Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna jamaa yangu mmoja na ni mtu wangu wa karibu sana,anampenzi wake wa kike ambaye ameshamtambulisha hadi kwao,ila kunamambo ambayo yanamtokea jamaa huyu ambayo amejaribu kuniomba ushauri,na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ukisikiliza bongofleva (mi sio mpenzi kiviiile), utagundua vijana wa kiume wanapoibukia, ambapo wengi wanakuwa kwenye early 20s, wanakuwa na nyimbo zao za kwanza za mapenzi zenye msg zinazofanana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam zenu wanajamii. Miongoni mwa vitu vinavyotufanya tupendane ni mahaba, ukuruba (feeling to each other) maumbile (beauty), maingiliano ya kimwili (sex), matarajio (expectations) na mengine...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
...This couple is heading to their honeymoon and their car gets a puncture.. so what do you think is the correct situation here; 1. The guy was forced to marry this lady 2. The guy doesn't...
0 Reactions
7 Replies
991 Views
Leo jumapili ilikuwa nzuri sana. Nikiwa boad nimejikongoja na kuamua ninyoshe miguu mitaa ya Sakina hapa A-Town. Yaliyo nikuta huko imenipa picha na negative yake kuwa ukitaka kujua jinsi gani...
6 Reactions
107 Replies
18K Views
Kumekuwa na mijadala mingi sana humu MMU kuhusu kuvunjika kwa ndoa,wapenzi kuachana,kusalitiwa na kusaliti,kupigwa kibuti na yote haya ni matokeo ya mahusiano ya watu wa aina mbili tofauti yaani...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kutumia jukwaa hili kuwapongeza sana wanawake makini ambao naamini ndio waliojaa JF. Kwa kawaida miaka 2-3 baada ya harusi, vile vijizawadi; jiko, sufuria, glasi, sahani, microwave, sijui...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
...........
5 Reactions
18 Replies
2K Views
eti inakuwaje ukioa mwanamke ambae alishakuwa na mtoto na huyo mtoto anakaa kwa baba yake inakuwaje siku yule mtoto akiumwa na akalazwa ikabidi mama yake aende akamuuguze. Na endapo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii, Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu. Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that...
16 Reactions
60 Replies
7K Views
Wakuu, Nimekuwa nikikumbana na changamoto nyingi sana katikamaisha lakini kubwa ni wanawake kutaka niwe nao kimapenzi. Nilifikiria nikaona njia ya pekee ya kuwaepuka ni kuwaheshimu. Siunajua...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hakimu akasema ndoa ya Mohamed ilikuwa na shangwe na zaidi ya hapo ilifanyika baada ya matangazo ya siku 21 (Picha haihusiani na habari hii.) Je, umeshawahi kusikia mtu anashitakiwa kwa kuzini...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Hivi ukijua mwanaume anaekutongoza na amekuambia atakuoa,halafu pia ni bikra wa kiume,yaani hajawahi kugusa "box manyoya",je utakubali au utamuona kama mshamba na asiejua lolote?Jamani nataka...
1 Reactions
147 Replies
9K Views
Kitabu kitakuja na cover price ya 18,000; mojawapo ya maduka makubwa nchini ambayo tumeomba tuweze kuuza wao wanataka 40% ya cover price! hii ni sawa na 7200Ths. Angalia: Gharama ya kuchapa...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Nina watoto 2 wa kiume na nilishapeleka request kwa Sir God anipe mtoto wa kike lakini kwa haya niliyoona leo, nawaza kuwithdral request yangu! Imekaa hivi: Jirani yangu ana binti (ni...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Imepita takribani miezi mitatu huku tukichat kwa sms na kupigiana simu mara kwa mara tangu tufahamiane hatimaye kubadilishana namba za simu, amekuja Tanzania kama mfanyakazi(engineer) na yupo...
0 Reactions
85 Replies
6K Views
Habari ya asubuhi wanajamvi, namshukuru Mungu nimeamka salama. Jana baada ya shughuli za siku nzima nilirudi nyumbani kwangu, na muda wa kulala ulipofika nikavaa nguo zangu za kulalia nikalala...
0 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu heshima mbele Leo ingekuwa mara yangu ya kwanza ku date nae lkn amekuja anayumbaa yumba watu wamenishanga kweli nimepata aibu ya mwaka .kifupi huyu binti nilikuwa namuona mstaarabu sana leo...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
1 Reactions
88 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…