Ni miaka miwili sasa tupo kwenye mahusiano, na kwa kiasi kikubwa anafaa Kuwa mke wangu kwa sasa; kwasababu ya tabia, upendo n.k.
Changamoto niliyonayo ni wakati wa faragha. Ukweli ni kwamba nikiwa...
Jamani wanaJF mwenzenu nimeulizwa swali kuwa atajuaje kama mpenzi wake amefika kileleni (orgasm)? na afanye nini ili mpenzi wake afike? Mama kubwa nikaona ni busara kuwauliza wenzangu ili tuchange...
HIV is walking near to you and around the street, try to be aware and care especially during this stupid holiday and fake Valentine for Jobless people,,,Share love and care to beloved ones...
hellow people hope ua doing alright, its a matter of a small discussion and giving out opinions about this day we call valentines day, y do u think that most of us or a big number does not...
ndugu zangu kulingana na utandawazi na uhuru wa mawasiliano wabongo wengi wameanzisha blogu za picha na story za mapenzi
ktka mitandao ya jamii na blogu mbalimbali wanapost picha mbaya ambazo...
Hay wana jf
Happy Valentine1
Natumai muwazima wa afya tele na mnaendelea vyema na shughuli, kazi,
masomo, biashara na mengineyo ilimradi tu mpate vya kuweka mdomoni;
Siku ya leo nimeonelea...
Wana MMU na wanaJF wote nawatakia SIKU NJEMA katika maadhimisho ya SIKU YA WAPENDANAO..Binafsi naamini sana katika UPENDO na MAPENZI kwa ujumla wake. UPENDO uwe ni ule wa ASHIKI au UPENDO wa...
Wanajamvi naombeni ushauri wenu
Rafiki zangu wengi tuliocheza pamoja ambao sote ni age 22 wengi wao washaolewa. Wengine wanawatoto wengine wameachwa mie bado nasoma. Sasa nimeamua nisome mpaka...
kama kweli mnapendana na mpenzi wako au kipenzi chako ,
badilishaneni simu zenu mpaka saa 6 mchana tu....
Msaidieni kujibu text na sms za whats ap...lol !!
::
Wakati huo nilikuwa kidato cha tano.Mkoani Mara katika shule maarufu Musoma tech.Kwa wale ambao wanajua shule hiyo watakubaliana nami juu ya vurugu,ugomvi na hata uhuru kupita kiasi waliokuwa...
hivi umeshawahi kujiuliza wakati mkiwa faragha na kipenzi chako ,
kabla ya kuanza yale mambo yetu yale.. Kila mtu huwa busy kumvua
mwenzake nguo ... Ila baada ya tendo ,ulishawahi kukumbuka...
Watoto huwa hawadanganyi kampa live mama yake daaah!
I don't like you Mommy - YouTube
ni mbaya sana wazazi kugombana mbele ya watoto maana wanarekodi kila kitu na hapa wanaiga...
Cute...
Mme mmoja alimwambia mke wake afunge kizazi kwa kuwa watoto watatu walionao wanatosha. Mama akakubaliana na mme akaenda hospital akafunga kizazi kama walivyokubaliana na mmewe maisha yakaendelea...
What do people do on the Valentine's day? Many people around the world celebrate Valentines Day by showing appreciation for the people they love or adore. Some people take their loved ones for...
Frank: Happy Valentine Sweetie
Veronica: Thanks so much baby. So where's my val gift?
Frank: (pointing) Can you see that red BMW parked
over there?
Veronica: Oh my God!....yes....yes...yes...I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.