Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

je kufanya mapenzi bila kinga ni ishara kwamba mnapendana kwa dhati, nina mpenzi wangu kila siku analalama kuwa simpendi kisa atataka peku peku na mimi sipo tayari,
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Kuna msichana mmoja mzuri na anavutia nimetokea kumpenda,nikaanza mchakato wakumtokea.kama mnavyojua wadau huwezi kukurupuka kwenye hili nikaanza mchakato taratibu wakutengeneza friendshp na...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Rais amwita Wema Sepetu chumbani kwake, nia ni kumliwaza. Amtumia gari na mpambe... Habari kamili uk wa 4.... NIKANUNUA GAZETI MAANA YALIKUWA YAMEWEKWA CHINI YA MIPIRA HUWEZI FUNGUA NDANI...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
Sehemu kubwa ya tatizo la perfomance katika majamboz linasababishwa na uchakachuaji wa miili yetu. 1. Matumizi ya dawa/kemikali za kuzuia mimba au kupanga uzazi kwa walio katika ndoa. Kemikali...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu wa mawazo wanajf, niko ktk mahusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu sana na niko na mipango naye yaani nahitaji kumuoa lkn kuna rafiki yangu mmoja ambaye anamsumbua sana huyo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nna rafiki wa kike lakini cha kushangaza nikimwambia kitu lasima akifanyie marekebisho kwanza watu na ataki marafiki zake wajuwe kuna sku nimesafiri kwenda mbeya alilia sana na sasa nimerudi dar...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Toa 'comments' zako tafadhali!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
....and our wives from our friends! Huu ni usemi nilioambiwa na Muisraeli mmoja zamani na leo nimejionea Nimepewa lift kuja Dar na mmoja wa ma-class mates zangu na akang'ang'ania nipitie kwake...
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Katika % kubwa ya wanawake ambao hawajaolewa wanaopenda hela sana mara nyingi akishaolewa ni mwanamke wa kujua kutafuta maendeleo na kusaidia kuendesha familia pasipo hitaji tegemezi. Hii ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani najua kuwa vijana wengi tunajikuta ktk wkt mgumu hasa baada ya kuingia ktk maisha ya ndoa, ila nafikiri hatujui tatizo ni lipi mpaka tunafikia hatua ya kuishi na wake zetu wiki 1 au mwezi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani kufuatia mada ya after-sex mistakes naona ipo haja ya kujadili upi ni muda muwafaka wa kurekebishana kasoro zetu ktk majamboz. Mfano umemaliza kuduu na mwenzi wako, lakini baada ya kumaliza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mahaba ya Pwani..................
4 Reactions
37 Replies
19K Views
Hii ni kwa sababu nikisoma in box zake nyingi wengi wanataka namba za simu na udear sasa wanajf naombeni ushauri wenu nifunge au nisifunge
0 Reactions
30 Replies
3K Views
kWA MLIOZOEA KWENDA KWENDA ULAYA ,ARABUNI NA MAREKANI MWENZIO MI NIPO NATAFUTA DEAL TAMIL,SRI LANKA! HUKO MLIPOKUWA MNASIKIA TAMIL TIGERS ZAMANI KWA NAMNA NILIVYOPOKELEWA HATA SIKUULIZA KUWA HAO...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Eti kwamba zamani ndugu wa kichaga walipogombana walikuwa wakiapizana na kuvunja undugu ndo maana si ajabu kukuta majina koo nyingi za kichaga yanapishana kidogo tu lakini unakuta wahusika...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hivi mpenzi wa kweli utampataje. Is not a jock. Mimi ninatafuta mke wa kuoa, kila mwanamke ninayekutana naye nikimpenda huwa sivungi ninamueleza matarajio yangu kwake kuwa ninataka nimuoe na...
0 Reactions
26 Replies
14K Views
One Day I Will Leave The World And Never Come Back ! You Will Cry When You Will See My Number*.. You Will Miss Me When I Sit Alone*.. You Won't Be Able To Hear My Laugh And Voice Ever Again*...
0 Reactions
3 Replies
903 Views
Wana jamvi. Mi nata kujua baada ya kufumania na ukasamehe (saba mara sabini) huwa maisha yanakuwaje ndani ya nyumba.
0 Reactions
43 Replies
6K Views
...nimeshashuhudia % kubwa ya couples walionuniana kwenye foleni za magari kuelekea makazini (asubuhi) kati ya jumatatu na ijumaa. Kulikoni jamani? ...wengine mnakuwa kwenye magari ya nguvu tu...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
‎-A Girl will Smile in Pain, Cry in Joy.. -She will give Up all Her Pleasures; just for a Smile from Someone She Loves..♥ -She will Change a 100 Dresses, and still not Like any...
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Back
Top Bottom