Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Usikubali ufanywe kama chakula cha mgonjwa unaliwa ila hauna uhakika kama utabaki tumboni au utatapikwa.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wapendwa wana Jf poleni na majukumu, nikawa nimekaa mahali napunga kaupepo, huku nikiishuhudia Jumapili inavyo yoyoma, na hatimae watakao amka salama hususani sisi wakazi wa, asubihi kuanza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jana nikiwa ktk kijiwe fulani nikicheza drafti alikuja kijana mmoja hivi nimemsahau kwa jina. Akadai kwamba anampenzi wake ambaye bado ni mwanafunzi wa secondari na kwamba wameanza nae mahusiano...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Feb 16, 2013 – source: Andrew Harvey In this tell-it-all interview, Goldie Harvey’s husband confessed his late wife loved her former BBA star, Prezzo because of his manipulations. He...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
hivi hawa jamaa wanatushinda kweli? Hebu tuacheni umburulaa, wanatufanyia mambo ya kipuuzi tunawaangalia u! Never and never again!
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni mzuri sana, ana baby face, haoneshi kama ana mume kwa wale wasiomjua. Ninamheshimu naye ananiheshimu na pia namheshimu mume wake kama shemej yangu coz tunafahamiana kwa karibu! Bibie huyu...
0 Reactions
122 Replies
10K Views
Habari wana Jf, Naombeni mawazo yenu. Mie ni kijana mwenye umir wa miaka 21, najiandaa kuingia kidato cha 6. Nina mpenzi wangu ambae tupo umris sawa na nimeshawahi kufanya nae sex. Ikifika...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii imefanyiwa utafiti huko nchi za wenzetu lakin naona inatugusa hata sisi. Inasemekana kwamba wanaume waliooa wanawake wenye mishahara mikubwa au vyeo kuwazidi wao, huathirika kisaikolojia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
A man called home to his wife and said, ''Honey, I have been asked to go fishing up in Canada with my boss & several of his Friends We'll be gone for a week. This is a good opportunity...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MALEZI kwa watoto ni kazi ngumu sana licha ya kwamba yaweza kuwa rahisi kutokana na jinsi utakavyoichukulia. Kumbuka jinsi unavyomlea mwanao ndivyo atakavyokuwa katika maisha yake hivyo ni vizuri...
5 Reactions
23 Replies
12K Views
Tunazungumzia mapenzi katika sura ya kipekee kwa kuwa yanahitaji thamani ya hali ya juu. Yanaheshimiwa kupita kiasi kwa sababu yenyewe ni sanaa kiranja ambayo kila mtu lazima atayapitia...
5 Reactions
123 Replies
13K Views
Ebu tanzua hii kitu then utaamini nilisemalo.Unakutana na mwanamke ambaye haijalishi ulishawahi kuonana nae kabla au lah!unajikuta umempenda(kimapenzi)unamrushia...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
habari zenu humu wana mmu....mie ni kijana na ningependa kupata maujanja ya mapenzi. naomba mnikaribishe
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Thousands of people have been married in South Korea in the first mass wedding organised by the Unification Church since the death of its founder. Some 3,500 identically-dressed couples took part...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
kwanini kuwa na mpenzi bila raha? kuna wasichana wengine wanacho penda ni wewe kuwapa raha tu hii ni sawa? anacho taka ni raha tu ukienda na zawadi kwake raha lakini ukienda mikono mitupu ananunu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii aiwapi haki wanawake na ni unyanyasaji dhidi ya wanawake. Nachukulia mfano wangu mwenyewe. Mimi ninaishi na mke wangu japo sijafunga ndoa naye ila nimesha naishi naye miaka kadhaa. Mimi nina...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Nimepitia hii simulizi ya Mwanamitindo Anand Jon ambaye tayari kesha kufungwa na anatumikiia kifungo cha miaka 59 jela na amefutiwa mashitaka 48 baada ya kukiri ya kuwa alimrepu Model kupitia oral...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wadau wote tunakumbuka jana ilikuwa siku ya wapendanao al maarufu Valentine Day!wengi wetu tunajua nizawadi gani tulipewa na tukajumuika na wapendwa wetu!Ila kwa wale waliokuwa na Mpenzi kwa maana...
2 Reactions
95 Replies
6K Views
Mnamo mwaka 1973 Dk. Paul MacLean, mtafiti toka taasisi ijulikanayo kama National Instute of Mental Health, alibaini kwamba, ubongo una sehemu tatu zinazoendana na nyakati tatu za mabadiliko ya...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Women and Money have a common understanding. They know each other and they have established a means of communication. They real miss each other and know how to chase each other. Men are victim...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Back
Top Bottom