Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
Joseph Lyimo,Kiteto
mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili...
Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
huku nikimkumbuka...
Elton John Nikita - YouTube
Hey Nikita is it cold
In your little corner of the world
You could roll around the globe
And never find a warmer soul to know
Oh I saw you by the wall
Ten of your...
siku hizi bwana karibia kila msichana ambaye utamtongoza atakwambia umechelewa nimeshawahiwa....hivi hili linaukweli au ndio njia siku hizi wasichana wameamua kuitumia kuwakwepa wanaume
habari zenu wote humu ndani...mm ni mschna tangu nimeolewa ni mwaka mmoja tu! cjawah kugombana na mume wangu hata cku moja! nawapenda wifi zangu na shemeji zangu pia! jinsi ninavyoishi nao ni kama...
Ni miaka sita sasa tangu niishi na mpenz wangu ninaempenda kwa dhati.lakini naona ameanza kunibadilikia.ni kawaida yetu kuonana kila weekend.lakini cku hizi hana mda wa kuonana na mm,cmu...
Hivi kwann mke wa mtu, kwa nini Mume wa mtu?!?!?!
Starehe ya mda mfupi hiyo kumbuka, na ni kwamba unashindwa kucontrol ur desires!!!aaggggrrrrrrhh,achaaaa!!
kwa ninihili linatokea sana??? pindi mke anaposafiri mume either atatembea na jirani au kama ndo amepanga atatembea na mpangaji mwenzie naongea kwa experience ,je wanaume hamuwezi kuvumilia...
http://www.youtube.com/watch?v=DJAg35WOKVg&feature=related
Have I told you lately that I love you?
Have I told you there's no one else above you?
Fill my heart with gladness, take away all my...
Kauli ya kuwa unampenda sasa haina makalio yoyote
Kauli ya kuwa ni yeye tu anayedundia rohoni kwako ni bure
Kauli ya kuwa una mipango kamambe naye ahisi wataka mkopo
Kauli hizi zote yawaje aone...
Jamani nisaidieni kwenye hili,kuna jamaa yangu mmoja yeye ni mswalihina sana,katika story zetu tukafikia mahali ambapo alinishauri kuwa kila mnapomaliza faragha na mpenzi/mke wako lazima...
wewe una mke na jioni ukawa umeagana na mkeo unaenda kwa rafiki yako na ukamwambia mkeo kwamba utachelewa kurudi mkeo akakubaliana na wewe akakwambia ye atabaki nyumbani....kumbe wewe safari yako...
Does it drive anyone else absolutely crazy when couples (especially the expectant father) refer to being pregnant as "we're pregnant." Yaani ni sawa na mume anasema "tuna ujauzito". It's like they...
Phil Collins - Easy Lover - YouTube
Easy lover
She'll get a hold on you believe it
Like no other
Before you know it you'll be on your knees
She's an easy lover
She'll take your heart but you...
Before Marriage
Boy- At last. I can hardly wait. !
Girl- Do you want to leave?
Boy- No! Don't even think about it.
Girl- Do you love me?
Boy- Of course! Always
Girl-Have you ever cheated on me...
Nilikuwa na rafiki yangu tuliependana sana...alikuwa ni kama ndugu yangu..ghafla alinibadilikia na kuanza kunidharau na hata kunituc..cku ya jana niliamua kumuuliza sababu ya mabadiliko yake...
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.
Nataka viwe vi...
Kwa mara nyingine tena nimekutana na lile sakata. Safari hii ni la binti mrembo kabisa wa Kiafrika. Ana kila kitu ambacho kingemvutia mwanaume yoyote rijali. Baada ya kuona yuko karibu sana na...
She is an old flame of mine I bounced on today!!:lol::eyebrows::embarassed2:........
Harry Belafonte Angelina - YouTube
Angelina, Angelina, please bring down your concertina
And play a welcome...