Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Money can be one of the biggest stressors in a marriage, and fights over money can often lead to divorce. Don’t let your relationship be a casualty of money stress. Here are some money moves that...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jf'mm n member mzuri sana wa hii rum ila cjawahi ku comment chochote coz najikuta nasoma 2 comm za wa2 na kurifresh mind! Ok' leo nimejikuta natinga kwenye uwanja.majuz nilienda kumpa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwakua maisha mjini yalizidi kua magumu kulikua hakuna jinsi, tukaona turudi kijijini. Nilimpenda sana mkewangu, nikaona niende kukaa kwa kaka yangu naemfata. Walipendana sana na mke wake. Thanks...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Wanajamvi Nilikuwa na Mpenzi wangu ambaye tumekuwa katika mapenzi kwa muda mrefu sanaa, ni karibu miaka sita. katikati ya uhusiano wetu alipata ujauzito na tuna mtoto mmoja ana miaka minne lakini...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Naomba kuuliza KUNA CCTM AMBAYO MTU ANAWEZA KUPATA MSG ZA MTU FLANI ANAZOTUMIWA..... mfano mimi naweza nikasoma msg zote zinazoingia kwenye cm yako unazotumiwa na mtu yeyote kupitia cm yangu bila...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukiolewa tayari una mume je? inakuaje unakua na kibusitani hapohapo unaongeza tena kibustani cha pili hii nitamaa au umalaya.
1 Reactions
85 Replies
6K Views
wana JF naomba kuuliza kuna athari gani a kisaikolojia inapatikana kwa kufanya tendo la ndoa huku unaangalia movie za X?
0 Reactions
48 Replies
36K Views
Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo SEMENI KWELI
4 Reactions
155 Replies
9K Views
Waswahili wanasema bora kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa. Msemo huu unarihidhisha wazi kuwa swala la kuoa linahitaji busara na hekima ya hali ya juu. Ni kitu gani hasa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hi Jf members, hope u r all ok. natafuta marafik wa kike wa kuchat nao na kubadilishana mawazo,awe anasoma kuanzia form 5 mpka university first year,miaka 18-22,awe mstaarabu.
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Wakuu Wana JF, Salaam! Nimejaribu kuangalia kama hii mada ilishaletwa hapa lakini sikuona inayolingana nayo. Ikiwa ipo tayari samahani kwa kuirudia. Huwa ninatatanishwa na dhana ya WIVU katika...
0 Reactions
119 Replies
67K Views
Hvi utafanyaje once unapogundua boyfriend wako ana uhusiano nyuma ya pazia na demu aliyezaa nae hapo awali kabla yako
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja alitaka kuoa, hivyo akamuomba rafiki yake amtafutie mchumba. Rafiki akamtafuta msichana ambaye ametulia iel mbaya, asiyependa makuu na wala hakuna mtu aliyekuwa akijua sifa zake...
2 Reactions
54 Replies
5K Views
Naelewa kuwa mna mahitaji ambayo kidogo yamepita ye2. Naelewa pia kuwa kila m2 anatakiwa awazie kwa maisha yake jinsi gani atakavyojipatia mahitajiyake. Ila sasa naona ndugu zangu mna tamaa 2much...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi kama tusikitikavyo tukiondokewa na mwenzetu basi tusherekee pale mwana JF anapopata ubavu. Mwana JF mmoja aitwaye Kuberwa anatarajia kuolewa mapema mwaka huu so siku ya Arusi...
8 Reactions
109 Replies
9K Views
Wasalaam!, Sitaki kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!. Kifupi mimi ni kijana wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo...
0 Reactions
93 Replies
22K Views
Tall men seem sexier to women and more likely to father their children, in turn tall men find smaller women more attractive, the taller men are, the more likely they are to have found a mate and...
0 Reactions
114 Replies
9K Views
Mtu ana mimba ya miezi nane na ushee lakini bado tu anataka kunanihii na mumewe kisa eti kumdhibiti mumewe asitoke nje, hii imekaaje?
1 Reactions
27 Replies
15K Views
Back
Top Bottom