Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
Money can be one of the biggest stressors in a marriage, and fights over money can often lead to divorce. Dont let your relationship be a casualty of money stress. Here are some money moves that...
Habari wana jf'mm n member mzuri sana wa hii rum ila cjawahi ku comment chochote coz najikuta nasoma 2 comm za wa2 na kurifresh mind! Ok' leo nimejikuta natinga kwenye uwanja.majuz nilienda kumpa...
Kwakua maisha mjini yalizidi kua magumu kulikua hakuna jinsi, tukaona turudi kijijini. Nilimpenda sana mkewangu, nikaona niende kukaa kwa kaka yangu naemfata. Walipendana sana na mke wake. Thanks...
Wanajamvi
Nilikuwa na Mpenzi wangu ambaye tumekuwa katika mapenzi kwa muda mrefu sanaa, ni karibu miaka sita. katikati ya uhusiano wetu alipata ujauzito na tuna mtoto mmoja ana miaka minne lakini...
Naomba kuuliza KUNA CCTM AMBAYO MTU ANAWEZA KUPATA MSG ZA MTU FLANI ANAZOTUMIWA..... mfano mimi naweza nikasoma msg zote zinazoingia kwenye cm yako unazotumiwa na mtu yeyote kupitia cm yangu bila...
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI
Waswahili wanasema bora kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa. Msemo huu unarihidhisha wazi kuwa swala la kuoa linahitaji busara na hekima ya hali ya juu. Ni kitu gani hasa...
hi Jf members, hope u r all ok. natafuta marafik wa kike wa kuchat nao na kubadilishana mawazo,awe anasoma kuanzia form 5 mpka university first year,miaka 18-22,awe mstaarabu.
Wakuu Wana JF, Salaam!
Nimejaribu kuangalia kama hii mada ilishaletwa hapa lakini sikuona inayolingana nayo. Ikiwa ipo tayari samahani kwa kuirudia.
Huwa ninatatanishwa na dhana ya WIVU katika...
Kuna jamaa mmoja alitaka kuoa, hivyo akamuomba rafiki yake amtafutie mchumba. Rafiki akamtafuta msichana ambaye ametulia iel mbaya, asiyependa makuu na wala hakuna mtu aliyekuwa akijua sifa zake...
Naelewa kuwa mna mahitaji ambayo kidogo yamepita ye2.
Naelewa pia kuwa kila m2 anatakiwa awazie kwa maisha yake jinsi gani atakavyojipatia mahitajiyake.
Ila sasa naona ndugu zangu mna tamaa 2much...
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa...
Ndugu wanajamvi kama tusikitikavyo tukiondokewa na mwenzetu basi tusherekee pale mwana JF anapopata ubavu. Mwana JF mmoja aitwaye Kuberwa anatarajia kuolewa mapema mwaka huu so siku ya Arusi...
Wasalaam!,
Sitaki kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!. Kifupi mimi ni kijana wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo...
Tall men seem sexier to women and more likely to father their children, in turn tall men find smaller women more attractive, the taller men are, the more likely they are to have found a mate and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.