Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari waungwana, Nimeanza kazi moro nina kam miezi 9 na nimeanzisha uhusiano na binti mmoja alie jaaliwa uzuri miezi 3 iliyopita. Yeye yupo UDSM mwaka wa 2. Kwa bahati nimeamishiwa kikazi DSM...
3 Reactions
139 Replies
8K Views
Happy valentine madame b, lara1, zinduna, ciello bila kumsahau dismainda girl and all others jf members........................ Swali la msingi, hivi si unajua kila mwaka kuna valentine day...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I wish u happy valentine to all jamiiforums members.
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Do you love someone. Mwambie happy valentine's day. HAPPY VALENTINE'S DAY TO U ALL JF MEMBERS
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Valentine, You're Food For My Soul From the moment we talked, I started to get Feelings of hunger that couldn't be met, Like feelings that come when I see yummy pies, Well, I get those feelings...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
HAbari wana Jamvi. Hope your weekend is great kama ambavyo yangu pia ingekuwa kama Hili lingetimia. Mniwie radhi kama hapa si mahala pake as nimeona pananifaa zaidi kuwasilisha hili niweze pata...
0 Reactions
164 Replies
10K Views
natumai mu wazima wana MMU!nawatakia siku njema ya wapendanao!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenyu wakuu? Ama kweli nimeamini kuwa kuibiwa siyo ujinga wala ushamba. nijana tu nimepigwa simu yangu pale kituoni studio. kidume nikiwa nimechoka baada ya kutoka kwenye harakati zangu...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
hivi siku hizi wanaume tumeshindwa kutongoza au ndo dot com generation mana kila siku humu JF utakutana na uzi mwanaume anatafuta mchumba tena utakuta mtu mwenyewe miaka 30 hadi 35....hayo mambo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku ya wapendanao ni siku muhimu kwa kila mwenye mapenzi mema. Ni siku ya ku refresh your brain and mind, i mean kujitafakari km kweli unampenda? km kweli unamjali na kumlinda? It is day to make...
20 Reactions
68 Replies
7K Views
Kwa kauli ya dhati kabisa nimeona niliseme hili baada ya kuumia moyoni niliposhuhudia manung'uniko na huzuni za shosti mmoja alipokuwa akibubujikwa na machozi ya 'damu' kwa mwenzake juu ya...
4 Reactions
61 Replies
7K Views
Baada ya kutendwa zaidi ya mara 3,na hawa mabinti wa Mama Salma, Sasa nimeamua kuwa peke yangu mpaka kifo kinichukue.JE KUNA MADHARA NTAYAPATA?
0 Reactions
18 Replies
1K Views
mchumba angu nahis hana commitment kama ilivyo kwa wa2 weng ktk mahusiano ila ana claim anaipenda sana.kinacho nichanganya ni pale anapokutana na x wake anakosa ujasili wa kutompa nafas ili...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Una Boyfriend,Unampenda ile mbaya,anajua unampenda na hufurukuti,anakusumbua kwelikweli,wewe na kisima cha machozi ni Mutual Friends,kwa mwaka unalia mara nyingi kuliko Kikundi cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii ni kweli na ilitoke juma lililopita maeneo ya Dsm.marafiki wawili walioshibana,kujaliana na kuishi kama ndugu walipo kosana kisa huyu bint!mmoja kati yao alikuwa na mpenzi lakini hakupenda...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
St. Valentine's Day is the world's "holiday of love." Since the Bible states that God is love (I John 4:8, 16), does He approve of the celebration of this day? Does He want His people-true...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UPO usemi usemao kuwa mapenzi ni sumu na mapenzi yanaua ni usemi ambao ni vigumu kuuelewa ila ni rahisi sana kuutumia usemi huu kama ni funzo kwa wasiojua nini maana ya mapenzi. Kwa...
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Haya hapa chini ndo yaliyolipotiwa na gazeti la Kenya: Campus divas and rogue morgue attendant Updated Monday, February 11 2013 at 00:00 GMT+3 By David Odongo The Internet has made it easier...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Yamempata rafiki yangu, anaomba ushauri: ALIOLEWA NA MWANAMUME MMOJA, ambaye waliishi pamoja kwa takriban miaka mitatu. Walishindwa kuelewana hivyo kusababisha kuvunjika kwa ndoa hiyo. Baada ya...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
mimi nina msichana wangu ambae tupo kwa mda mrefu sana,katika miaka mingi tulio ishi tumejikuta tunapendana zaidi na kujiona tunaweza kuishi pamoja kama mke na mume,hivyo tunajipanga ili tuwe...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom