Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu wana MMU!!!!!!! Leo ningependa kuongelea kidogo kuhusu wanawake, Wanawake wengi hushindwa kuwaeleza wapenzi wao nini hasa huhitaji pindi wanapokuwa kwenye sita kwa sita na hii inaweza...
9 Reactions
25 Replies
3K Views
Looking out the window I impatiently tapped my foot as I waited for a friend who had obviously chosen to ignore the very purpose of time. He decided to be oblivious to this age old practice...
3 Reactions
25 Replies
8K Views
Wanawake waliopo kwenye ndoa walienda kwenye semina kuhusu ndoa. Muwezeshaji akawauliza mara ya mwisho kumwambia mme wako nakupenda lini? Wakajibu wengine asubuhi, wengine sasa hivi tu tumetoka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
WANA-MMU; Habari zenyuuuu! Najua Leo ni Blue Monday, wengi wenu mpo busy na kazi maana hamna hela,wengine mnasinzia kwa7bu ya hangover za Jana na wengine ndo kabisaaaa majobless hawajielewi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Did you know that one of the easiest ways to kill a relationship is by being jealous? That's right, jealousy not only kills any attraction you once had but actually moves you further apart. It...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nahisi wote ni wazima, kama wewe ni mgonjwa pole sana, Mungu akuguse jioni hii upate wepesi. Nachukua nafasi hii kutoa wito kwa wale woote wasio na wapenzi a.k.a SINGLES kutumia ukurasa huu kutuma...
11 Reactions
162 Replies
10K Views
Umewahi kukutana na mtu mwenye harufu mbaya ya kikwapa? Mwaka jana, nilikuwa ofsini nafanya kazi kama kawa mida ya ashubuhi. Pembeni kulikuwa na chai yangu. Aliingia dada mmoja hivi, du! Hata hamu...
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Wasalaaam! Naombeni kuuliza maana ya shanga/mkufu kiunoni nimeuliza wadada kadhaa uso kwa uso sijapata jibu la kueleweka. naombeni kujua umuhimu wake jamani. cc. Lara 1, gofswin, kongosho,smile...
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Bandugu ile kiroho safi tu, nataraji kuweka makazi pande hizo hivi karibuni sema cjawah fikaga wala kupajua. Mwenye habari za kisifa au mwenyej wa uko ka akitiririka atakua kanipa hope.. Pia...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwanzo nilihisi naota lakini kadri siku zinapo jongea ndipo nagundua kwamba ni hali halisi, Nilianza mahusiano na huyu msichana nikiwa Form 2 muda kidogo baba akaja kuona picha ya huyu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kristu Tumaini Letu (Romans mambo ya kwaresma!) IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!! Kama ilivo ada lile gwiji lenu la kuwaletea Kitu na Box a.k.a The Hard Talk ya mada dumeee almanusura juzi...
10 Reactions
99 Replies
12K Views
Sikujua kama jamvi ili ni ulimwengu mwigine. mpaka pale ambapo nilipoona uimwengu huu ukiwa nyuma yangu. sikujua kama jamvi hili ni ulimwengu mwingine mpaka pale ambapo ulimwengu huu...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Watu wenye sura hiyo hapo juu naamini kila mmoja wetu anaweza kabisa kuwa anamjua angalau mtu mmoja mwenye sura inayofanana na hiyo. Watu wenye sura hiyo ni watu ambao wana sifa ya uzungumzaji...
17 Reactions
124 Replies
10K Views
..imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu.. . . Ukiwa kama mfanyakazi katika taasisi au shirika flan, unapata majaribu mengi, mfano kufanya jambo lisilo na maslahi kwa shinikizo la miungu watu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ITV Tanzania: Katika hali isiyo ya kawaida mbuzi mmoja wa mkulima Bi Rehema Daniford wa kijiji cha Kinapanda wilayani Iramba mkoani Singida Amezaa mtoto wa mbuzi anaye fanana na binadamu sehemu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 24, makazi yangu ni jijini mwanza,nimeamua kushea story yangu ili niweze kupata ushauri kwa watu mbali mbali juu ya nini nifanye baada ya kutendwa katika kila...
0 Reactions
110 Replies
11K Views
Can you kiss your partner in public?? 1. Yes 2. No 3. I can’t 4. I fear 5. I am shy 6. _______?
0 Reactions
6 Replies
974 Views
Leo jumapili,nkaamua kupoa uswazi kwetu kichuna hakikuwa na nafasi ya kuja kututembelea,bac mama mwenye nyumba akaja kunjulia hali na stuli nkampa,baada ya kuongea hali ya hewa,siasa na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakubwa zangu shikamooni! IGWEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!! Kuna jambo moja linaendelea sanaaaaaaa katika jamii yetu na ni baya sana na la kunyong'onyeza kabisaaa! Na ndio habari ya mujini kwa...
21 Reactions
395 Replies
29K Views
Back
Top Bottom