Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Happy Valentines Day kwenu nyote. Katika kusherehekea siku hii napenda kuwa na ninyi nyote na kwakua ni ngumu sana kuwa na kila mmoja physically basi naomba hapa ndani ya key board tuwe pamoja...
11 Reactions
128 Replies
7K Views
KUNA RAFIKI YANGU AMENIPIGIA SIMU JANA, Ameogopa sana ANAOMBA USHAURI, Ni mwanachuo, ametongozwa na wanaume wawili humo darasani kwao, amewakataa wote wawili, Sasa, kuna mmoja wa hao wanaume...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kanambia ananipenda kuliko mwanaume yeyote duniani Ni mdada alinifuata na kunambia hivyo mie nkamuuliza hana uhusiano na mwanaume yeyote akanijibu hakuna zaidi ya wale wanao msumbua tuu Nkampa...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wana jamvi, Naombeni ushauri, unafanyaje mume anapokuwa busy mno na hana nafasi kwa ajili yako wala familia yake?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Valentine died for love, . . . Romeo also died for love, . . . Jack in titanic died for love, . . . Samson in the Bible died for love, . . . Greek heroes Hercules & died 4 love...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni Kijana wa kiume nina mahusiano na my Girlfriend for almost two years na tulikubaliana mwezi huu tukatambulishane kwa wazazi,na Mungu akipenda tufunge Ndoa Mwaka Huu kwa kweli tulikuwa...
1 Reactions
82 Replies
6K Views
Wapo wanaosema eti ni hisia. Wengine wanasema kuwa ni uamuzi. Wale tunaojua ukweli tunasema ni mazoea.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Alisikika rafiki yangu wa karibu kabisa akisema maneno hayo! Ni Mtu wa makamo tu kama miaka 35 hivi, Kasema yaani siku hizi anaweza akakaa hata mwezi na nusu au zaidi hana hamu ya ku do na mkewe...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa kweli sijapata ile huduma ya papuchi kwa muda mrefu toka mwaka jana august, Yaani kwa sasa nikikaa idle then nikapata mawazo kidogo tu, dushelele fasta tayari ameshaenda winga! Hv kuna...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Huko Italy katika mji wa Siena ambao ni maarufu kwa mambo mengi, kuna sheria ya ajabu kidogo. ni ya ajabu kwa sababu, ingawa imejifunga na imani, lakini imesahau kwamba, jina ni jina tu. Kwenye...
9 Reactions
44 Replies
11K Views
Kuna dada alikuwa ameolewa amekaa na mume wake 12 years ndoa ya kikristo hawakuwa na mtoto mwaka 2010 mwanaume alimshutumu wife kutokuwa mwaminifu akamfukuza bila hata nguo,na kagoma kumrudisha...
6 Reactions
70 Replies
6K Views
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.' Na Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.' There is no other commandment more...
0 Reactions
5 Replies
934 Views
Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Jaman nawatafuta mates wangu niliosoma nao kibit Sec school A-level 2003-2005 nimewakumbuka sana watu wangu.Mgosi 0652837898
0 Reactions
3 Replies
971 Views
Jamaa yangu ana demu wake anampenda sana,pia ana wivu mbaya,kademu baada ya kulijua hilo kakawa kanamletea pozi sana mara kamwambie waachane,mara jamaa asijisumbue kwenda kujitambulisha...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Our loves stand for 4 years now, and for us every moment of our love is a ''VALENTINE"!
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Huu hapa wimbo wa Dido, one of my fave artists. Nawatakia wapendanao wote sikukuu njema kesho, As we know mapenzi ni kila siku, sio tu Feb 14th But as far as "sikukuu" goe, make this one special...
10 Reactions
85 Replies
5K Views
The more men want sex the more they lower their standards while frisky females RAISE theirs, new study finds Sexually hyperactivated men consider almost ANY female a potential partner Sexually...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
walio kwenye mahusiano 95% wanasalitiana kwa njia zifuatazo 1. kwanza kabisa kwa message na mitandao ya kijamii 2. kwa simu ya kuongea kwa sauti kwenye simu 3. kwa hisia ( hapa namaanisha mnaweza...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Back
Top Bottom