35, awe mzuri wa sura na umbo, si mnene, awe mke au si mke wa mtu, awe anaweza kujilipia bili itakapobidi na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau baada ya kumaliza shule ya msingi, sekondari, A-level mpaka shahada ya kwanza (BSc. Agriculture General (SUA) Na kupata kazi sasa ninajipanga kumpata mwenza. Kwa sasa nafasi iko wazi kwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
NI tabia iliyojengeka miongoni mwa wanawake wengi (siyo wote) kusachi suruali za waume zao zinapokuwa zimetundikwa au wakati wa kufua. Hivi sachi sachi hii mantiki yake ni nini hasa. Hivi kuna...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
Helo wana jamii amani iwe nanyi,mimi ni mwanaume ambaye nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja kwa muda wa miaka 2, nampenda sana na December mwaka huu nilitaka kumwoa.Wiki tatu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimekua nikisikia na kusoma sehemu mbalimbali juu ya Mwanamke kufika kileleni au kupiga goli wakati wa kufanya mapenzi,nimefanya mapenzi mara kadhaa lakini huwa sijui kama mwenzangu amefika huko...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Ee bwana siku moja, mi na rafiki yangu wa kike tukaenda Dharma Lounge kule Zanzibar. Ni club ndogo sana, yaani sio zaidi ya sitting room. It is a decent place na ma bouncer huwa makini nani...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Hivi mke wa mtu anapokuwa na urafiki mkubwa na wifi yake wenye same age au wameachana kidogo au kwa ndugu zangu waislam inapotokea mke mkubwa kuwa na urafiki mkubwa yaani ule wa kushibana na mke...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
/////////////////////////////////////////////////////////////////////////////////////////// \\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\\
0 Reactions
2 Replies
1K Views
So what is the magic number? Is it one, three, 15 or like players over 1,000.How many lovers have you had before marriage? And does it matter?.In my experience, for most men and women, a number...
3 Reactions
63 Replies
5K Views
:: Nimekuwa nikisikia vilio na malalamiko mengi kwa wanawake walio katika ndoa,wakilaumu waume zao kuchelewa kurudi nyumbani.Mume akirudi saa 4 usiku ataambiwa amechelewa,,saa 7 za usiku kuna...
0 Reactions
104 Replies
8K Views
Hovyoooooooo!!! Kazi kushinda kwenye PM na wanaume hata kuwajua hamuwajui, wenyewe mnajifanya mnachart, unachart na mtu humjui? Chat gani hizo za saa nane, tisa usiku, mnataka nini!! hamna wame...
9 Reactions
383 Replies
23K Views
jamani leo nimeshangaa sana kukutana na mkaka wa miaka 30 akisema hayo maneno. Nijuavyo wakaka wengi hawapendi kuambiwa wadogo. Nyumbani kwangu ukitaka kumkosesha raha mwanangu wa miaka 4 mwambie...
18 Reactions
523 Replies
20K Views
Back
Top Bottom