Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jambo la kuomba ili upate mwenzi wako huwa wakati mwingine ni gumu na si rahisi sana kuamini miongoni mwa vijana wengi.Je ushawahi kuota ndoto yenye sauti elekezi? Hii ni aina ya ndoto ambayo...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari za weekend wanajamvi,natumai mnafurahia weekend! Nina swali dogo tu, Je kuna watu waliofahamiana hapa JF hasa MMU na baadaye wakawa wapenzi na kufikia malengo yao ya ndoa...
0 Reactions
49 Replies
3K Views
.:: BEAUTIFUL REMINDER ::. 1 ● The most selfish one letter word "I"... ► Avoid it 2 ● The most satisfying two-letter word "WE"... ► Use it 3 ● The most...
1 Reactions
5 Replies
957 Views
Jaman,ebu nsaidieni mwenzenu,furaha ya maisha ikoje,maana sielewi kabisa nin moyo wangu unataka.kwa kifupi nimekua na kulelewa katika familia yenye kipato cha daraja la kati ambapo yani zile shida...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Hili vazi linashangaza kweli! Dukani linauzwa hadharani. Wakati wa kununuliwa linanunuliwa kwa siri. Wakati wa kuvaliwa linavaliwa kwa siri na linavaliwa sirini. Linaficha siri. Linafuliwa na...
0 Reactions
93 Replies
12K Views
Ndugu zangu yapo mambo ambayo mimi nayaita ( after sex mistakes), yaani makosa ambayo yanafanyika mara tu baada ya tendo la ndoa; after sex mistes yanachangia sana kudhorota kwa mausiano watu...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
To realize The value of a sister/brother Ask someone Who doesn't have one. To realize The value of ten years: Ask a newly Divorced couple.. To realize The value of four years: Ask a graduate. To...
2 Reactions
4 Replies
751 Views
Mwezi wa 6 mwaka huu nataraji kumaliza chuo nikahangaikie ajira. Nikiwa mwaka wa kwanza nilipata mpenzi ambaye tunapendana saaana na lengo letu ni ndoa takatifu. Namheshimu sana mana ana msimamo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndoa maana yake nini?Je mahusiano maana yake nini?Halafu pia mwenzi wa ndoa nini au ni nani?Usikurupuke,jiulize vyema juu ya unachotaka kujibu halafu ndo ujibu...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Unapopata mpenzi na mmemaliza hatua ya kuktongozana na ukakubaliwa je ni mda gani inatakiwa ili mkatende tendo husika?? Je wewe utumia mda gani au leo na vyombo siku hiyohiyo??
0 Reactions
15 Replies
2K Views
tulianza safari kama mida ya kumi na mbili na ushee kwenda hapo mji kasoro bahari ndani ya bm couch, walengwa walikuwa wamekaa adjacent siti ya mbele, kama kawaida niko na kamchina kangu jamii...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
It‘s amazing how the cycle of luv is vicious. You find luv in abundance,you don‘t appreciate.it moves on. You also move on and its ur turn to luv in abundance-the loved one doesnt appreciate you...
0 Reactions
5 Replies
895 Views
fikiria shemeji yako-mke wa rafiki yako-anakuita akikutaka uje haraka kwao. Unafika home kwao unamkuta macho yamemvimba akilia kwa uchungu huku mshikaji wako naye yuko pembeni akijifanya mkavu...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari za Hasubuhi 'The Great Thinkers' Naomba kuwasilisha mada hii ili niweze kupata ushauri mzuri wa kumpa Rafiki yangu ili aweze ku MOVE ON. Anaitwa Anitha (Sio jina Halisi), Anitha ni...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jaman nsaidien wana jamii dem nlienae kila siku ananiomba vocha then anadai ananpenda xana!nfanyaje?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Being ignored feels bad. The more that person is important to you the more pain and rejection you will experience. It's nice not to care about people and have uncaring attitude, but what if...
3 Reactions
71 Replies
5K Views
These tips are for every woman out there who suspects that her man is being unfaithful. It is never wise to accuse without proof so, if you want to catch him cheating you'll have to do a little...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Fedha ndo kila kitu kwenye mapenzi
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Guys,kwa nini mvulana ama msichana akijua unampenda anaanza kuleta mbwembwe?.Yani mapozi,utakuta mtu anajua kabisa,Mary ananipenda,au John ananipenda,hapo kesi zinaanza.Wakati kabla ya kujua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sitaacha kushangaa ya dunia. . . . . . . . . Nilikutana na huyu jamaa kwenye hiace,jamaa alikua mwingi wa mawazo,mpaka wakati mwingine akawa anazungumza mwenyewe,nikamuuliza kulikoni?Ndipo...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Back
Top Bottom