Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
We are in the conflict (b'se he's cheating me) right now. Can I change the locks? Legally do I have to let him back into the house? Can he call the police (justice community police) and have them...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
mpo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka 7! tangu mfunge ndoa na mmebaatika kupata watoto wawili! ghafla mmoja wenu mme/mke anagundulika ana HIV+ je ukiwa km mume/mke uammuzi gani utachukua? wewe ambae...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ninampenzi wangu ila tuko mbali huwa tunawasiliana tu,,tatizo ni kwamba nilikuwa nikimpigia sim hapokei kwa takriibani wiki mbili hivi baada ya hapo alinipigia sim nakunieleza eti alikuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natumaini hamjambo wanajamvi wenzangu Awali ya yote nimejisikia vizuri kuwa mmojawapo wa wale wanaoweza kuthubutu kufanya kitu na kikawezekana. Leo tena nimekuja na jambo au mada hapo...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Je, kujamiiana huondoa msongo wa mawazo kwa wanawake? UTAFITI uliofanywa na Chuo Kikuu cha State cha jijini New York nchini Marekani unaeleza kuwa manii ni nzuri kwa wanawake kwani huwaondolea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zanguni wapendwa leo naomba niwasilishe hili suala ambalo limekuwa likinitatiza kwa siku nyingi sana kichwani mwangu.Suala lenyewe ni suala la kujitunza kwa msichana au mvulana mpaka siku ya...
14 Reactions
112 Replies
8K Views
Jamani tumesalimika ndugu zangu? Nina hili jambo huwa naliwaza sana na labda sielewi kwa nini watu wengi wana mtazamo tofauti na ninavyoamini mimi... Ni hili swala la marafiki wa kuambatana nao...
24 Reactions
197 Replies
10K Views
Unafanya nini unapohusiana na mpenzi wako bila kuchunguza ya ndani zaidi na kuwa na muda mzuri wa urafiki (kama ambavyo mahusiano mengi ya sikuhizi yalivyo) halafu mnafikia kufanya maamuzi mazito...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
n lipi na kipi cha kukufanya uunipende wakati sikupi hadi siku ya ndoa
0 Reactions
79 Replies
6K Views
Hiv mchumba mzur ni yule unampata kutoka sehem gn? 1.Shuleni 2.Njian 3. Ofisin 4.Ndani ya basi /meli/ndege 5.Msibani 6.Aliyekosea namba ya simu 7-Kanisani/sehemu za ibada 8-Wa facebook...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari zenu wadau wa MMU Kwa mara ya kwanza naingia jukwaa hili kuomba ushauri juu ya kile kilinikuta; Mnamo mwaka mmoja na kitu umepita nilikuwa home tz kwa bahati mbaya au nzuri nikagongana...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
I got married because no one puts me on anymore except her! How about you?
0 Reactions
5 Replies
960 Views
kuna baadhi ya w/mme ni wadanganyifu sana, ana mke na wtt ila anakwambia ningekuta na ww mapema nngekuoa! Hvi huwez kumtongoza mdada bila kusema haya! Hvi ma gents 2juzeni mnajuta kuwah kuoa baada...
1 Reactions
50 Replies
4K Views
Hivi hizi sehemu kuhusishwa na sex ni kweli? na ni kweli kwamba zipo nyingi dar?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hivi ni kweli wanaume ni wengi kuliko wanawake?na ni kweli wanawake wengi hawajisikii vizuri endapo hawajaolewa au hawapo kwenye mahusiano fotauti na wanaume ambao ni single?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Help, I hate my husband and he wont leave. what do I do now? I have told him over the past 2 days I want a divorce but he doesn't. I don't want counseling I just want him to...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Ijumaa ikifika, kunakuwa maandalizi haya kwaajili ya weekend....
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Habar za muda huu wana jamvini, me leo nilikuwa naomba kuuliza eti ukifanya tendo la ndoa ni dawa, maana me siku nikiamka bila ya kupewa tamu(sex) na my wyf bas siku hiyo nikienda kazin nakuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Sura hiyo hapo juu ni ya mwanamke. Hebu itazame vizuri sana, kuanzia midomo, pua, macho na paji la uso. Hiyo ni sura ya mtu wa namna gani kitabia na je, umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye sura...
8 Reactions
83 Replies
15K Views
Habari wana jf. Mimi ni mwanafunzi ambaye mwaka huu natarajia kujiunga na kidato cha tano. Nina mwanafunzi mwenzangu ambaye yeye tatizo hili la vikwazo vya mama wa kambo vimemkabili. Story kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom