Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

"Wanaume wote ni nyoka... wanatofautiana rangi,urefu,upana,vichwa...." Nilikuwa sehemu fulani nimetega sikio nikawasikia wakitusema...... Wana maana gani????????
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Hello jamii forums missing you frnds how is life
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huyu mwanamke anaishi maeneo ya Ghana jijini Mwanza.Inaelezwa miezi 6 iliyopita wakati wanaume wanamchumbia alikuwa anawaambia kuwa;"kama huna maumbile makubwa usipoteze muda wako" bahati nzuri...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Kweli aliniapia ya kuwa yeye sasa basi imetosha kabisa! Kweli aliniapia ya kuwa yeye sasa hataki tena hata iweje! Kweli aliniapia ya kuwa yeye sasa siyo teja wa asali tena! Kweli aliniapia ya kuwa...
13 Reactions
69 Replies
6K Views
Wana JF nimekutana na hii kitu kwenye blog ya Dina marious. Huyu jamaa mwenye umri wa miaka 48 anaomba ushauri; Anasema tatizo lake kubwa linalomsumbua.Anasema yeye na mkewe wamekuwa pamoja...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
shost yangu katumiwa sms na bf wake ya kumuomba mchango wa harusi. walikuwa wapenzi pindi wapo chuo baada ya kumaliza chuo kila mmoja akarudi kwao. mkaka kwao ni dsm na mdada kwao ni mkoan. thou...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Confused kidogo, kwenye mapenzi ni kipi kinaanza, LOVE then Commitment kwamba unampenda mtu then unaamua kujicommit kwake ama Commitment then Love will definately find its way through kwamba as...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Nina mpenzi ambaye nimekuwa naye kwa miezi saba (7) sasa. Ila kitu cha ajabu kinachonisumbua hadi nimefikia hatua ya kuomba ushauri ni kwamba kila ninapokuwa mbali na mpenzi wangu huwa simmiss...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
kipi ni bora kati ya kumpata mtu ANAYEKUPENDA lakini HUMPENDI au UNAEMPENDA lakini HAKUPENDI?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
mapenzi yanasemekana kuwa ni TAMAA iliyokomaa, jibu ndiyo / hapana kisha tetea jibu lako!
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Hivi ni kweli kwamba mwanamke mwenye matiti malaini ameshachakachuliwa sana mpaka basiiiiiiiiiiiii au ni maumbile na mambo mengine kama mazingira na aina ya msosi?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hata kama una wake KUMI, kila Mke akizaa Mtoto Mmoja, bado utakua umefuata uzazi wa Mpango na Familia itakuwa na watu Ishirini na moja (21) kuliko kuwa na Mke mmoja harafu umzalishe watoto watano...
0 Reactions
10 Replies
17K Views
Habari wana JF?? Kuna mapenzi yamevunjika hivi karibuni na wasuluhishi walijaribu kuyaokoa ikashindikana!! Mwanamke alikuwa na madai yake lukuki na mwanaume vilevile kiasi kwamba kila mmoja...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Sad story Married or not… you should read this. Marriage. "When I got home that night as my wife served dinner, I held her hand and said, I've got something to tell you. She sat down and...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mabinti wengi hutafakari kiu ya kidume ni nini haswa? Wakitaka kufumbua kitendawili cha kiu bila ya majibu! Wengi hugharimia mengi lakini majibu huwa haba…. Wengi hufikiria kiu ya kidume ni...
11 Reactions
201 Replies
14K Views
Subject: DAUGHTER INLAW Vs MOTHER INLAW Mother-in-law: "My son must listen to me and obey my instructions, except if he did not suck this breast of mine for more than a year......." Daughter-...
16 Reactions
89 Replies
7K Views
Source-Yahoo Voices Sex is silly. It really is.Even sillier in light of how humankind has tried to repress its own sexuality since, well, pretty much the birth of civilization. America's been...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Raha ya Mua umenye mwenyewe Raha ya pipi usile na ganda Raha ya hadithi usimuliwe.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mod mlengwa I hate you, that ban was not sexy ulinionea! I love you mod unaerespond support@jamiiforums. Ni pm nikurushie vocha au ukipenda uje niku massage. :focus: Nianze kwa kujitetea...
1 Reactions
103 Replies
14K Views
Back
Top Bottom