Wana jf,hili nimekuwa nikiliwaza sana ni wadada wachache sana ambao unaweza kuwakuta na vifua vyao halisi na vinapendeza...wengine yaani kama ana watoto wa nne vile, kumbe hata ujauzito hajawahi...
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati...
Nafikiri mmeshawahi kusikia watu wakisema "aah ukikuta mume ametulia mke lazima hajatulia"(and vise vesa) au kauli kama "kwenye miti hakuna wajenzi".Yote haya yanatokana na watu kupata...
Ule msemo wa 'people get the president they deserve' (watu hupata rais aliye stahili yao) una ujumbe muhimu katika MMU. Kama una mpenzi ujue yeye ndiye stahili yako. Hivyo, acha kudai eti oh huna...
Oooooh ooooh
I never needed you to be strong
I never needed you for pointin' out my wrongs
i never needed pain,i never needed strenght
My love for you was strong enough you should've known.
I...
...jamani mara moja moja kujipendelea muhimu. Hizi Romantic Retreats zinasaidia kupunguza usongo wa mawazo kwa wanandoa. Hakuna cha kusema '...Ooh, mambo ya wazungu hayo!'...Picha zote hizi ni...
Wabongo kwa kupeana moyo! Oh haijalishi mwili wako ukoje mradi una kidude cha kufanyia.
Oh haina shobo mradi mwili wako msafi na maneno mengi ya kupeana moyo na kufarijiana. Inakuaje sasa
kua...
Kwa mfano inatokea mkeo au mpenzi wako anakuletea taarifa kwamba ameteuliwa na kampuni anayofanyia kazi akasome nje ya nchi, inaweza ikawa Marekani, Canada au kwingineko ambapo itamlazimu akae...
Habari za Weekend wana MMU,
Kuna swali nimelisikia jana wakati tuko kwenye party kuna jamaa alikua ana muliza mpenzi wake"Eti nani zaidi kwenye
sita kwa sita mimi au hao walio pita mwanzo...
Kwa wale waliooa, kupata tendo la ndoa ni haki ya kimsingi! Ikitokea mwenzio hakupi haki hiyo, basi unawezakwenda mahakamani kudai haki yako!
Mahakama yaweza kufanya nini?
Kwanza itatamka wazi...
Jamani nafahamu kuwa Jamii forums ina wadau wengi tena wenye taaluma tofauti na nyazifa mbalimbali. Mimi kwa taaluma ni Mwalimu, namalizia my first degree (Bed. Science (Chemistry & Biology))...
Msema ukweli kipenzi cha Muumba hivyo sikani!
Ya kuwa mie nawe tulikuwa beneti sana tena sana!
Nakumbuka tulivyokutanishwa na aliyetutambulisha!
Unyenyekevu wako ulinikoga na Kiswahili kuniyeyuka...
Walionena kuwa mapenzi ni ya wawili waliona mbali. Tena mbali sana. Wengi hujaribu kuomba ushauri hapa na pale, huku na kule lakini haisaidii kwa kuwa huwezi kueleza kilichojiri kati yako na...
Hebu wana JF tujadili hili,mnapoanza mapenzi kila mtu anakua na matarajio yake.maana hua ameumba picha ya aina ya mwenzi anaemuitaji akilini mwake.Na mnapoanza kujuana deep huku msha du ndo...
Wana wa Bodi , habarini za usiku.
Mwanamke iwe mnafanya kazi pamoja, au umesafiri nae, ama iwe mmeshazoena kwa muda.
Na ikawa hujamtongoza, mtaongea vizuri na atakua kawaida.
Mistake pale...
Baada ya shutuma kali kuhusu dhana ya kwamba mapenzi bila pesa yamekufa sasa nimerudi na dhana ya mapenzi bila kuaminiana yamekufa. Ndio. Love without trust is dead. Au ukipenda unaweza kuiweka...
Hii nimeikuta kule kwa wavuti.com. Mtoto wa kike hata kiss hataki. Hata hug hataki. Lakini mtoto wa kiume bado ni king'ang'anizi tuu. Haondoki. Anasukumwa, anaanguka lakini bado yupo tuu. Mtoto wa...