:crazy:Jane na Vivy wanafahamiana toka walipokuwa wanasoma Advance katika shule moja,Jane alikuwa na asili ya wivu kwa vivy.walipokuja kukutana chuo kimoja Jane akauanzisha urafiki kwasababu watu...
Hamjambo humu ndani? Nina shostito wangu tumekuwa toka udogo na anatatizo linamuumiza kichwa ofcourse na mimi pia huwa inanikosesha raha na amenitaka ushauri.
Huyu dada yuko early 30s, Mungu...
Jana nilikuwa nimebana kwenye corner moja pale starbucks na piga coffee, mara wakatokea wasichana wawili waka kaa karibu na pale nipo mimi kwenye meza ya pili...wakanza kupiga kizungu chao yule...
Kwa wale wapenzi nataka utumie mizani hii ndani ya weekend hii ili kujua uaminifu,CHUKUA SIMU YAKO MPE MKEO AMA MPENZI NA YEYE AKUPE YAKE NA UMILIKI UANZE LEO HADI KESHO JIONI.je unaweza kufanya...
Habarini za leo wana MMU
Jana nikiwa nimepumzika baada ya siku ndefu nilipata simu toka kwa shogangu(ameolewa na mzungu) ambaye tunatofautiana masaa matatu toka anapokaa yeye na mie.Wao wakiwa...
Never tell a female that you've been thinking about her(Let her think that you have other things going on in your life other than her).Don't answer a call or text late at night(Woman like to do...
Inavyo onekana kwenye mijadala ya mapenzi na uhusiano, hasa kwenye kile ki sub furum {LOVE CONNECT} ikitokea kajitokeza mvulana/mwanaume anatafuta mpenzi/mchumba au marafiki utakuta watu wachache...
mtaani kwetu kuna jibaba linatembea na mtoto wake (binti yake) wa kufikia (kambo). Mama mtu ameenda kushitaki kwa mwenyekiti wa mtaa kuwa mumewe amemdhalilisha. Naleta kwenu wanaJF kwa ushauri na...
wanawake wa jf naomba mjifunze kutoka kwa kajala mchague wa kuolewa nae na mchunguze sio umeona jamaa ana pesa zake wewe from nowhere..
Unaingia mapenzini nae bila kujua hizo hela katoa wapi...
The local news station was interviewing an 80-year-old lady because she had just gotten married for the fourth time.
The interviewer asked her questions about her life, about what it felt like...
Nashkuru wana-jf wote mlionipa mawazo yenu na ushauri wenu mzuri kutokana na tatizo lilokuwa likimsumbua mke wangu, wife alikuwa na jini mahaba ambalo lilimfanya asihisi raha ya tendo la ndoa...
(¯`·._.•In Loving Memory of My Mother™•._.·´¯)
Assalamu Alaikum
Amani iwe nanyi.
Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa wote ambao walithubutu kuniandikia email na PM...
Jamani mapenzi ya kweli kwangu si kumtoa out umpendaye tu. Kwangu mie nadhani kama kupendana kwa nini mtoto wa kiume amtoe wa kike tu? Inanipa homa sana ninapomuona mmoja anafanya kila kitu na...
Hapa majuzi nilikutana na mshikaji wangu akiwa hana raha.............kumuuliza nini tatizo..........anadai wamegombana sana na wife.................kisa eti mshikaji alimweleza wife wake kwamba...
Bottle of Wine
(Women may LOVE this one!)
A woman and a man are involved in a car accident on a slipperly, cold Monday morning; it's a bad one. Both of their cars are totally demolished, but...
Mapinduzi ya teknolojia, hasa simu za mkononi kwa kiasi kikubwa yamewezesha urahisi katika mahusiano ya kimapenzi.
Hata hivyo, kwa wanaume wenzangu, inabidi tuwe makini sana tunapotongoza...
Wana JF
Mimi ni member mpya wa hili jukwaa but am interested with advice na michango mbalimbali ya kimawazo inayotolewa kwenye hili jukwaa.
In short kuna binti mmoja nilimpenda na nilimjua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.