Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

What are the things a girl looks for in a man?
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Friends, help me in this. Does my wife or girlfriend have to know all my friends? Especially female ones? Does she have to know every call im making?
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Alikuja kusalimia kwa shemeji yangu akapenda kunisalimia na mimi. (mambo ya extended family na kujuana) Kwangu niliambiwa ataondoka baada ya siku mbili lakini ikawa wiki mara mwezi. Akarudi kwa...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Jamani mimi nina mpenzi wangu ambaye tunapendana sana lakini tatizo yeye huwa na hasira za karibu sana. Yaani naweza nikamkosea kitu kidogo halafu yeye akaninunia siku nzima,kuna wakati mpk...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
...ningeyasema bayana lakini naogopa kuzifufua chuki zilizopita. Poza roho ndugu kwa yaliyokupata kwa sababu ya kupenda. Pendo lako limekuwa kama limepita na maji ndani ya ziwa ukabaki na huzuni...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wanajamii unapotaka kumlisha mbwa mkali usiemzoea si unaweka chakula pale unapohisi mnyororo unamzuia yule mbwa? Halafu unasogeza chakula kwa jiti. Nahisi na mimi napewa mapenzi namna hiyo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
''hata ukisema mimi ni malaya,sijiheshimu na nina tabia mbaya halafu wewe ni mchamungu,mstaarabu na una tabia nzuri lakini mi nakupenda na kumbuka cku zote UBAO MWEUSI HUANDIKWA KWA CHAKI NYEUPE"...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi' wadau! Nina mpz ambaye ana umri wa miaka 22 kabila lake ni mngoni. Ni miaka mitatu toka tumejuana nae ila toka mwezi wa kwanza mwaka huu ameniambia kama siwezi kupiga gemu kavu kavu basi...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Nakumbuka wakati nipo shule ya msingi kuna msichana nilimpenda sana na yeye alijua ya kuwa ninampenda kutokana na jinsi nilivyokuwa namfanyia,sikuweza kuwa naye kwasababu ya kukosa uthubutu wa...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
A Nigerian girl died hours after having sexual intercourse with a monkey, it has been reported. The girl was from IMO State in the South-West of the country. This was revealed by IMO State Youths...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu ndani ya jamvi. Nimekutanae mara ya kwanza ktk inteview moja mjini DSM, Tukabadilishana namba za simu kwa lengo tupeane updates kuhusu hiyo interview. Ni miezi kama mitatu hivi...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari za jumapili tulivu na nzuri kama hii wanajamii? natumai wote mko safi na mnaendelea vizuri na mapumziko yenu ya leo. leo mi nimekuja na jambo naomba kupata experience na maoni yenu juu ya...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani kuna binti ambaye nimetokea kumpenda sana kupita maelezo, tunachart facebook na pia kwene simu sana tu ki ukweli kwa upande wangu naona amekidhi viwango but nimeogopa kumtongoza kwasababu...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Don't let someone become a priority in your life when u r just an option in theirs.
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Veronica Guerin Martin Cahil the General John Gilligan John Traynor the Coach Ilikuwa ni Juni 26, 1996 Veronica Guerin alikuwa ndani ya gari lake aina ya Opel nyekundu akikatiza mitaa ya nje...
9 Reactions
29 Replies
8K Views
Mama watotowangu yuko mkoani kikazi ivo inanilazimu niwai kurudi nyumbani ili kuhakikisha mambo yako sawa. Jana nilitoka kidogo na niliporudi jioni nilikua ninakauchovu ila nilivumilia ili...
9 Reactions
45 Replies
8K Views
Kinachonifanya niwatambue na kuwapongeza WANAWAKE wa ukweli ni jambo ambalo nimekua ninalishuhudia karibu kila siku kwa rafiki yangu mmoja.Huyu jamaa,baba yake ni mlevi sana,hajui wanae wanakula...
14 Reactions
61 Replies
5K Views
Can I Borrow $5? A woman came home from work late, tired and irritated, to find her 5-year old son waiting for her at the door. SON: 'Mummy, may I ask you a question?' MUM: 'Yes , what it is?'...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Shirika hili ni la dini ila hizi habari nimezisikia nataka kupata uhakika kama kuna tabia ya wakubwa kuwa na mahusiano na wafanyakazi wa kike. Chanzo chetu kinasema eti ili mwanamama upate nafasi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
A dedication to all the brothers who've been played....
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom