Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kundi la wake za watu walikuwa kwenye semina kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa. Muwezeshaji akauliza, wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono. Akauliza tena, ‘Mara ya...
17 Reactions
93 Replies
10K Views
Wapendwa, Something to cheer you up.. Kundi la wake za watu walikuwa kwenye semina kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa. Muwezeshaji akawauliza, “Wangapi wanawapenda waume zao?” Wote...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Inawezekana kweli wakuu? Nipo na Jamaa yangu kwenye country code +254! kahudumiwa na barmaid mrembo Jamaa akampenda akaomba mchezo! Barmaid akamuambia Jamaa yeye bikra! Dah! Jamaa kapiga mashine...
1 Reactions
38 Replies
10K Views
Kuna tabia ya baadhi ya watu ambao ni wanawake kwa wanaume kutelekeza familia. nakuacha familia ikiwa inateseka. Chanzo ikiwa ni hali duni ya maisha,kukimbia majukumu n.k Mimi naamini katika...
11 Reactions
23 Replies
4K Views
cacico i don't want to imagine how difficult it is for the loss of your beloved grandpa. so far knowing the condition of our lovely mom and now she is facing this its hard to believe. But what...
17 Reactions
148 Replies
8K Views
Upuziiiiii na fikra mbaya za madada zetu!!!! Hivi huu usemi utaisha lini kwa dada zetu wa tz??? Sijui ni kuiga kutoka ulaya usemi ambao hata sijui wanachokisema wanakijua!!! Siku hizi imekua...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Takribani miaka minne toka walipo achana na kuvunja kiapo chao cha kuto saritiana. Kutokana na kuvunjika kwa kiapo chao, wote wanapatwa na tatizo la ugonjwa wa akiri, ikabidi wapelekwe na familia...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Natamani michango mingi itoke kwa wadau walokwisha kuoa na kuolewa, bachela pia mnaruhusiwa ila kipaumbele ni walio ndani. Tafadhali msiweke masihara mengi wanaMMU Mokoyo
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Nimejikuta nasema hivi kwa sababu yamenikuta. Nilifahamiana na msichana fulani kutoka mikoa ya kanda ya kati, ni mwanasiasa, ni mzuri sana, msomi, na machachari sana. she is very bright. Katika...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
It is Monday again!!!!!!!!!!!!!!!! Salaaaaaaaaaaaaaaam kwa wote. Hi kweli ni fair? hapana jamani nyie SHE this is too much!!!!!!!!!!!!! Home kuna ka sherehe hivi......tumealika wageni kama...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
mwili wa marehemu daniel mwasalemba 30 ukiwa umelala kwenye majani baada ya kutolewa ndani marehemu amechomwa visu kisa ni ugomvi wa kugombania mwanamke aitwae elizabeth michael mnamo tarehe...
0 Reactions
63 Replies
9K Views
Katika maisha yangu ya kupita huku na kule nilifanikiwa kupata watoto wawili na mama wawili tofauti,watoto wangu wamekuwa mmoja yupo secondary na mwingine primary,huduma zote za watoto wangu natoa...
9 Reactions
72 Replies
9K Views
Hey! kwa wote wa humu ndani ya mmu Nimefurahi tena kuwepo nanyi kwa muda huu kwani kipindi cha juzi kati nilipatwa na msiba ambao ulinifanya niwe na huzuni kwa kuondokewa na kipenzi changu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanajamvi wenzangu AWALI YA YOTE WANAJAMVI WENZANGU NIMEINGIA TENA KIDIGITAL NA SIO KIANALOGIA KWA KUWAPA SOMO HILI HAPA, NAJUA KWA WALE WALIO MAKINI WATAFUNDISHIKA ILA KWA WALE...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
hakuna mwanaume jasiri mbele ya mwanamke
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Maana angekuwa fea angechora makabila yote Eti ndugu wanachi.... Hii ni sawa?
11 Reactions
187 Replies
22K Views
I post new topics rarely but on Friday 8, 2013 changed my life. My heart was destroyed and I cannot mend it this time, or perhaps I don't want to. First time I wanted to scream bloody murder. I...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
NI SEHEMU GANI YA MWILI WAKO UNAITHAMINI KULIKO ZOTE ? A-Makalio B-Manyonyo C-Miguu D-Mgongo E-...........
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za jumapili wanajamvi?? kwa upande wangu mie iko pouwa namshukuru muumba kwa hilo. kubwa nalowasilisha siku ya leo ni kuwa hapa mitaa ya home kuna jirani yangu mmoja ana mke na mtoto 1...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
habari wana jamvi wenzangu Nina masikitiko na simanzi kubwa ndani yangu kwani nimeondokewa na kipenzi changu mwanangu wa ukoo. Kwa taarifa hii ya jana iliyonishtua na kunipa simanzi zisizopimika...
3 Reactions
142 Replies
7K Views
Back
Top Bottom