Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

mumewe anafanya kazi hana muda wa kuongea na mke wake yeye na bb kuchat mke wake alikua akikwazwa na tabia hiyo kwan yeye alikua na kasimu ka tochikasichokua na hata internet Sasa amepata...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekutana na mkaka online JF, tukaflirt sana PM huku tukipeana fake info about each other kwa muda kama wa miezi 8 hivi. Alinidanganya ameoa nami nikamdanganya kuwa nimeolewa. alinidanganya...
2 Reactions
64 Replies
4K Views
habari zenu ndugu zangu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
"Ni hivi karibuni nimefunga ndoa na mwanamke ambaye sijawahi kukutana naye kimwili hapo kabla, mara nyingi nilipotaka kukutana naye kimwili kabla hatujafunga ndoa alinikatalia na kunipa vipengere...
1 Reactions
101 Replies
23K Views
kwa msichana anaye hitaji penzi la dhati kabisa. . nichek 0712396230
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Jamani dunia inakwenda siko siku hizi na wanawake wamekuwa ni bure kabisa, hawawezi kuwafurahisha wanaume ndani ya ndoa, wengi wao wamekuwa magoigoi kwa kuwa hawezi kukatika wala kucheza ngoma zao...
7 Reactions
108 Replies
9K Views
There are somethings that a man will never tell you. But these things would help you understand your partner better and improve your relationship. 1- We want you to like our friends, but not...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nilitembelea mbuga ya Selous iliyoko huko Rufiji. Nilifikia katika Lodge ya Moja iliyopo hapo Selous, na miongoni mwa wageni tuliofikia katika Lodge hiyo kulikuwa na kina dada...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Hali zenu wanajamvi, huwa ninajiuliza kila siku. Kipi bora kati ya haya. Kuoa/kuolewa na mtu ambaye ana experience katika mapenzi au asiye na experience. Nikimaanisha kwamba mtu ambaye alishawahi...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Umepata msichana miezi mitatu nyuma, mmependana naye sana na ana kila sifa unayoitaka. Kuanzia umpate mambo yako yananyooka sana, unapata hela katika mazingira ya kutatanisha sana. Mara ukute...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Naomba kufahamishwa, kuwaninii ?waume wengine waoapo wake wanawaacha kwa wakwe au kwa wazazi wake mke?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
A five year old boy who rejected his gender is now living as a girl with the support of his family, doctors and school. Zach Avery was three when he started questioning his gender, and began...
0 Reactions
3 Replies
756 Views
Jamani mwenzenu kuna beki3 mmoja namzimia kinomanoma,yani amemfunika hata mpenzi wangu hebu mnishaurini.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Rafiki yangu ni mlemavu wa viungo. Kuna kipindi alikuwa vibaya kiuchumi, and that time wadada wengi walikuwa wanamkataa alipowatongoza. Mungu mkubwa akatokea mdada ambae alimpenda sana pamoja na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Namtafuta rafiki yangu nimepotezana naye kama miaka miwili hivi na kwa bahati mbaya namfahamu huyo rafiki yangu kwa jina moja tu, sijui anapoishi ingawa yupo dar na alishawahi kunielekeza kwake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kijana mstaarabu,kakutana na binti mrembo wa haja,kwa vipimo vyake,anamuona kuwa aweza kuwa mke mtarajiwa.Kijana anamdokezea ombi lake,binti anasema hana pingamizi ila,anaye rafiki ila ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nikikishavaa viatu vya PSI, nashindwa kabisa kucheza mpira kiasi ambacho wakinadada wa mtaani kwangu, wamenitangaza kuwa si riziki, wengine wanasema nimetegwa na mke wangu, basi na maneno kibao...
1 Reactions
81 Replies
6K Views
Habari zenu wana jf.Nina rafiki yangu wa kiume,huu mwaka sasa unakata,tupo marafik vizuri tu,tatizo alilonalo,hajui kumtongoza mwanamke..eti yeye anasema action atakazokuwa anaonyesha kwa yule...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
1. Guys aren’t psychic, mind telling them what you mean? 2. Guys don’t like to be used as pawns in trying to make your friends jealous. 3. Guys tend to get serious with their relationship and...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
ndoa ni umoja wawageni wawili wasiofahamiana vema.kila mmoja ni kama msitu wenye vitu vyakugunduliwa polepole.ugeni huo ni chanzo cha matatizo mengi kwenye ndoa. wengi hugunduatofauti zao baada ya...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom