Niko kwenye ndoa kama mwaka na nusu sasa na mwanamke ambaye tulikuwa kwenye uhusiano kwa muda wa zaidi ya miaka sita.Juzijuzi alipata ka-scholarship huko Ughaibuni ka muda wa muda...
NILOSIMULIWA.....
poleni kwa majukumu na ninatumaini wote humu ni wazima, kwakweli ninajuwa kwamba kila binadamu anamatatizo yake lakini matatizo mengine kamwe
hayawezi kuvumilika.
Kaka...
habari za leo wana jf wenzangu kuna kitu kinanitatiza kidogo ebu naombeni kuniweka sawa kuhusiana na ili hivi kujua kama msichana anakupenda kweli unaweza kuangalia vigezo gani, na je? msichana...
Nasikia kuna style ambazo ukifanya na mwanamke zinasukuma kizazi ndani, na kadiri mnavyo fanya kwa muda mrefu ndio kizazi kinavyozidi kwenda mbali zaidi, na kizazi kinavyo zidi kwenda mbali ndo...
Mapenz yanatutesa vijana wakisasa.. kutokana na research yangu ya mdamrefu nimegundua kitumapenz kinawatesa sana vijana wakisasa na hasa wa kiafrika.. 1-Ukabila..,uliwasaidia sana wazee wetu...
Nimeoa miaka 10 iliyopita. Tatizo alilonalo mke wangu ni kwamba anausingizi sijapata kuona. Miaka michache iliyopita hali ilikua mbaya zaidi kwani alikua analala hata kwenye gari jambo...
For those bible readers...this might come in handy for you....just thought its worth sharing.
The Character Traits of a Godly WifeProverbs is most specific with regard to the qualities of the...
yeah..if you thought honesty is the best policy you thought wrong.yamenitokea puani jamani.
so i kissed another guy and to God i swear it meant nothing at all. i was feeling neglected, told him...
A jua kali artisan from Muranga County recently used a dozen pair of underpants of different colours and sizes to get his wife rushing back to his house after she had ran away. The wife had...
WanaJamvi Salaam
Mara nyingi kwenye mahusiano/ndoa kuna kitu kinaitwa wivu. Wivu unaelezwa kuwa ni kipimo cha kupima kama mwenzio anakupenda ama la. Japo wengine wanadai wivu ni kutojiamini katika...
Leo nina kisa nataka kuwasimulia.
Bwana mmoja alikuwa amekwenda kazini kama ilivyo kawaida yake, akiwa ndio anafika kazini akapigiwa simu kujulishwa kwamba nyumba yake inaungua. Bwana yule...
Hivi men wa Jf wana tabia kama yangu ya kupenda kuhonga??
Ninasikia raha kuhonga....hasa pale ninapofanikiwa kumnasa mlengwa (napiga mapigo ya kifashisti)
Kuna ubaya kuhonga? ur advice plz
Guys I have been approached with the question above from somebody who was locked out of his bedroom by an angry wife after an argument over an issue. The guy ultimately broke into the room. What...
mpaka sasa nina miaka 35 na sijaoa ingawa natamani sana kufanya,nimedanganywa na wadada wawili,kila mmoja kwa wakati tofauti,sasa naogopa kabisa sasa sijui nifanyaje na kuoa nataka lakini...
Kuna propaganda za hovyo kuwa watu weusi wamelaaniwa na Mungu,sijui dhana hii imeanzia wapi,lakini iwe iwavyo mwanzilishi wake lazima atakua anawaogopa watu weusi,huwezi kukianzishia kitu au mtu...
@arusha, mama mchagga,baba mngoni.
my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.