Ndugu zangu; Mama huyu ni jirani yangu anatoa huduma ya M~pesa, sasa mara nyingi nkihitaji huduma hiyo hupenda kumtumia yeye kwa kumpigia simu au kumtumia msg kumwambia anishibishie account yangu...
Guys,
naomba ushauri. age difference yetu ipo sawia. je huyu she aatatulia au ndo bado anaendelea na ujana?
kwasasa she is decent sana, ni 6 months nipo nae.
nawasilisha
Kuna siku nilikuwa nasikilza claudz fm kipindi cha leo tena, mtangazaji mmoja akaleta habari ya kwamba ilitokea karibuni huko Kenya mtu aligandana na mke wa mtu! Maskini mume alikuwa amesafiri...
Chupi huwa tunaidharau lakini ina mdomo mkali
Chupi chafu na inayotoa kharufu mvaaji naye ni mchafu
Chupi yenye mikato ya kike nayo huongea kwa kike-kike
Chupi hiyo huitwa "brief" na mvaaji ana...
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. Kuwa single siwezi , solution...
We get mad over the smallest reasons. We over-analyze everything.
We feel a sense of jealousy when we see you talking to someone who has more to offer.
We get sad at the thought of ever losing...
Kumekuwepo na malalamiko ya akina mama siku hizi kwa waume wao kuwa na mahusiano na ma house girl wao. Je tatizo ni wao kutotimiza wajibu wao au ni tamaa tu za wanaume nipeni jibu
Kweli wabongo tuna vituko vyetu wenyewe na tunawezana wenyewe. Mtu alikuwa amesafiri tena baada ya kuachana na mlijua hakuna uhusiano. Anarudi toka safari siku mbili tatu anampigia 'demu wake wa...
Kama mapenzi ndio hivi basi tena.
gharama ya simu tu hata elf10 haifiki
bado unapiga kibomu kikubwa hivo duh.
Ana wiki haja ku kubip wala kuku sms mara
unashangaaaa.........
.............Basi...
Aged 22, mwanafunzi wa chuo kikuu, lakini niliyekulia uswahilini.
Nina uwezo wa kusocialize na yeyote, popote, wakati wowote. Nina marafiki kuanzia huku uswazi, wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi...
A Boss said to his secretary: "For a week we will go abroad so make
arrangement".
The Secretary made a call to her husband: "For a week my boss and I will
be going abroad, so you look after...
Hili ndo jukwaa la mahusiano na nadhani ni sahihi tukiagana hapa...
Wikiend hii JF haitakuwapo hewani kama tunavyofahamu. Nitawamis sana wana JF wote, but more seriously wanaMMU...
Wishing you...
Dondoo za Stand.
Haya Maneno muda huu nipo stand ya Kimara naenda posta Kuna wasichana 3 wanajadili.Sijui wenzagu mko group gani hapo du.
WASHIRIKI. wale wote wenye vigezo tajwa juu kujua...
Mwanamke hukumkuta bikira, mmekutana kila mtu ni mtaaluma. unaenda kwa mganga wa kienyeji kufanyia miziziology , anachukuliwa na jamaa guest wananatiana hadi jamii yooote wanajua...
mi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, nasoma chuo kikuu dar es salaam....nina futi 6 urefu, dark brown in colour...............
for more details about me, contact using the below email address...
Dah!!jana usiku nilikua angle flani chafu chafu na kimeo kimoja hivi tunapunguziana stress za maisha,mara cmu ya mchuchu wangu wa ukweli ikaingia,nikasogea pemben nikapokea fresh,tukaongea...
Ndg wana JF, kuna binti 1 2mefahamiana kitambo kama miaka 3 iliyopita, tulishapeana namba za cm na niliwahi kumtaka kimapenzi akakubali japo sikuwahi ku-do naye.
Jana nikampigia cm akapokea...
kuna wakati tunainga kwenye mechi mwenzangu hafiki kileleni wala mimi sishushi mzigo mechi yenye tunaenda karibu dk 40-60 maadalizi ya kutosha je hili ni tatizo