Chabo ni ugonjwa unao watesa watu wengi sana.
Oneni huyu kijana ambavyo amezuzuka kwa ayaonayo.
Haogopi tena hatari iliyopo nyuma yake, watu wanaweza kumpigia keleleza mwizi.
Sasa naanza kuamini...
Ilikuwa ni jumamosi mnamo mwaka 2012 nilipokuwa kanisani nikishuhudia ndoa ya rafiki yangu.
Ilifika mda wa kufungishwa ndoa na mchungaji.......hapo ndipo nilipoacha mdomo wazi
Msichana alikataa...
habari yenu wakuu,juz nilisikia mdada mmoja akijitamba kwa mwenzie kuwa jamaa yake ana kifua kikubwa na vinyweleo vingi kuliko wa mpenz wa mwenzie kiukweli nikaona niwaulize kama wadada hupenda...
Wana MMU heshima kwenu
binafsi ningependa kujua ivi chabo ina faida gani?
kwa wasio elewa ni nini maana ya chabo, ni "kile kitendo cha kuchungulia watu wakiwa faragha."
watu ambao inasemekana...
High heels were originally made for men, It was a sign of virility,
masculinity and high status.
Source:BBC News - Why did men stop wearing high heels?
Unaweza kufunga shughuli zako,au kuomba ruksa kazini kwako kama tu utasikia au utapewa taarifa kuwa mtu unaemfahamu amefariki au amefiwa na ukaenda msibani hata kama ni mbali
'
Lakini inakua...
''Alidhamiria kunichoma kisu kama sikukwepa leo hii mimi ni ningekuwa marehemu''' haya ni maneno kutoka kwenye kinywa cha mwanandoa mmoja ambaye ni rafiki yangu sana.huyu rafiki yangu mwanzoni mwa...
Ni mahusiano ya miaka saba, na mtoto wa miaka 5, hawajaoana
Mwanzoni wa mahusiano ndugu za mwanaume hawakumtaka mwanamke kwa kuwa ana imani tofauti, lakini mwanaume aling'ang'ana
wamejenga...
Habari zenyu wana Jf. nimewahi kuwa na mahusiano na mabinti kadhaa. kwenye kutimiza mahitaji ya msingi huwa nasimamia ipasavyo. Yaani sina mkono wa birika. Tatizo nipale baaada ya lile tendo...
wadau hebu nisaidieni hili maana nimenishangaza sana leo na hata sijui nyie mtalichukuliaje hususani wanandoa.
ni hivi nilikua na friend wangu tunapata soga mbili tatu muda uende kila mtu...
mtakumbuka niliwah weka thread ya kutafuta mwenz wa maisha..ingawa ckusema but moyon niliahid ntakapompata ubavu wangu wa kweli bas nirudishe ripoti
kama ambavyo jf mlijua kuwa natafuta mwenz...
Kwa huruma tu hamjambo! Jitu limekutenda weeee,limeuscratch moyo wako kama Vocha,unachoka unaanza mbele maisha yako yaendelee.Ghafla lile jamaa linarudi kama limesahau chenji bar,Anakufuata,analia...
Miongoni mwa ndugu, jamaa na
marafiki wanaoishi mbali mbali yupo
ambaye analazimika kuwajulia
wenzake hali au yeyote anaweza
kumjulia hali mwingine?
Nahitaji kujuzwa maana wapo
wanaoona...
Heheheh...kwa kweli huku duniani raha kweli.... hawa mabinti hapa ofisini wanamkandia kuna dogo kaajiriwa hapa kama mwezi hivi sasa...huyu dogo anagonga ng'eli mda wote, mpaka raha yani ......ila...
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa...
Habari za muda huu wadau wote wa ukurasa huu wa MMU na JF kwa ujumla? Binafsi napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mungu Muumba ardhi na mbingu kwa kunijaalia uzima na afya tele pamoja na furaha...
Hapa kwetu nimegundua kuna udhaifu wa wasichana wengi wagegedwe na kuachwa, kwa sababu mbalimbali lakini sababu ya Kwanza,Ni udhaifu!!
Wanaume na wao wameishaona kuwa wanawake wengi kwa sasa wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.