Habari Wana JF,
Tatizo la dada zetu wanachagua sana wenza wa kuwaoa.Mimi naamini kama umemuomba Mungu akupe mume naye akakuletea mwenye ndevu ndefu au kitambi (ni mfano tu) pokea huyo ndiyo...
Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEE!!!!!!!!
Nimefanya kiresearch kidogo ktk hii miaka yangu ya kufuta ujinga haswaa huku vyuoni wadau walimu wanakula sanaa vichwa!
Yaaani kwa average kila...
ni kama wiki moja hivi na cku zimepita nilipo kuwa kwenye daladala ya mwenge-posta,pale maeneo ya posta mpya,ndipo jamaa 1 aaliyekuw na haraka,bila huruma akampiga kikumbo kijana 1 kama sio mtoto...
Salaam kwenu wana jamvi. Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai mpaka hivi sasa.
wadau leo nimeona niongee kuhusu dada zetu..kiufupi nafanya kazi katika moja ya hospitali hapa...
habari za usiku wanajf, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
Hasira za mara kwa mara...
Mnamo tarehe 3/2/2013 pale mjini dodoma maeneo ya mwanga bar,lilitokea tukio la kurushiana maneno kati ya wafuasi wa ccm na chadema pia kupigana kwa mawe kama tulivyoshuhudia akiana mh.rage na...
Alikuwa binti mzuri mwenye mvuto, shingo ndefu umbo namba nane!!!!alikuwa na tabasamu lisilo na kifani mwenye lips za pink uwiiiiii jaman I can't imagine!!!!
Wakati natokea chuo( mlima campus)...
Natumai mko fiti waungwana na mnaendelea na shughuli, kazi, masomo na pilika pilika za hapa na pale
ilimradi tu kujiingizia kipato chenu cha kila siku. Na wengine wanaendelea kuendekeza mambo...
Baada ya kuvishwa pete ya uchumba, wasichana wengi huona kwamba kilichoko mbele yao ni kupanga harusi tu. Hujishughulisha kwa hali na mali kuhakikisha harusi inakuwa sawa na ile anayoiwaza siku...
KWA MUDA MREFU KUNA WANAWAKE WENGI SANA HUPIGWA SANA NA WANAUME ZAO BILA KURIPOTI POPOTE NA KUBAKI KUUGULIA MAUMIVU BILA MSAADA WA KIDAKTARI.VILE VILE KUNA WANAUME WANAPIGWA SANA NA WAKE ZAO BILA...
habari wana jamvi wenzangu!hizi ndo sifa za mwanaume mwenye mapenzi ya dhati kama ulikuwa hufahamu.
1. ALIYE MKWELI.
Katika hili, hekima na busara nyingi huhitajika kutumika, ngao kubwa ya...
To all men in MMU,
What I Did Was Foolish & Impulsive
If I Cud Take It All Back I'd Do This So Instant
I Truly Didn't Mean To Hurt You In Any Way
I'm Sorry For Hurting You
I felt...
Habarini wana JF wote. Naombeni mnisaidie hili laniumiza moyo sana.
Mie ni mdada wa miaka 30. Nilishawahi kuwa na mpenzi nikampenda sana tena sana hadi ikafika wakati nikazaa naye mtoto mmoja...
Habari zenu waungwana!
Kuna jamaa yangu anahitaji ushauri, wa jinsi ya kuishi na wife wake sehemu ya kazi!
Anasema aliamua kumtafutia wife kazi sehemu anapofanya yeye kazi kwa sababu ya malipo...
Heshima kwenu brothers and sisters..
Kuna jambo linanisumbua sana kichwa naombeni ushauri,,,najua humu kuna watu wazima waliopitia changamoto hizi naombeni msaada wa mawazo kabla sijaingizwa...
Wana jf, Salam
Kila mara nawaza na kuwazua bila kupata jawabu ! Mambo ninayoshuhudia yanaendelea kuongeza maswali mengi yasiyo na majibu katika akili yangu, mwasho Nilijikuta nasema ooh ! jamani...
..kwamba kijana amekaa akaona wakati muafaka wa kusogea altare na kusema i do uwe lets say december.......mara mambo yanaharibika bint mjamzito!!
busara apo ni ipi;kusubiri ajifungue ndio afunge...
Mambo muhimu ya kujua unapojiusisha na machangudoa/malaya (malaya wa kiume/kike)
jambo la kawaida ni kupoteza pesa na muda wako bila ya ww kujali/ kujua,
kujiona unafaidi lkn bila ya kufanya...
Mke ana nga'ng'ania aongezewe mtaji ili aende Dubai, Hong Kong, Jakat na Taipei akaanze biashara ya nguo. Hivi karibu ameonyesha kutokea kuipenda hela sana tofauti na mwanzoni. Yeye ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.