Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna kaka nilikutana naye facebook, tukapeana namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri mpaka sasa tumefikisha mwaka mmoja. Wakati nikitafakari undani wa upendo wetu ikaonesha ya kuwa mkaka hana...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa wanawake wanaogoza kuwapiga waume zao hasa kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Zanzibar. Kama ni kweli nani atapona na nani atawalinda hawa wahanga wa vipigo vya akina mama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Watu wengi wamejikuta wakijiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi yasiotarajia kisa tu,kaumizwa na boyfnd wake au galfnd wake.Mapenzi ya namna hii huishia pabaya sana,na kuanza kulaumiana,kwanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dah hii ni hatari kwa maisha haya ya kiafrika na Mwenyezimungu hatoonana na watu hawa siku ya Kiama.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau mi nataka kujua hawa wamasai wanauza dawa za kweli au na wao wamekuwa n ujanja ujanja wa mjini mjini!!!! Manake wamekuwa wengi sana kwenye biashara hii, mliokumbana nao na mkapata vidonge...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Tathmini ya wanachuo waishio na VVU kwa mwaka 2011 kwa vyuo hivi viwili imepanda kulinganisha na mwaka 2010 ambapo UDSM ilikua 0.6% Sasa hebu ona hii; UDSM~2.3% Mzumbe~200+ Kwa takwimu hii...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
mamboz wana jf, polen kwa kuimiss jf. Hivi ni kwanini watu wanaweza kumudu kuwa wapenzi "boyfriend na girlfriend" kwa muda wa mwaka au zaidi ya mwaka then wakifunga ndoa hawamalizi hata mwaka...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau hebu tumbizane jamani hivi hizi kitchen Party zinasaidia/zina faida gani (tuwe wa kweli) kwenye kutunza ndoa au tunaliana hela tu,maana mimi mwezi huu nina harusi za ndugu jamaa na marafiki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wenu wanajamvi, ni hivi kwenye familia yetu ya upande wa mama tumezaliwa watano wanawake watatu na wanaume wawili , hao wanne wa mwanzo yaani wavulana wawili na hao wasichana...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mwenzenu nimehamia Jijini Dar hivi karibuni baada ya kupata kibarua katika taasisi moja ya Serikali. Katika harakati za kutafuta makazi, nilibahatika kuunganishwa na mwenye nyumba ambaye pia ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Unapoamua kumfuga mbwa au paka,anakukubali ulivyo,hata uwe huna mguu mmoja,uwe mweusi,uwe na chongo au uwe huna hela yeye hajui hayo anachojua yeye ni kukupenda tu,hawezi kuhamia nyumba ya jirani...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau wa jamii napenda kwanza niwajulie hali habari zeinu bana... Kuna mtu ananitesa sana anafanya nisijisikie poa coz...nilipokua mdogo yani ile miaka ya kubarehe kuna msichana hapa mtaani...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Umenitoka Moyoni kwa kusema kweli! nilikupenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani lakini matendo yako.. yamenichosha sana unipigii simu mpaka uwenashida,uniambii unanipenda mpaka nikiwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
hivi jamani duniani ni wawili wawili kweli? mbona sielewi/nna mpenzi ananipenda sana ila mm nimetokea kumpenda msichana mwingine mpka nashangaa sijui nifanye nn.msaada plz:A S embarassed::A S...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Siku hizi wanawake wengi wamekuwa artificial, i mean wanapendeza kwa bidhaa za kichina zinazobabilisha mwonekano wao, kuanzia vichwani (mawigi and such stuffs), vipozozi (cream,mapouda n.k) na...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Player ni fataki na hana taswira nyingine ingawaje huificha Wasifu wake huvuma kwani vigezo vingi huvikamilisha bayana Mabinti humpapatikia na tamaa yao huwa ndiyo suluba yao Player ana...
10 Reactions
112 Replies
7K Views
Dubai trip = Kiwanja cha Eka 1 hapo Boko 1 Brazilian Wigi = Mifuko 68 ya Simenti 1 Handbag ya Jimmy Cho = 10 Tankers of water 1 Quality High Heel shoe = 1 Trailer of sand 1 BB Torch = 1500 Blocks...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hiv MUNGU acngeweka sheria kwamba Mwanaume/mwanamke utakayekutana nae na kupendana ndo awe huyo huyo mume/mke aliyekupangia ili kuondoa huu uongo uongo uliotawala sahv,mtu anapenda waschana zaid...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwanamke na mwanaume yupi aki cheat kwenye ndoa ina madhara makubwa ktk familia.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…