Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

huyu binti nilimpenda sana ila kutokana na makorokocho yake alonifanyia sitaki sitaki simtaki sipendi sipendi simpendi tena cha ajabu ananisumbua,nilimchukulia poa nikajitenga pembeni kuepusha...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Asalam Aleykum! Kwa kweli I am rather a traditional African man, sticking straight to my roots... Nimeikumbatia 'role' ya mwanamume wa kiasili wa kiafrika na sijaona tatizo kwenye majukumu ya huyu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamaa yangu ana gf wake wanadai wanapendana, jamaa kinamuumiza hawezi kumwachia simu yake even for a minute,anadai eti kuna vitu ni private hawezi mwachia mtu.......jamaa kiujanja ashadakaga...
0 Reactions
68 Replies
4K Views
hop mtakubaliana na mimi kuwa suprise ya kumtembelea mpenzi wako bila kumwambia ni nzuri kwa mpenzi wako ila inaweza zua balaa pia., utafanya nini utakapofunga safari na ukamfumania mpenzi wako...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani naombeni msaada wenu wa kimawazo, hivi umemkuta mtu anamtoto wake (mke) na wewe ukazaa nae ila hujawahi sikia kuwa huyo mtoto amepigiwa simu na baba yake hata siku moja ghafla usiku wa saa...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Mpango wangu wa kutaka mwanamke wa kihindi umegonga mwamba. Nimejaribu kwa wanawake wanne akiwemo na yule aliyewahi kuniminya mkono kule posta, watatu wamenikataa huku mmoja akisita kutokana na...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Aliwahi kuolewa kwenye familia ya waarabu akaachika kwasababu hazai. Nilipokutana naye kwa mara ya kwanza ukweli huo hakunieleza.Niliendelea naye hadi akapata ujauzitona kujifungua mtoto wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
MWANAUME AKATWA MKONO Naye Victor Bariety wa Geita anaripoti kuwa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Nyakamwaga wilayani hapa, amenusurika kifo baada ya kudaiwa kufumaniwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
mara nyingi najiuliza mwanaume akitoka nje ya ndoa haipewi uzito sana kama ni kosa ingawa ni kosa,sasa upande wa wanawake akitoka nje ya ndoa jamii kwa ujumla inamwona ni malaya sana tena...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
ninaishi katika ndoa sasa mwaka wa tatu nimejaliwa kuwa na mtoto mmoja kinachonishangaza mke wangu amebadilika sana ,kimapato hali yangu si mzuri ukilinganisha na awali ,kila siku kugombana tu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Unazaliwa ukiwa peke yako na kulelewa na wazazi na ndugu zako wa karibu kwahiyo kwa hali halisi ungetakiwa kuwapenda zaidi hao kuliko mtu mwingine yoyote. Lakini unakua na kufikia stage ambayo...
3 Reactions
57 Replies
5K Views
nimekuwa katika mahusiano ya tempo kwa miaka kadhaa kutokana na kuwa na mpenzi ambaye sikuwa na makubalino naye ya kuoana, sasa hivi karibun nimepata bintii ambaye tulipo anza mahusiano...
0 Reactions
95 Replies
8K Views
Hivi sasa wataalamu wamegundua kwamba wanawake walio kwenye kusongeka kiakili hula sana kuliko wanaume. Katika kula huko, hujikuta wakinenepa kupindukia. Mwanasaikolojia Robert Jeffery anasema...
4 Reactions
69 Replies
8K Views
Pole najua ulitaka kujuiuliza didy anavuta wa pili nini hapana airuhusu kuna mtu katupigia jana kwenye maombi akiomba tumsaidie jamani na hilo tatizo hapo juu ..najua ni gumu kulikubali lakini...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
heshima mbele wanajamvi juzi kati nlikuwa safari. katika safari kulikuwa na wakaka wawili ninaofahamiana nao. 1 alifunga ndoa mwaka jana,mwingine mwaka juzi. basi kupiga chabo kwenye vidole vyao...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
uwa nikisikia au kona watu eti wanaoa au wanatangaza ndoa, uwa najiuliza mara kumi kumi ivi wanajua wanachofanya, hii inatokana na experience yangu na hawa viumbe, especially my last 3 failed...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Sio vibaya ukiweka neno hapa.. Imgekua Binti yako ungefanyaje?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
NIMEKUA NIKIJIULIZA SANA KUHUSU TREND ZA MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA MIAKA YA HIVI KARIBUNI: Mdada anaweza akawa na boyfriend lakn bado anatoka na mtu mwingine na hata wakikosana si ajabu kuona...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
A small congregation in the foothills built a new sanctuary on a piece of land willed to them by a church member. Ten days before the new church was to open, the local building inspector...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
mimi ni mtumishi wa umma na mke wangu nimeishi naye miaka 7 na tumezaa mapacha na wengine 2,mama watoto anatabia ya kutoka nje ya ndoa ni kama amelogwa,nikitaka kumuacha nashindwa mana anajituma...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…