Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ngoja leo niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa kuoana naye: 1. Kosa la kwanza, unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu na mkorofi, ukitarajia kwamba...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna kitabu kimeandikwa na steve harvey kuwasaidia wanawake kujua nini wanaume wanataka katika suala zima la mapenzi na mahusiano, nikaona si vibaya niwadondoshee link kwa wale ambao wanapenda...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Kwa wanaume wenzangu,unakutana na mpenzi wako wa kike ambae hamjaonana siku nyingi,mnakubaliana kuwa mwende faragha sehemu mkapeane ma-vituz anakubali,unafanya booking ya chumba,na kabla ya hapo...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Miaka takribani arubatashara iliyopita tukakutana pale uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ivato, jijini Antananarivo kisiwani Malagasi. Wote bado tulikuwa washababi na watanashati wenye nyuso...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Kama hukumzoesha mwenyewe tabia fulani tangu mwanzo, kamwe mwanamke hawezi kuanza tu ghafla! Mara nyingi wanawake wakiwa wanatafuta kuolewa wana-pretend 'wapole' sana. Wakishaingia 'mjengoni'...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Waungwana naomba mnisaidie mawazo kwenye hili. Nina mke na watoto watatu, na tunamshukuru Mungu maisha yanakwenda vizuri. Kuna binti niliwahi kuwa naye siku za nyuma wakati niko sekondari...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Jamani kila mara tunashauriwa kusamehe pale tunapokosewa na wenzi wetu. Tena tunaambiwa usamehe halafu usahau kabisa, then mnafungua ukurasa mpya na maisha yanaendelea! Swali langu ni hivi, hiki...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Nawashirikishe.. mia “Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Huyu ni shemeji yangu kwa kaka yangu amabaye tulitengeneza undugu shuleni. Nilipokuwa naingia form I yeye alinipokea akiwa Form III. Alinipenda, nikampenda. Ndiye aliyenifanya nisionje manyanyaso...
4 Reactions
47 Replies
9K Views
lets say jamaa has taken a gal out for a wikend get away kwenye ki island kama zenj hivi na while u there katika raha zenu za mapenzina jamaa katika kusema il love.... anasema jina la ex wake...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dada angu kaolewa znz ameambiwa na shemeji kuwa akikubali kuhesabiwa sensa basi ndo talaka yake arudi bara. Wana jamvi nifanyaje hapo kuokoa ndoa ya dada wangu?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi,leo ni siku yenu mliooa au kuolewa au unaishi na umpendaye kwa dhati kama mke na mume kufunguka jinsi ulivyopata kumuona/kukutana na mke/mume wako umpendaye hadi sasa. . . .mfano...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Hata mimi nilikuwa nikiamini katika jambo hili, kwamba watu wenye uwezo mkubwa kiakili huwa na mafanikio katika maisha. Nilikuwa nikiamini hivyo kwa sababu nilikuwa nikijua kwamba ni wale wenye...
9 Reactions
18 Replies
3K Views
Usimuache mpenzi wako kisa Umesikia stori fulani kumhusu kutoka kwa mtu ambaye huna hata uhakika kama stori anayosema ameiona kwa macho au nae amesimuliwa,si ajabu aliyemsimulia naye alisimuliwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
kuna mtu alipata mimba akiwa shule akaogopa sana kuwaambia wazazi wake,kwahy akaamua kwenda hosp moja kutoa kule alipewa vidonge vya kutoa ile mimba.ila kwa bahati nzuri ile mimba aikutoka ikabidi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi mahari ina maana gani? Ina muhimu gani? Na je kiwango chake kinategemea kigezo gani? Na je imeanza lini kihistoria? Jamani hebu tulijadili hili swala maana linaelekea kuvunja mahusiano ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
There was a aShe hated everyone, except her loving boyfriend. He was always there for her. She told her boyfriend, 'If I could only see the world, I will marry you.' One day, someone donated a...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiangalia jinsi wnaume wa sasa hivi wanavyowaachia wake zao majukumu yote nauliza nyie wanaume mnaopenda kulelewa na wake na wapenzi wenu nyie ni vichwa au miguu?
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Ni kwa namna gani naweza kubadili maumivu ya mapenzi kuwa furaha
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom