Wakuu
Leo nataka nitoe maada ambayo ntaomba na nyie mchangie ili kuipanua na kuifafanua zaidi ili pamoja tuweze ku-fill the puzzle na kujifunza (of course najua kuna baadhi ya nutcases (kama...
Kizungumkuti cha vijana hawa kujimaliza kimchezo mchezo kiliazishwa na Dale Crole kijana wa umri wa miaka 18 ambaye alijimaliza kwa kujinyonga katika jumba bovu hapo mnamo Januari 5, 2007. Majuma...
Hi Guys!
Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.
Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za...
Nina mpenzi wangu lakini kabadilika sana siku hizi hapo awali tulikuwa tuki do katika njia halali but now dayz simuelewi kabisa anataka tufungue ukurasa wa pili so nifanye nn wandugu.
Wandugu suala la kuoa sio mchezo maana hii ni practical experience naitoa , kuna watu sasa hivi hawapokei simu zangu kisa mchango wa harusi jamani mhm. Nishaurini jamani
Kama nitakuwa na-offend kundi fulani la watu, naomba msamaha mapemaaa...
Yupo mdada mmoja ambaye kwa anavyofahamika, ni mlokole 'toka utotoni'. Baada ya kutumia gia kadhaa zinazotumika katika...
...tangu mchipuko wa mitandao ya jamii kuibuka sambamba na teknolojia ya huduma ya internet kupatikana kwenye simu za mikononi, binafsi nishahadithiwa, kusoma na kujionea mipasuko ya ki mahusiano...
One day i met with the most beautiful lady, it was amaze! then i told the lady:
I LOVE YOU NOT BECAUSE OF WHO YOU ARE BUT WHO I AM WHEN I AM WITH YOU,
she laughs and close her eyes.........
She...
Waungwana nini sababu ya PETE ya ndoa kuvikwa kaika kidole maalum, kinachoitwa kidole cha pete? au hii ni katika hali ya kuiga ustaarabu wa wenzetu wa magharibi? Wachungaji Mapadre na Mashekh na...
Saikolojia inaonesha kati ya mwanamke na mwanaume kuna jinsia moja kati ya hizo huitamani jinsia ya mwenzake!
Wewe unafikiri kungekuwa na uwezekano wa kubadili jinsia kati ya mwanaume na...
Ni mara mbili moja ikiwa ni kwa kusikia huku mara ya pili
nikiwa karibu kabisa na eneo la tukio.
Huyu wa kwanza alikuwa kijana wa miaka kati ya 30 na 33
namfahamu tulikuwa tunacheza naye mpira...
Jinsi Ya Kumfurahisha Mkeo
1. Mapokezi Mazuri
Baada ya kurudi kutoka kazini, skuli, safarini, au popote pale palipowatenganisheni:
Anza kwa maamkizi mazuri
...
Kuna jamaa yangu amekuja kuniomba ushauri kuwa afanyeje maana kampigia dem wake cm ili watoke out thn huyo dem kumjibu mshikaj kuwa nitakuwa busy so itakuwa ngumu kutoka .Ndipo mshikaji kaamua...
Habari zenu wana jf. Mwenzenu wifi yangu ananishangaza na nashindwa kumsaidia. Ana msichana wa kazi ana miaka 20, huyo msichana sio kwamba katulia kivile anapenda umbea na akisikia jambo lolote...
jaman naomben mnishauri bila kunijibu vbaya naomba tena sana. mimi ninatatizo ya kukojoa pindi tu ninapoingiza uume wangu kwenye uke wa mwanamke pale nnapofanya tendo la ndoa. nmejitahid kufanya...
Inasikitisha na kutia uchungu ni kwa nini hasa watu wanakataa suluhisho na kuamua kuishi katika ndoa iliyokatika siku nyingi, ukiwakuta mchana ni kama mke na mume tena wastaarabu kupindukia kumbe...
Kukutana mara mojamoja kwenye mgahawa, kwenda naye out, na vile anakuja kwako na kuondoka haitosh kumjua vizuri hasa kitabia huyo unayetaka awe mume/mke wa baadaye!
Ukiishi naye chumba/nyumba...
Habari za leo ndugu zangu?? jamani nina rafiki yangu mmoja wa kike ( just a friend and nothing else ) ambae amekuwa na wakati mgumu katika kila uhusiano wa mapenzi aliowahi kuingia. Alikuwa na BF...
Habari wanajamvi nadhani mm ni mgeni sana ktk jukwaa hili na uhisianao na mapenzi bila kukosea ila nafurahi kujoin na watu mbali mbali ktk kuelimishana na kukosoana na vile vile kupatanisha ktk...
Wapenzi hamjamboni?
Hivi inakuwaje jamani hata tukakumbuka yale tuloyatapika, tena watapika huku umeziba pua kwa kinyaa, ilihali matapishi hayo yatokea ndani yako????
Nawaza tu kwa...