Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

JamiiForums Message You have been banned for the following reason: Promoting illegal activities (Sequestration and torture). Date the ban will be lifted: 29th July 2012, 00:00...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Msaliti wa penzi zaidi ya mara kumi,mwonevu,selfish,si mwaminifu hata kwa biashara ya pamoja,mwongo,mkatili,ana wivu,muaribifu wa vitu vyako,mtapanya pesa,mfano mbaya kwa watoto na jamii...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
ebana habarin za wakati huu, mara nyingi xana hujiuliza juu ya kupokea cm ya mwenz wako lakin cpt jibu, kimbwanga hicho kimemkuta rafiki angu wa karibu xana, nibaada ya kuwa akimpigia cm...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuna mahali wanandoa waliulizwa swali hili: Je, mke uliyenaye au mume uliyenaye sasa kama ingetokea sasa hivi iwe ni ule wakati unachumbiana naye kuwa mke au mume ungemchagua kuoana naye? Zaidi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nimetoka kidogo nje, meacha laptop yangu ikiwa on, tena nkiwa jf, kuna kabint kako hapa home nlikaacha kanchek tv, nimeingia hapa ghafla nimekakuta na kenyewe kanaperuz humu, hii imenifanya nihc...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Yalikuwa mapenzi ya dhati toka moyoni Mwangu na nilitamani kila mtu ajue nilizimika kwa Mtoto Sophy! Sikutaka nimuudhi kwa namna yoyote ile! Nilipomkosea sikujivuta.. Nilimwangukia na kumuomba...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Ivi watu wanao wabeza wanawake wakichaga kwa bidii yao ya kufanya kazi wanawaza vizuri? Au ndio wale wanaopenda kuwa na wanawake omba omba au wivu wa maendeleo. Nilidhani tutawapongeza kwa kuwa na...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
How to spot romantic red flags in Relationship We all have that little voice, that soft internal whisper that tells us when something’s not quite right in the old romance department. The...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
869 Views
leo niko na mishe zangu, nashangaa bi mdada huyo Ni wifi ambaye pia ni rafiki yangu kipenz, kama wiki tatu zilizopita waligombana na kaka yangu ambaye ni mpenz wake, yy akaamua kuachana nae, kwa...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo...
0 Reactions
84 Replies
9K Views
Hivi mtu unakuwa na mpenzi na anakwambia live kwamba hawezi kukuoa kwa baadae kwa sababu bado ana safari ndefu ya kutafuta maisha na bado anakwambia anakupenda. Hivi kweli kuna mapenzi ya kweli...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Kulewa na madawa siku ipite, kutongoza, wanawake kupoteza wakati au kumendea waume za watu kuchuna nani hapa anatibika jamani au ndo wagonjwa wote. Kama hamjafunguka hivi ndo vita vikali viko kila...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wiki iliyopita niliandika mada kuhusu dalili za hisia za usaliti katika mapenzi, unaweza kujikumbusha kwa kufungua hapa...
16 Reactions
29 Replies
16K Views
kwa kawaida mapenz kabla ya ndoa yanapaswa yachukue muda gan then muingie ktk ndoa? nina girlfriend wangu kwa miezi miwili sasa lakin anahitaji tuish pamoja ni kwel nampenda lakin cjawa na sababu...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
According to relationship expert Cooper Lawrence, women are better cheaters, because they are better at keeping secrets! Lawrence says cheating is up among women in committed relationships...
12 Reactions
261 Replies
15K Views
jaman naomben ushaur,natafuta my soul mate ,niko single kwa miaka mitatu sasa,nimeajrwa private frm najitegemea c mtu wa stareh ingawa hw nagonga win mara chache nifanyeje nipate soul mate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WanaMMU Mwanzoni nilidhani ni Utani..but as i speak now it seems that this has been common and people take it for granted. Niliwahi kumsikia Masanja yule we Zecomedy akisema 'Nikushukuru wewe...
1 Reactions
66 Replies
7K Views
Kama utani lakini ni story ukweli jana ilikuwa ni birthday ya girlfrnd wangu pamoja na furaha niliyokunayo rafiki yangu kipenzi naye mke wake ilikuwa birthday yako tukaenda kununua keki kama...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
kupenda kunahitaji moyo hasa unapokuwa umependa kweli na umependwa kweli, lakini ni vigumu kujuwa napendwa au sipendwi. wengi wanasema love is money but kwangu love is the way you can handle your...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom