Wiki ya jana tulijiuliza swali zima la ni kipi kinatakiwa hasa kwenye suala la kuosha vyombo baada ya kula na ikaonekana watu wengi wamekubaliana kuwa vyombo vinatakiwa kuoshwa kwa pamoja lakini...
AMA kweli ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Msemo huu unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mkazi mmoja wa Kijiji cha Nghoboko wilayani Meatu mkoani hapa, Stephano Mihilu...
Nimeona niombe Ushauri wenu wa dhati kuhusu hili;
Nina Mpenzi wangu ambaye anajua nampenda sana nami vilevile nampenda sana.
Kisa ni Hiki kifuatacho:-
Siku moja ndani ya Mwezi wa June, Mpenzi...
Nilipata ndoto juzi usiku iliyohusisha familia yetu, Leo asubuhi nikawa natafakari nayoyakumbuka wakati walipokuwa hai na pia kushare na wanajamvi nayoyakumbuka:
Baba
Ni marehemu takribani...
Jamani nahisi wife naye yuko JF lakini hatujuani! Halafu hakuna anayeongeleaga kuhusu JF tukiwa pamoja, so hakuna anayejua kama mwenzie yuko humu au la. Mi na wife tukishaingia home ni family...
Bado inaniumiza sana moyoni, japo siku zimepita,. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 46 hivi sasa, kazi yangu ni udereva wa malori yanayosafirisha mizigo nje ya nchi. Naomba niwasimulie habari yangu...
Toka nimehamia Kampuni hii sijamaliza hata miezi mitatu jamani lakini huyu mdada/mmama naona anataka kuniangusha kinguvu sasa.
Inawezekana makosa niliyafanya mimi mwanzoni, lakini ilivyokuwa ni...
Hali zenu ndugu zangu wote?
Poleni na swaum kwa wengine wetu tuliomo,
Kwa kuwa ndo naingia huku kwenye uwanja wa walio na ndoa naomba kuuliza swali kwa wale kina mama na kina baba wenye uzoefu...
For men who roll over and nod off rather than engage in pillow talk, its the perfect excuse.
They really do need to sleep after sex because the male brain is designed to switch off at that...
Poleni sana kwa wale wote walio kwenye mfungo wa Ramadhan Mungu atamsaidia na kumrehemu pia, Leo nathubuti kuandika thread hii baada ya kufanya upembuzi yakinifu na kugundua kuwa maisha ya sasa...
Habari wana jf,
Mimi nina umri wa miaka 25, tatizo langu ni kuwa nilikuwa na uhusiano na Kijana mmoja hivi na yeye ni member humu jf, tulikutana tukiwa chuo na tumedumu katika uhusiano huo kwa...
demu kasema ni kweli alilala na mtu mwingine ili apate mimba baada ya kuona anachelewa kuzaa! jamaa kachukia na anataka kumpiga chini ila anampenda sana. Ushauri no jokes pls!
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni
Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo...
LOVE is just a word until the right person comes along en give its rightful meaning and yet LOVE is like rosary full of mystries and yet LOVE is so easy to spell but too hard to give its meaning...
Hawa ni wanandoa wawili vijana wanaoishi pamoja though hawana mtoto,bwana ni konda kwenye magari makubwa na bibi ni mama wa nyumbani tuu.Sasa soma kidogo moja ya maongezi yao asubuhi moja;
Bibi...
Nimetumiwa message ina maneno makali kweli halafu mwisho nimeambiwa "I am lettin you go" ikafuatiwa na neno bye.............Hiki si kibuti jamani? Does this mean i am single again? Mnataka kujua...
UNAHISI mwenzi wako anakusaliti kwa maana kwamba anafanya ngono na wanawake au wanaume wengine? Fahamu kuwa wapo wengi wenye kulalamikia hilo.
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kwanini...
J ni mdogo wa girlfriend wangu, anasoma shahada yake katika chuo kimoja maarufu hapa Jijini, nimemjua J toka akiwa mkoani kwa wazazi wake na alipohitimu masomo ya sekondari alfanikiwa kupata mkopo...