Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wapendwa wa JF, nimekaa nikafikiria sana hili swala nikaona bora niliweke jamvini tupeane mchango. Unakuta umeoa na mwanamke alikuwa anakutegemea kwa kila kitu ingawa kuwa nae anafanyaka...
3 Reactions
87 Replies
6K Views
Alisisimama mbele yangu huku umbo lake likionekana vizuri kwenye nightdress yake ya pink,akawasha taa ya rangi ya bluu. Akapanda kitandani na kuanza kunipapasa kifuani kisha akaanza kuushusha...
5 Reactions
46 Replies
6K Views
Nilimwamini Mrema mwaka 1995 akanigeukia hasa alipokuja kuonyesha umamluki wa upinzani kwa CUF na wapinzani wengine kwa ishara na mwenendo wake wa kuuwa upinzani kwa kuvujisha siri kwa CCM na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A young and pretty lady posted this on a popular forum like jamii forum in USA:Title: What should I do to marry a rich guy?I’m going to be honest of what I’m going to say here.I’m 25 this year...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
We as parents need to pay careful attention A doctor that I know was eating breakfast one morning. A few tables over, there was a little five or six year old little boy that had a runny nose. He...
0 Reactions
2 Replies
945 Views
Sijui mama huyu kanifanyizia nini kwani najisikia amenielemea, Tangia akiwa kinda nilimpenda kikwelikweli naye kujulishwa..... Naye nahisi alinipenda japo hakunambia kiuwaziwazi........ Walakini...
14 Reactions
78 Replies
6K Views
Tafadhali anayefaham salun nzuri ya kike moshi mjini naomba aniambie iko maeneo gani na jina lake. Wanaojua kusuka na kubondi. Tunakuja harusini huko na sisi ni wageni pande hizo.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Good morning Jeiefu! Me wala hua sio mtizamaji mkuuubwa sana wa hii kitu, kinikutatu katika ptapta zangu ndo naangalia.na hivyohivyo jana nikawa nipo sehem napata riziki yangu ikajileta. Kiukweli...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wa MMU,naomba kuuliza,ivi hapa tanzania ni mkoa gani mzuri ambao atleast life liko cheap,ambapo mtu anae anza maisha let say na salary ya kuanzia 400k-600k anaweza kusurvive?
0 Reactions
67 Replies
11K Views
Nini hasa kinachosababisha baadhi ya wanawake kushindwa kufafisha tupu zao ?jee ndivyo walivyo kulia, ni mazingira au ni nini hasa kinachosababisha hali kama hiyo?
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa ...
4 Reactions
97 Replies
7K Views
Je wanawake wanapenda wanaume wa aina gan? pili,mwanaume mwenye sura mbaya anaweza kupendwa na mwanamke mzuri?ukizingtia mshko hna
0 Reactions
18 Replies
1K Views
baadhi ya waandishi na magazeti ya udaku wamekuwa wakitangaza baadhi ya watu maarufu katika swala zima la mapenzi na kuonyesha kwa kiasi kikubwa baadhi ya wapenzi wakitwangana mangumi na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Huyu dada mbali na kua na sifa zote za urembo nizitakazo mimi ingawa ni mrefu zaidi yangu bt ananikubari,,,,,yeye ni msomi kuliko mimi tena kaniacha mbali tu,anakazi yake nzuri tu ,i mean tayari...
0 Reactions
78 Replies
7K Views
Jamani..all my life i have been a good kid.lakin of late i feel like i am loosing it..i just feel like the world revolves around me-at least it should! I am trying to keep this under control but...
1 Reactions
114 Replies
8K Views
Nilisoma thread ya memba flani ambaye alipata ndoto kwamba kuna ndege itapata ajali na nikasoma nyingine kuhusu ndugu aliyekua anakabwa sana usiku. Thread hizo ndizo hasa zilizonisukuma na mimi...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Bi Elizabeth Edward ambaye ni mke wa aliyekua mgombea wa Urais wa USA BW John Edward kua ana kimwana kingine chenye umri wa miaka 30 tu, Bi Elizabeth ambaye anasumbuliwa na saratan ya titi licha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mama kama unataka ndoa yako idumu na mume wako  akupende sana, kama una haousegirl jitahd kumkabidhi mzee atembee nae huko huko ndani,na usimnyanyase kwa kuwa ni mke mwenzio wa ukweli, mume...
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Haya ni malalamiko ya mwanamke ambayo amekuwa akiyatoa hadharani kwa wanaume ambao ni rafiki wa mwanaume ambaye alimpa 'uroda' na kuishia kuhongwa shilingi 2000/= baada ya kupelekewa 'moto' wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wana jamvi najikujua ki style hii naomba kuja makabila watani wak na kama kuna historia ya utani huo ulianzaje sio vibaya kwa faida ya wengi kama mim tusio jua haya uwanja wa wanaojua historia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom